Afisa Mteule Drj 2
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 3,865
- 4,506
Umemuacha samia umemrukia makonda,mkaribishe kwako alale na wewe kitanda kimoja akuliwaze vizuriMwamba ni mwamba tu.kama una chuki zako binafsi basi nakwambia ya kuwa utakufa kwa presha mwaka huu maana unakwenda kumsikia Makonda akiteka anga la siasa za Tanzania na vyombo vyote vya habari kila uchwao kwa habari njema za maendeleo .
Una HAKIKA anao mkia Hadi aufyate?Hao ni chawa wamelipwa,ila huko field tusubiri mtifuano hasa,lema haogopi mtu,ali happy kaufyata
Ni kweli Mkuu. Aliyemteua ni mwenye jinsia ya kike lkn yeye kwa kulewa madaraka akatamka wazi kuwa hata uteuzi wake ukidumu kwa muda mchache,.atakuwa ameweka alama. Kila atakaekuja baada yake lazima aseme "kuna MWANAUME" aliyepita hapa.Aliyemteua ndio kabugi men
Udhibitisho nikatoe kwa nani, kwa hivi vyombo vinavyolinda viongozi wezi?Uzuri wako hua uko vizuri sana kwenye kutoa shutuma...
Ukiambiwa uthibitishe unakula kona.
apo ukishaandika ugoro wako unawatumia screenshot pamoja na invoice ? au wewe unejitolea tu kua ngiri wa watu wasiasa?Mwamba Makonda ataendelea kuchanja mbuga katika nafasi mbalimbali za kiuongozi katika Taifa letu.ni nyota ya matumaini na ni tumaini la mamilioni ya watanzania.kazi yake ni kuwatumikia watanzania kwa unyenyekevu na upendo mkubwa sana .katika hilo hana uoga wala hofu ya kumuogopa mtu.
Amelaaniwa huyo nyamitako wakoUsishindane na aliye barikiwa na kupewa kibali na Mwenyezi Mungu,usishindane na aliyepakwa mafuta na Mungu wenyewe,usishindane na aliyeinuliwa na Mkono wa Mungu,usishindane na nyota na nuru iliyowashwa na Mungu.huwezi ukazima wala kufifisha nyota ya Makonda.huwezi kwamwe kumshusha Mwamba Makonda kwa chuki zako binafsi na roho mbaya.
Wapi wengi sana waliomtabiria mabaya lakini kwa bahati mbaya wote walishapotea katika ulingo wa siasa na kumuacha Mwamba Makonda akichanja mbuga na kutawala na kuteka mioyo ya watanzania
Kumbe ndiyo anachoringia huyu nyamitako
Dua la kukuMakonda anateuliwa kwa lazima fulani lakini huwa mambo hayo yana mwisho wake.
Ana makosa flani anafanya kila wakati tangu alipokuwa RC Dar na ameendelea kuyafanya siku zote.
Kitendo cha kuingia Arusha na msafara mrefu wa magari ndio kosa lake la kuanzia katika ajira yake mpya.
Tayari bila weledi wowote ameshatoa oda uhamiaji kuharakisha passport za watu wa Arusha kutoka siku 14 hadi siku 3!
Makonda baada ya miezi 4 atakuwa amevuruga utalii Arusha na kuharibu diplomasia ya Arusha.
Mwisho Makonda ataondolewa Arusha na anaweza akajikuta tena akirudi kulialia na kuomba “manabii”wamwombee.
Kamwe makonda hajanyanyuliwa na Mungu Bali kabebwa na bi tozo na atakapochoka utamwokota majalalaniUsishindane na aliye barikiwa na kupewa kibali na Mwenyezi Mungu,usishindane na aliyepakwa mafuta na Mungu wenyewe,usishindane na aliyeinuliwa na Mkono wa Mungu,usishindane na nyota na nuru iliyowashwa na Mungu.huwezi ukazima wala kufifisha nyota ya Makonda.huwezi kwamwe kumshusha Mwamba Makonda kwa chuki zako binafsi na roho mbaya.
Wapi wengi sana waliomtabiria mabaya lakini kwa bahati mbaya wote walishapotea katika ulingo wa siasa na kumuacha Mwamba Makonda akichanja mbuga na kutawala na kuteka mioyo ya watanzania
Ata ondolewaMakonda anateuliwa kwa lazima fulani lakini huwa mambo hayo yana mwisho wake.
Ana makosa flani anafanya kila wakati tangu alipokuwa RC Dar na ameendelea kuyafanya siku zote.
Kitendo cha kuingia Arusha na msafara mrefu wa magari ndio kosa lake la kuanzia katika ajira yake mpya.
Tayari bila weledi wowote ameshatoa oda uhamiaji kuharakisha passport za watu wa Arusha kutoka siku 14 hadi siku 3!
Makonda baada ya miezi 4 atakuwa amevuruga utalii Arusha na kuharibu diplomasia ya Arusha.
Mwisho Makonda ataondolewa Arusha na anaweza akajikuta tena akirudi kulialia na kuomba “manabii”wamwombee.
Ata ondolewa baada ya uwanja wa mpira kumalizikaUnaongea us3nge tu wewe,kampuni zimepelekewa barua kuwataka watoe watu na magari kwenda kumpokea makonda kwa lazima, mfano kiwanda cha nguo cha AtoZ kimepeleka kwa lazima wafanyakazi wote waliotoka shift ya usiku,niliwakuta wakilalamika na kulaani kitendo hicho,kwani muda huo walpaswa kupumzika ili waingie tena kazini usiku, leopard tours,nk pia walishurutishwa kupeleka watu na magari kwa lazima,hukai arusha,huyajui ya arusha
E
sawa aje wadudu wa chuiga wako stand-by wanamsubiriUzi wa 200, tangu bomaye awasiri kituo chake hapo arusha. Acheni kuwewesekaa. Wizi wa magari utakomeshwa. Makelele yenu hayasaidii kituu.
Hili ni tusi la kihehe ....liki maanisha..... mavi kwenye sehemu ya haja kubwaMifi kumunioo
We bado mdogo ubongo bado mtekeMakonda anateuliwa kwa lazima fulani lakini huwa mambo hayo yana mwisho wake.
Ana makosa flani anafanya kila wakati tangu alipokuwa RC Dar na ameendelea kuyafanya siku zote.
Kitendo cha kuingia Arusha na msafara mrefu wa magari ndio kosa lake la kuanzia katika ajira yake mpya.
Tayari bila weledi wowote ameshatoa oda uhamiaji kuharakisha passport za watu wa Arusha kutoka siku 14 hadi siku 3!
Makonda baada ya miezi 4 atakuwa amevuruga utalii Arusha na kuharibu diplomasia ya Arusha.
Mwisho Makonda ataondolewa Arusha na anaweza akajikuta tena akirudi kulialia na kuomba “manabii”wamwombee.
Ndugu yangu umeyasikia hayo tu? Hujasikia pia akisema wanyonge wasidhurumiwe haki zao maana hawana mtetezi na kwamba yeye ndo atakuwa mtetezi wao? Hilo hukusikia au hulitaki??Makonda anateuliwa kwa lazima fulani lakini huwa mambo hayo yana mwisho wake.
Ana makosa flani anafanya kila wakati tangu alipokuwa RC Dar na ameendelea kuyafanya siku zote.
Kitendo cha kuingia Arusha na msafara mrefu wa magari ndio kosa lake la kuanzia katika ajira yake mpya.
Tayari bila weledi wowote ameshatoa oda uhamiaji kuharakisha passport za watu wa Arusha kutoka siku 14 hadi siku 3!
Makonda baada ya miezi 4 atakuwa amevuruga utalii Arusha na kuharibu diplomasia ya Arusha.
Mwisho Makonda ataondolewa Arusha na anaweza akajikuta tena akirudi kulialia na kuomba “manabii”wamwombee.
Ndani ya masaa matatu!Hebu twambie passport unataka uipate baada ya muda gani?
Ni mnafiq mkubwa na hapendwi hata na CCM wenyewe na utaona nini kitampata Arusha.Fanya kazi acha uongo, kwanza hakusema siku 3 Bali siku 7 ndo kawaida. Pili msafara hakuuleta yeye waliokuja kumpokea ndiyo waliratibu. Huyu mtu anapendwa tusiwe wanafiki.
ashasema hata akikaa siku moja poa tuMakonda anateuliwa kwa lazima fulani lakini huwa mambo hayo yana mwisho wake.
Ana makosa flani anafanya kila wakati tangu alipokuwa RC Dar na ameendelea kuyafanya siku zote.
Kitendo cha kuingia Arusha na msafara mrefu wa magari ndio kosa lake la kuanzia katika ajira yake mpya.
Tayari bila weledi wowote ameshatoa oda uhamiaji kuharakisha passport za watu wa Arusha kutoka siku 14 hadi siku 3!
Makonda baada ya miezi 4 atakuwa amevuruga utalii Arusha na kuharibu diplomasia ya Arusha.
Mwisho Makonda ataondolewa Arusha na anaweza akajikuta tena akirudi kulialia na kuomba “manabii”wamwombee.
Mungu amemkataaMakonda anateuliwa kwa lazima fulani lakini huwa mambo hayo yana mwisho wake.
Ana makosa flani anafanya kila wakati tangu alipokuwa RC Dar na ameendelea kuyafanya siku zote.
Kitendo cha kuingia Arusha na msafara mrefu wa magari ndio kosa lake la kuanzia katika ajira yake mpya.
Tayari bila weledi wowote ameshatoa oda uhamiaji kuharakisha passport za watu wa Arusha kutoka siku 14 hadi siku 3!
Makonda baada ya miezi 4 atakuwa amevuruga utalii Arusha na kuharibu diplomasia ya Arusha.
Mwisho Makonda ataondolewa Arusha na anaweza akajikuta tena akirudi kulialia na kuomba “manabii”wamwombee.