Paul Makonda mtetezi mkubwa wa haki za akina mama aliyemtabiria makubwa Rais Samia Suluhu

Yale majengo ya Mama na Mtoto kwenye hospitali za Mwananyamala, Temeke na Ilala yamebomoka!
 
Mmeanza. Mnatuona hamnazo au mwadhani mna akili zaidi yetu?
 
Mkuu
kwani yeye ndiye wa kwanza kutengeneza deals na kula pesa za makampuni?
 
Nawewe unaamini alimtabiria kuwa the next VP?

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Jibuni hoja kwann alienda kuvamia kituo Cha utangazaji ,Hilo mosi yatafuata mengi ,alikua anatumia ujinga wa women wenyewe bilakutambua anawafanya kichaka Cha Mambo yao
 
Mahakama haijui hiyo jamaangu! Hayo mambo ya mtetezi wa haki za wamama sijui nani kamwambie mama yako mzazi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…