Paul Makonda na William Malecela waburuzwa kizimbani kwa tuhuma za kudhulumu gari

huenda ni ukweli au anaonewa tu.huyo mfanyabiashara siku zote hizo alikuwa wapi kwenda mahakamani?nina imani mengi tutayasikia ktk kesi hiyo.inawezeka pia huyo mfanyabiashara aliitoa kama rushwa na kama ndivyo basi naye apandishwe mahakamani kujua mazingira halisi kwa namna gani hilo gari liliporwa.
 
Mzee wa fursa yule..
 
Jamani mdai si angechukua tu gari na amsamehe?
Jee unajua ni lini hilo gari lilitekwa? Jee unajua hili gari liko katika hali gani hivi sasa? Jen unajua ni maili ngapi hilo gari limeshasafiri hadi sasa? Unadhani thamani ya gari hii muda huo ilipotekwa hadi leo haikushuka kutokan ana ukongwe wake?
 
hatma ya kesi hii ipo mikononi kwa DPP. kumbukeni DPP anateuliwa na Rais ambaye ndiye mwenyekiti wa chama chetu .. kwa hiyo hili suala la kama Makonda ajibu ama asijibu tuhuma limo ndani ya chama chetu, wengine mnajichosha.
Na mimi pia niko chama chetu chenye maadili.
Chama hakiruhusu uporaji na wizi.
 
... kuna kibajaji nilikiona jana kwa nyuma kina ujumbe; AFADHALI KUPOTEZA TUNGURI KULIKO KUFIWA NA MGANGA. Ndio kama hivyo sasa!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Success has many fathers, failure is an orphan!

Unakwenda na wenye nafasi na mafanikio, waliofeli watakusaidia nini? Mjini mipango
 
Jamani watamuua Lemutuz, libabu la watu kwa Presha. limechoka alafu analetewa makes mengine. Walimwengu siyo wema kabisa

You know, I am super humbled sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…