Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee ngoja wajichanganye waje wampe inji hii, naliona liadolf hitla la Tz watanyooshwa kuliko magufuli alivowanyoroshaTusizungumze mengi sana twende tu moja kwa moja kwenye pointi ninayotaka kusema.
1. Paul Makonda elimu yake inatiliwa mashaka.
2. Paul Makonda alifanya mambo yasiyo na weledi wa kiuongozi alipokuwa mkuu wa mkoa wa Dar, mojawapo ni kuvamia kituo na redio cha Clounds FM, kuwaweka chini ya ulizi watangazaji, na kukifungia bila kufuata utaratibu.
3. Huyu mtu aliwahi kupigwa ban kuingia Marekani kwasababau ya rekodi yake mbaya ya haki za binadamu
4. Paul Makonda amewatukana na kuwakejeli watu wengi
5. Makonda amekuwa mropokaji mkubwa, asiye na tahadhari katika matamshi yake
6. Makonda hata Magufuli mwenyewe alimtupa baada ya kuona hafai akamwondoa ukuu wa mkoa
7. Ndio huyu Makonda aliyeibua matamshi yenye hisia za kikabila wakati wa kifo cha Reginald Mengi
8. Makonda amehusishwa na kashfa la makontena 20 bandarini wakati wa Magufuli na kuwekwa kando
9. Makonda amewahi kuonekana akitaka kumpiga waziri mkuu mstaafu Joseph Sinde Warioba katika picha
10. Ni huyu Makonda hata baada ya kuwa mwenezi wa CCM ameonekana akiwapangia majukumu kuanzia waziri mkuu, mawaziri na wakuu wengine wa nchi na akiamini kuwa ana uwezo wa kufanya hivyo
11. Makonda sio tu kwamba ana majivuno, dharau, roho mbaya na uchongezi, bali ni mtu mwenye ujinga mkubwa huku akiamini kuwa ndio bora zaidi ya kila mtu.
12. Makonda amehusishwa na kuteswa na kupotea kwa watu wengi nchini wakati wa Magufuli na anahusishwa kwa karibu na nusu kifo cha Tundu Lissu.
Binafsi namchukulia Makonda kama kipimo cha ujinga wa wakuu wake na ishara kuwa chama tawala kimedhamiria kufanya siasa chafu zisizo na manufaa kwa watanzania kwa kupitia Makonda.
Hii inji mbona itaongozwa kidikiteta kama magufuliItakuwa janga jingine kutokea nchini tangu 2015.
Weee nani kakuambia, makonda ni Hitler, hata Hitler alijifanyaga mtakatifu, alipokabiziwa rungu Sasa weeeee, Germany iliongozwa kibabe hatareeee, Kila alilolitamka ni sheria.Nadhan jomba kama alikuwa na makandokando hayo zama hizo, basi inawezekana amejirekebisha..Makonda huyu wa Sasa tunayemuona ni mtetezi wa wanyonge...ukitaka kujua uliza wananchi wanaonaje..usiwe mjinga ikabaki na ma assumption yako ya miaka 47 jomba..jua Sasa umeshapitwa na wakati
Tanz ya Leo nadhan inahitaji hii kwata ili isonge mbele..tuache unafiki..kwa hiyo tunaelekea pazur..Mungu atusaidie manake Kuna watu wanafanya mchezo na nchi yetu..Weee nani kakuambia, makonda ni Hitler, hata Hitler alijifanyaga mtakatifu, alipokabiziwa rungu Sasa weeeee, Germany iliongozwa kibabe hatareeee, Kila alilolitamka ni sheria.
Alinyoosha gwaride Kwa risasi, aliwapigisha wanajeshi kwata ghorofani mwendo wa kusonga mbele bila kusimama Wala kugeuka nyuma
Hahaha be positive, usikariri Mambo ya watu wanayosema..judge by your own...Makonda kijana wa watu Ana shida gani..Mh Rais kamwamini kumuweka pale..bado mapema sana kuanza kulipuka lipuka..Wewe kama mtanzania umewahi kujiuliza unanufaika vipi na ubadhirifu wa ccm na kukaa kwao madarakani miaka zaidi ya 60 sasa? Hivi kweli unamkubali Makonda wewe? Kama ndio utakuwa ni mtu asiyependa haki na/au mjinga sana.
Hau and how!Narrations.too personal
Ninakualika utenganishe siasa na mipango endelevu ya maendeleo. Siasa ni kwa manufaa ya wanasiasa na ndicho anachofanya Samia kwa mgongo wa Makonda.Hahaha be positive, usikariri Mambo ya watu wanayosema..judge by your own...Makonda kijana wa watu Ana shida gani..Mh Rais kamwamini kumuweka pale..bado mapema sana kuanza kulipuka lipuka..