Paul Makonda ni kipimo cha weledi mdogo wa viongozi wakuu wa nchini

Wee ngoja wajichanganye waje wampe inji hii, naliona liadolf hitla la Tz watanyooshwa kuliko magufuli alivowanyorosha
 
Weee nani kakuambia, makonda ni Hitler, hata Hitler alijifanyaga mtakatifu, alipokabiziwa rungu Sasa weeeee, Germany iliongozwa kibabe hatareeee, Kila alilolitamka ni sheria.

Alinyoosha gwaride Kwa risasi, aliwapigisha wanajeshi kwata ghorofani mwendo wa kusonga mbele bila kusimama Wala kugeuka nyuma
 
Tanz ya Leo nadhan inahitaji hii kwata ili isonge mbele..tuache unafiki..kwa hiyo tunaelekea pazur..Mungu atusaidie manake Kuna watu wanafanya mchezo na nchi yetu..
 
Wewe kama mtanzania umewahi kujiuliza unanufaika vipi na ubadhirifu wa ccm na kukaa kwao madarakani miaka zaidi ya 60 sasa? Hivi kweli unamkubali Makonda wewe? Kama ndio utakuwa ni mtu asiyependa haki na/au mjinga sana.
Hahaha be positive, usikariri Mambo ya watu wanayosema..judge by your own...Makonda kijana wa watu Ana shida gani..Mh Rais kamwamini kumuweka pale..bado mapema sana kuanza kulipuka lipuka..
 
Hahaha be positive, usikariri Mambo ya watu wanayosema..judge by your own...Makonda kijana wa watu Ana shida gani..Mh Rais kamwamini kumuweka pale..bado mapema sana kuanza kulipuka lipuka..
Ninakualika utenganishe siasa na mipango endelevu ya maendeleo. Siasa ni kwa manufaa ya wanasiasa na ndicho anachofanya Samia kwa mgongo wa Makonda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…