Paul Makonda ni wazi hatadumu Arusha

Paul Makonda ni wazi hatadumu Arusha

Acha kuweweseka na kupata homa wewe.kwa hiyo ulitaka watu wenye upendo na wenye hamasa na kiu kubwa ya kumkaribisha Mheshimiwa Makonda Arusha wasiende kumpokea kwa kuogopa msafara utakuwa mrefu na magari kuwa mengi? Ndio akili yako hiyo ya kinyumba ilipofikia?

Watu wamejitokeza kwa hiyari yao ,kwa magari yao,kwa mafuta yao na kwa upendo na mapenzi yao makubwa kwa Mheshimiwa Makonda katika kumlaki na kumkaribisha Arusha.hakuna aliyelazimishwa wala kushikiwa bunduki ili awashe gari kwenda kumpokea.

Mwamba Makonda ni kama maji tu huwezi kuyakwepa.usipoyanywa utayaoga tuu .
Wakati Yuko benchi walikuwa wanakutana wapi!?
 
Makonda hajaenda Arusha kudumu kama alivokua mwenezi CCM,ameenda kwa kazi maalumu ambayo kapewa na kitengo Cha samiah!!

Huyo ni pace maker kaenda kuiandaa Arusha kuwa ngome ya CCM halafu akimaliza atapangiwa pengine!!

Japo sio mwadilifu kivile lakini style yake ndio inahitajika kwa siasa za sasa!!

Ningekua mimi ningemtumia makonda na Pm majaliwa kukiweka chama mstarini!
 
Unaongea us3nge tu wewe,kampuni zimepelekewa barua kuwataka watoe watu na magari kwenda kumpokea makonda kwa lazima, mfano kiwanda cha nguo cha AtoZ kimepeleka kwa lazima wafanyakazi wote waliotoka shift ya usiku,niliwakuta wakilalamika na kulaani kitendo hicho,kwani muda huo walpaswa kupumzika ili waingie tena kazini usiku, leopard tours,nk pia walishurutishwa kupeleka watu na magari kwa lazima,hukai arusha,huyajui ya arusha

E
Mkuu, yaani unapoteza muda wako kumjibu huyo mtu.
 
Makonda hajaenda Arusha kudumu kama alivokua mwenezi CCM,ameenda kwa kazi maalumu ambayo kapewa na kitengo Cha samiah!!

Huyo ni pace maker kaenda kuiandaa Arusha kuwa ngome ya CCM halafu akimaliza atapangiwa pengine!!

Japo sio mwadilifu kivile lakini style yake ndio inahitajika kwa siasa za sasa!!

Ningekua mimi ningemtumia makonda na Pm majaliwa kukiweka chama mstarini!
Kwani Arusha kuna. Mbunge au Diwani au Mwenyekiti wa Kijiji/Mtaa ambaye sio CCM??
Ngome ipi?
 
Si unajua walipitaje!!?Kwa mkono was chuma was mwendazake!!!?

Tunafanya siasa za maigizo za kistaarabu tofauti na zile za 2020!
Watapita hivyo maana akina Makonda ndio walizipitisha. Kifupi Mungu kamkataa huyo bwana japo nguvu za giza zinalaimisha aendelee kuwepo
 
Makonda anateuliwa kwa lazima fulani lakini huwa mambo hayo yana mwisho wake.

Ana makosa flani anafanya kila wakati tangu alipokuwa RC Dar na ameendelea kuyafanya siku zote.

Kitendo cha kuingia Arusha na msafara mrefu wa magari ndio kosa lake la kuanzia katika ajira yake mpya.

Tayari bila weledi wowote ameshatoa oda uhamiaji kuharakisha passport za watu wa Arusha kutoka siku 14 hadi siku 3!

Makonda baada ya miezi 4 atakuwa amevuruga utalii Arusha na kuharibu diplomasia ya Arusha.

Mwisho Makonda ataondolewa Arusha na anaweza akajikuta tena akirudi kulialia na kuomba “manabii”wamwombee.
Hiyo ya passport ni siku saba, siyo tatu. Rejea siku aliyofika Arusha.
 
Makonda anateuliwa kwa lazima fulani lakini huwa mambo hayo yana mwisho wake.

Ana makosa flani anafanya kila wakati tangu alipokuwa RC Dar na ameendelea kuyafanya siku zote.

Kitendo cha kuingia Arusha na msafara mrefu wa magari ndio kosa lake la kuanzia katika ajira yake mpya.

Tayari bila weledi wowote ameshatoa oda uhamiaji kuharakisha passport za watu wa Arusha kutoka siku 14 hadi siku 7!

Makonda baada ya miezi 4 atakuwa amevuruga utalii Arusha na kuharibu diplomasia ya Arusha.

Mwisho Makonda ataondolewa Arusha na anaweza akajikuta tena akirudi kulialia na kuomba “manabii”wamwombee.
Screenshot_20231102_120808_Remix.png
 
Makonda ni self destruction machine, sijui ni laana za watu. Alifit kwa Magufuli peke yake maana wanaendana ujinga wao.
Exactly.
Lazima uwe mpuuzi sana kuendana na hii kitu isiyo na utaratibu na discipline ya uongozi..jeuri, sifa za kishamba na udhalilishaji. Anaingilia kila kitu ka.a mama wa kiswahili asiejua nafasia
yake
 
Makonda anateuliwa kwa lazima fulani lakini huwa mambo hayo yana mwisho wake.

Ana makosa flani anafanya kila wakati tangu alipokuwa RC Dar na ameendelea kuyafanya siku zote.

Kitendo cha kuingia Arusha na msafara mrefu wa magari ndio kosa lake la kuanzia katika ajira yake mpya.

Tayari bila weledi wowote ameshatoa oda uhamiaji kuharakisha passport za watu wa Arusha kutoka siku 14 hadi siku 7!

Makonda baada ya miezi 4 atakuwa amevuruga utalii Arusha na kuharibu diplomasia ya Arusha.

Mwisho Makonda ataondolewa Arusha na anaweza akajikuta tena akirudi kulialia na kuomba “manabii”wamwombee.
Kwanza elewa hakuna mkuu wa mkoa wa milele, ila nyie watumishi wajinga spana zinawahusu
 
Hakuna kitu kimemuuma Lema na mashabiki wake kama hayo mapokezi.

Akidumu ni lazima iwe miaka mingapi?
Kwa taarifa yako wanaoteseka na makonda ni hayo majizi kwa mgongo wa utumishi wa umma
 
Makonda anateuliwa kwa lazima fulani lakini huwa mambo hayo yana mwisho wake.

Ana makosa flani anafanya kila wakati tangu alipokuwa RC Dar na ameendelea kuyafanya siku zote.

Kitendo cha kuingia Arusha na msafara mrefu wa magari ndio kosa lake la kuanzia katika ajira yake mpya.

Tayari bila weledi wowote ameshatoa oda uhamiaji kuharakisha passport za watu wa Arusha kutoka siku 14 hadi siku 7!

Makonda baada ya miezi 4 atakuwa amevuruga utalii Arusha na kuharibu diplomasia ya Arusha.

Mwisho Makonda ataondolewa Arusha na anaweza akajikuta tena akirudi kulialia na kuomba “manabii”wamwombee.
Katika Serikali yenye upungufu wa fedha ili kukidhi Bajeti, Makonda anapata wapi pesa za kuwagawia watu wakati yeye mwenyewe anatamka kwamba Viongozi wenzake wanaenda kuomba Mafuta ya Magari kwa Mkurugenzi?
Pili, leo hii ukimuondoa Makonda Arusha, kwa Staili ya utawala wake, CCM Arusha haitaona ndani mbele ya CHADEMA.
Makonda amejigeuza kuwa Mkombozi wa matatizo ya Wananchi.
Amefanikisha hilo kwa kuwabagaza Viongozi wote hapo Mkoani, bila kujali kuwa huyu ni Mkuu wa Wilaya au Mtendaji wa Kijiji.
Pamoja na kwamba anaonekana Shujaa, hii ni hatari kwa sababu inaficha uhalisia wa matatizo ya Wana-Arusha na Watanzania kwa ujumla.
Mahakamani hakuna haki.
Polisi hakuna haki.
Kwa Mtendaji wa Kijiji hakuna haki.
Kwa Mkurugenzi wa Jiji hakuna haki.
HAPA TAFSIRI YAKE NI KWAMBA MFUMO WA UTAWALA UMEFELI.
MFUMO ukifeli maana yake KATIBA YA NCHI IMEFELI.
Na anayethibitisha yote haya ni Mteule wa Rais, Mkuu wa Mkoa Paul Makonda.
KATIBA MPYA ndiyo dawa pekee.
 
Exactly.
Lazima uwe mpuuzi sana kuendana na hii kitu isiyo na utaratibu na discipline ya uongozi..jeuri, sifa za kishamba na udhalilishaji. Anaingilia kila kitu ka.a mama wa kiswahili asiejua nafasia
yake
MAKONDA RAIS 2030 BOMAYEEE
 
Back
Top Bottom