Hao ni chawa wamelipwa,ila huko field tusubiri mtifuano hasa,lema haogopi mtu,ali happy kaufyataHakuna kitu kimemuuma Lema na mashabiki wake kama hayo mapokezi.
Akidumu ni lazima iwe miaka mingapi?
Fanya kazi acha uongo, kwanza hakusema siku 3 Bali siku 7 ndo kawaida. Pili msafara hakuuleta yeye waliokuja kumpokea ndiyo waliratibu. Huyu mtu anapendwa tusiwe wanafiki.Makonda anateuliwa kwa lazima flani lakini huwa mambo hayo yana mwisho wake.
Ana makosa flani anafanya kila wakati tangu alipokuwa rc Dar na ameendelea kuyafanya siku zote.
Kitendo cha kuingia Arusha na msafara mrefu wa magari ndio kosa lake la kuanzia katika ajira yake mpya.
Tayari bila weledi wowote ameshatoa oda uhamiaji kuharakisha passport za watu wa arusha kutoka siku 14 hadi siku 3!
Makonda baada ya miezi 4 atakuwa amevuruga utalii Arusha na kuharibu diplomasia ya Arusha.
Mwisho Makonda ataondolewa Arusha na anaweza akajikuta tena akirudi kulialia na kuomba “manabii”wamwombee.
Nilikuwepo na hakuna mahali nimeona wamebubujikwa na machozi, embu acheni kuzidisha sifa ambazo hazipoWatu wa Arusha wamebubujikwa na machoji ya furaha baada ya kumpokea kiongozi shupavu na shujaa makonda.😎
Wewe Lucas tunakujua kwa kujipendekeza kwa watawala..hizi comments zako hazina jipya...Mwamba Makonda ataendelea kuchanja mbuga katika nafasi mbalimbali za kiuongozi katika Taifa letu.ni nyota ya matumaini na ni tumaini la mamilioni ya watanzania.kazi yake ni kuwatumikia watanzania kwa unyenyekevu na upendo mkubwa sana .katika hilo hana uoga wala hofu ya kumuogopa mtu.
Makonda anateuliwa kwa lazima flani lakini huwa mambo hayo yana mwisho wake.
Ana makosa flani anafanya kila wakati tangu alipokuwa rc Dar na ameendelea kuyafanya siku zote.
Kitendo cha kuingia Arusha na msafara mrefu wa magari ndio kosa lake la kuanzia katika ajira yake mpya.
Tayari bila weledi wowote ameshatoa oda uhamiaji kuharakisha passport za watu wa arusha kutoka siku 14 hadi siku 3!
Makonda baada ya miezi 4 atakuwa amevuruga utalii Arusha na kuharibu diplomasia ya Arusha.
Mwisho Makonda ataondolewa Arusha na anaweza akajikuta tena akirudi kulialia na kuomba “manabii”wamwombee.
Hata kwa Magufuli, mwishowe alimtema. Makonda hafugiki yule. Subirini, ni suala la wakati tu.
🤔🙄Makonda anateuliwa kwa lazima flani lakini huwa mambo hayo yana mwisho wake.
Ana makosa flani anafanya kila wakati tangu alipokuwa rc Dar na ameendelea kuyafanya siku zote.
Kitendo cha kuingia Arusha na msafara mrefu wa magari ndio kosa lake la kuanzia katika ajira yake mpya.
Tayari bila weledi wowote ameshatoa oda uhamiaji kuharakisha passport za watu wa arusha kutoka siku 14 hadi siku 3!
Makonda baada ya miezi 4 atakuwa amevuruga utalii Arusha na kuharibu diplomasia ya Arusha.
Mwisho Makonda ataondolewa Arusha na anaweza akajikuta tena akirudi kulialia na kuomba “manabii”wamwombee.
🤔🙄Mwamba Makonda ataendelea kuchanja mbuga katika nafasi mbalimbali za kiuongozi katika Taifa letu.ni nyota ya matumaini na ni tumaini la mamilioni ya watanzania.kazi yake ni kuwatumikia watanzania kwa unyenyekevu na upendo mkubwa sana .katika hilo hana uoga wala hofu ya kumuogopa mtu.
Hebu twambie passport unataka uipate baada ya muda gani?Makonda anateuliwa kwa lazima fulani lakini huwa mambo hayo yana mwisho wake.
Ana makosa flani anafanya kila wakati tangu alipokuwa RC Dar na ameendelea kuyafanya siku zote.
Kitendo cha kuingia Arusha na msafara mrefu wa magari ndio kosa lake la kuanzia katika ajira yake mpya.
Tayari bila weledi wowote ameshatoa oda uhamiaji kuharakisha passport za watu wa Arusha kutoka siku 14 hadi siku 3!
Makonda baada ya miezi 4 atakuwa amevuruga utalii Arusha na kuharibu diplomasia ya Arusha.
Mwisho Makonda ataondolewa Arusha na anaweza akajikuta tena akirudi kulialia na kuomba “manabii”wamwombee.
Na ushoga, vijana wa Arusha wengi washavuliwa ubingwa na watalii. Unaambiwa after zanzibar, arusha inafata kwa ushogaMagendo utapeli na madawa ya kulevya ndio task amepewa Makonda hapo Arusha...
Akimaliza ataondoka.
Kabisa mwamba!Huyu jamaa sidhani kama yupo timamu. Mamlaka za kiusalama zifiche hii aibu kwa Samia
Makonda ni mtu ambaye yupo "optimistic" sana kwa kile ambacho anakiamini, lakini anakosa "the right tactical skills" ya kiuongozi. Akiwa kama kiongozi wa juu wa mkoa kupitia katika cheo hicho cha ukamishna wa mkoa, anapaswa kutumia zaidi "abstract & administrative skills" kuliko zile za "technical" ili matokeo ya maamuzi yake yaonekane kupitia timu ya wasaidizi wake.Makonda anateuliwa kwa lazima fulani lakini huwa mambo hayo yana mwisho wake.
Ana makosa flani anafanya kila wakati tangu alipokuwa RC Dar na ameendelea kuyafanya siku zote.
Kitendo cha kuingia Arusha na msafara mrefu wa magari ndio kosa lake la kuanzia katika ajira yake mpya.
Tayari bila weledi wowote ameshatoa oda uhamiaji kuharakisha passport za watu wa Arusha kutoka siku 14 hadi siku 3!
Makonda baada ya miezi 4 atakuwa amevuruga utalii Arusha na kuharibu diplomasia ya Arusha.
Mwisho Makonda ataondolewa Arusha na anaweza akajikuta tena akirudi kulialia na kuomba “manabii”wamwombee.
Ukiwa Mtu wa Maombi lazima utaliombea na taifa lako na viongozi wako ngazi zote. Tamani kuwa Mtu huyo afu uone jinsi watu walivooza.ila unajinyamazia tuMwamba Makonda ni mpango wa Mungu Mwenyewe kuwepo hapo,ni kusudi la Mungu kumuinua na kumpa mbawa,ni Mungu mwenyewe ndiye aliye ndani yake na kumuongoza.Mungu asema akiwa ndani yako nawe ukawa ndani yake basi hutaingia kamwe gizani.
Kama hilo ndio lengo basi ujue wamemsogeza kwenye eneo la kupokea fedha za madawa ya kulevya. Makonda sio kiongozi muadilifu, Bali ni mlevi wa madaraka.Magendo utapeli na madawa ya kulevya ndio task amepewa Makonda hapo Arusha...
Akimaliza ataondoka.
Uzuri wako hua uko vizuri sana kwenye kutoa shutuma...Kama hilo ndio lengo basi ujue wamemsogeza kwenye eneo la kupokea fedha za madawa ya kulevya. Makonda sio kiongozi muadilifu, Bali ni mlevi wa madaraka.