Paul Makonda mtetezi mkubwa wa haki za akina mama aliyemtabiria makubwa Rais Samia Suluhu

Nasikia alikuwepo Dodoma wakati Tundu Lisu anauwawa
 
Unafungwa Bashite jiandae na ndoa za Jela. Mwanamke hajakutuma kuua watu, pambana na hali yako.
Mwana kulitafuta .. mwana kulipata..
 
Kufunga baa saa 6 usiku hadi watu wa mikoani wakaiga.

Kuhakikisha wasiooga hawaingii mjini kati.


Kwa wageni wa dsm, mjini kati ni maeneo ya posta na kariakoo

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…