Paul Makonda na William Malecela waburuzwa kizimbani kwa tuhuma za kudhulumu gari

Paul Makonda na William Malecela waburuzwa kizimbani kwa tuhuma za kudhulumu gari

Hii ndio taarifa mpya na ya kusisimua kutoka kwenye lile gazeti makini la Raia Mwema .

Endelea kubaki hapa hapa JF kwa maendeleo ya Kesi hii mpya .
Jamani mambo yanakwenda kasi kuliko.Si walikuwa marafiki hawa?
 
Ingependeza tuone muendelezo wa hiyo kesi mahakamani, pasiwepo na siasa zitakazoingilia kati, ili jamii yetu ianze kurudisha imani na mahakama zetu, ili kama Makonda alipewa kwa makubaliano maalum ikajulikane, au kama alipora, ikajulikane pia.
 
Yaani mnaoteseka ni nyie..! Hakuna kazi ngumu kama kukaa unategemea litamkuta lini usiyempenda..! Mara pah...Barozi[emoji1787][emoji1787] usifute huu uzi
Weeee !!!
 
Ingependeza tuone muendelezo wa hiyo kesi mahakamani, pasiwepo na siasa zitakazoingilia kati, ili jamii yetu ianze kurudisha imani na mahakama zetu, ili kama Makonda alipewa kwa makubaliano maalum ikajulikane, au kama alipora, ikajulikane pia.
Tangu Awamu ya Mwendazake Mahakama za Tanzania zilipoteza haki zao zote kwa Ma- CCM.
 
Huyo jamaa angesamehe tu...majitu mengine sio ya kucheza nayo
 
Hakuna mtu mnafiki hapa duniani kama huyo lemutuz... kwenye utawala uliopita aliwapotezea kabisa kina Ridhiwani ila baada ya utawala ule mapema kabisa akawakana JPM & Makonda kwa kuandika waraka mrefu huko Instagram. Yule mzee akiwa rafiki yako kuwa makini sana.
 
View attachment 2379378
Yametimia, Pilato yuko kazini. What goes around, comes around.

Makonda apelekwa kortinni kwa uporaji wa gari Range Rover ya Patrick Kamwele yenye thamani ya Tshs 249million.

Ref: Gazeti Mwanchi leo, front page.

PIA, SOMA: Aliyeporwa "Range" na Makonda alipuka, atangaza kwenda Mahakamani
hatma ya kesi hii ipo mikononi kwa DPP. kumbukeni DPP anateuliwa na Rais ambaye ndiye mwenyekiti wa chama chetu .. kwa hiyo hili suala la kama Makonda ajibu ama asijibu tuhuma limo ndani ya chama chetu, wengine mnajichosha.
 
Uongo Na uchafuzi tuu ..Hao wote walijipendekeza Wenyewe Kwa makonda ,,Watanzania kujipendekeza Kwa viongozi ni utamaduni wao.
Sio walijipendekeza bali wana dili chafu wakawa wanatafuta ulinzi
 
Back
Top Bottom