Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unawezakua na Vimeo na tukabaki salama kisa unafahamiana na watawala?
Na kumbe baadhi ya taasisi za serikali zinanywea na kupindisha utekelezaji wa majukumu yao Kwa baadhi ya watu?
Na mwisho, inamaana yeye hua anatumika na watu Kwa maslahi yake binafsi.
Hii aitolee ufafanuzi wa kina vinginevyo TCRA watamsingizia mengi likiwemo la wao kushindwa kuwadhibiti watuma meseji za uongo zile za "... Tuma kwenye namba hii ..."
Asante mkuuNi TCRA mkuu sio TRA.
Amekiri alikuwa anawakingia kifua
Ili iweje?Upo tayari utajiwe waliowataja waliotangulia mbele za haki?
Kumbuka TCRA siyo TRA.Duuh! Kwamba clouds walikuwa wanakwepa kulipa kodi kwa oda yake, au, sawa
BASHITE ni pure zero brain..Hayo maneno yenyewe tu ni uongo tosha!
Kwamba walinzi wake walikuwa pia walinzi wa ruge.
Kwamba ile video walikuwa wanaigiza kwenda kuhojiana na bunduki!
Kwamba vile walisukuma mlango pasipo kufunguliwa ilikuwa wanatest
So hili linazuia yy kuwa mvamizi wa clouds Media? Wanauana watu wanajifunika shuka moja miaka 20 itakuwa yy katika awamu fupi ya utawala. Angekaa kimya could be better!!Can you imagine ilikuwa imefika hatua wanaitwa na TCRA mimi na-show up, Ruge anapiga simu Brother eeh jamaa wamekuja TCRA, tuna kimeo hapa. Wananiambia niko wapi nawaambia tulia nakuja"
Ili uone si jambo la kushanga Wala kudadisiIli iweje?
Anajaribu kutumia logic yako kwa wanaomtaja JPM kwenye tuhuma wakati yeye kafa.Ili iweje?
Imani tu hizo mkuu hazina maana yoyote.Kuna watu damu ikimwagiga tu huibuka na kuanza kuongea.Hapa utagundua damu ina mengi katika ulimwengu wa roho katika Kisiwa cha Piece.Watu wa Ulimwengu wa Roho mtaelewa.Tuendelee kujua Damu inanunua!!.