Paul Makonda ni wazi hatadumu Arusha

Fanya kazi acha uongo, kwanza hakusema siku 3 Bali siku 7 ndo kawaida. Pili msafara hakuuleta yeye waliokuja kumpokea ndiyo waliratibu. Huyu mtu anapendwa tusiwe wanafiki.
 
Wewe Lucas tunakujua kwa kujipendekeza kwa watawala..hizi comments zako hazina jipya...
"Ole wake amtegemeaye mwanadamu"..Anyway pambana na ongeza spidi
 

1 + 1 si lazima kuwa 2:

 
🤔🙄
 
🤔🙄
 
Hebu twambie passport unataka uipate baada ya muda gani?
 
Makonda ni mtu ambaye yupo "optimistic" sana kwa kile ambacho anakiamini, lakini anakosa "the right tactical skills" ya kiuongozi. Akiwa kama kiongozi wa juu wa mkoa kupitia katika cheo hicho cha ukamishna wa mkoa, anapaswa kutumia zaidi "abstract & administrative skills" kuliko zile za "technical" ili matokeo ya maamuzi yake yaonekane kupitia timu ya wasaidizi wake.

Hivi vitu vya kujionyesha kama vile misafara mirefu, na kupiga mkwara hadharani wasaidizi wake ni dalili za kutaka kujenga vitisho kwao ili kuogopwa. Ukikabidhiwa jukumu kama hilo la ukamishna wa mkoa, kitu cha kwanza ni kujipa muda wa kutosha ili kusoma mazingira ya kiutendaji kuliko kuanza kutoa matamko ambayo mengine yanakosa uhalisia wowote ule.

Haiwezekani, day 1 tu, unakuja na kuanza kuzungumzia masuala ya muonekano mpya wa Jiji la Arusha na miundombinu yake, bila hata kukutana wa wahusika na kuangalia uwezekano wa kufanya hivyo kutokana na bajeti iliyotengwa. Kamishna aliyeondoka John Mongella amekuwa ni bosi wake ki chama, kwa kuwa hayo makeke yake anayoyaropoka hadharani ni kama vile kutaka kuuambia umma aliyepita ni mtu legelege na alikosa ubunifu akiwa katika ofisi hiyo.

Ameingia kwa mguu mbaya ili kujijengea sifa yeye binafsi bila ya kutaka kujenga "team work spirit" kwanza. Asipoangalia atajikuta yupo peke yake na kila anachokifanya anawakwaza wenzake. Aangalie jinsi makamishna wenzake wanavyotenda katika zama hizi za utawala wa SSH kwa kuwa hizi si tena zile za JPM.

La sivyo jombii itakula kwake. Arusha pana siasa za kimafia, na hazifanani kabisa na zile za kipwani. Sikio lisikilizalo kamwe haliwezi kukatwa kichwani. Shauri zake!
 
Mwamba Makonda ni mpango wa Mungu Mwenyewe kuwepo hapo,ni kusudi la Mungu kumuinua na kumpa mbawa,ni Mungu mwenyewe ndiye aliye ndani yake na kumuongoza.Mungu asema akiwa ndani yako nawe ukawa ndani yake basi hutaingia kamwe gizani.
Ukiwa Mtu wa Maombi lazima utaliombea na taifa lako na viongozi wako ngazi zote. Tamani kuwa Mtu huyo afu uone jinsi watu walivooza.ila unajinyamazia tu
 
Kama hilo ndio lengo basi ujue wamemsogeza kwenye eneo la kupokea fedha za madawa ya kulevya. Makonda sio kiongozi muadilifu, Bali ni mlevi wa madaraka.
Uzuri wako hua uko vizuri sana kwenye kutoa shutuma...

Ukiambiwa uthibitishe unakula kona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…