Paul Makonda mtetezi mkubwa wa haki za akina mama aliyemtabiria makubwa Rais Samia Suluhu

Acha kutetea jambazi, liuaji, jitu lenye dharau katili. Umetumwa? Hizo kesi za kina mama ziliishia wapi? Hana lolote. Lupango ndio stahili yake.
 
Umechanganikiwa Wewe MAKONDA na SABAYA hawana Tofauti ndio Wauaji Watekaji na Wapiga risasi
 
Too late! Hapo hakuna gia itakayofanya kazi!
Kwa akina mama alikuwa akisaka kura za ubunge, ishatoka hiyo! Madhambi yake ni makubwa sana huwezi compasate na yale mambo yake ya DnA!
 
Alimsaidiaje Masogange aliyefia hospital za mitaani wakati Wema Sepetu alituambia ni hawara yake?
 

Kwani bunge la katiba lilikuwa na kipengele cha kupendekeza wagombea wenza?
 
Makonda amefanya maovu mengi ni wakati wake kuhudhuria mahakamani.
 
mm jamaa huwa simkubali kivile,lakini ukweli jamaa alifanya kitu ktk umtumishi wake,yako mengi mazur aliyafanya kuliko mabaya,na kwakuwa baya moja ,linatosha kabisa kufuta mazuri yote,Basi wengi wanaona hakufanya kitu chochote ktk umtumishi wake!!.
 
Wewe msifie tu lakini watu wako chimbo wanaandaa upupu ambao utamuwasha hadi anaingia kaburini. Hachomoki,lazima lile wezere lifumuliwe. Mwanafuzi wake Sabaya tayari ameshakula bamvua zake 30 na bado zingine zinakuja soon.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…