Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ngoja tuoneHakika hiki ni kichekesho! Katika siku muhimu kama Mei Mosi kwa wafanyakazi.wanaowazia hatima ya kazi zao, mishahara na mafao yao ya kustaafu, pension zao, kupandishwa vyeo na kila linalowasibu eti ndio haya tena ya Makonda?
Mbele ya makamu wa Rais anayemwakilisha Rais mnasema bila aibu kuwa Makonda ni mbunifu kisa WADUDU?
Yaani bila aibu mnaleta vijana wakuwapeleka Rehab mbele ya Rais, mabalozi na wakuu wengine wakiwapo WAFANYAKAZI WATUKUFU?
Mbona toka aseme anawajua wanaolipa wamtukanao Rais sasa kujipendekeza kwake kumekuwa kukubwa kama kuogopa wasitajwe?
WADUDU NDIO UBUNIFU WA MAKONDA?!
View: https://youtu.be/aFZXjQc901U?si=08otvhLulbWRB6VL
Leo mtalala na viatu . maana mmetambua kuwa Mwamba Makonda ni Mwamba kwelikweliJoyce wowowo ana ubinifu au anatia gundu sherehe ya wafanyakazi kwa kuweka uccm wake?
Hahahah, Mkuu em amka hii ndoto ni mbaya.Naona nyota ya Paul Makonda inang'aa sana jijini Arusha. Inaonekana wakazi wengine sana wa Arusha wamemkubali, Kihistoria Arusha haina kabila, nahisi huyu jamaa anaweza chukua Jimbo.
Labda kama mna ugomvi binafsi lakini Makonda ni namba nyingine.Kama Makonda ni kiongozi bora kwako basi wewe ni mtu wa hovyo kabisa!
Yaani kila mahali ni chawa tu!Naona nyota ya Paul Makonda inang'aa sana jijini Arusha. Inaonekana wakazi wengi sana wa Arusha wamemkubali, Kihistoria Arusha haina kabila, nahisi huyu jamaa anaweza chukua Jimbo.
Katika ile clip makonda hakukemea kupromotiwa ulevi pekee, na ndio maana alimtaja mpaka Dr shika, rudi uiskilize vzuri. Alichokemea yy ni kuwapromote vijana wa hovyo,Kwani mada ni nini?Makonda alikemea ulevi kupromotiwa kwenye suala la Liquid!
Ulitaka azungumzie jambo lisilokuwa muafaka kwenye hiyo mada?
Shule mlikwenda kufanya nini?
Ukiulizwa una miaka mingapi tangu uzaliwe utaona umedharaulika?Jitahidi uwe unatulia na unanyamaza ili tusijue kilema chako aisee!Naona nyota ya Paul Makonda inang'aa sana jijini Arusha. Inaonekana wakazi wengi sana wa Arusha wamemkubali, Kihistoria Arusha haina kabila, nahisi huyu jamaa anaweza chukua Jimbo.
Sawa, Ila kwenye hii ishu makonda amezingua.Kumbe Hauna akili.
Sawa!! Asante kwa taarifa nzuri!!Ndugu zangu Watanzania,
Katika sherehe za leo zinazoendelea mkoani Arusha na kwa nanmna zilivyofaana na kupendeza na kuvutia na kubwa zaidi kwa namna watu walivyofurika na kumiminika ni haijawahi kutokea katika Historia ya sherehe za Mei Mosi. Hii inabaki katika kumbukumbu ya Mei Mosi iliyohudhuriwa na watu wengi sana kuwahi kutokea katika Taifa letu.
Makonda ni Mwamba na bingwa wa mikakati na Jabali la mipango na hamasa. Jamaa anakubalika na kiongozi mwenye nyota kali sana ya kupendwa na watu pamoja na kuheshimika.leo Arusha imeitikia,kanda ya kaskazini imeamka na kwenda kuungana na Mwamba Makonda katika mapokezi mazito ya ugeni wa kitaifa na watu kutoka maeneo mbalimbali ya Taifa letu.
Kwa hakika ukitaka shuguli yako ipendeze katika jambo lolote lile ,basi wewe mkabidhi kazi hiyo Mwamba Makonda halafu muachie akufanyie kazi.kwa hakika leo Mwamba ameonyesha yeye ni mtu na nusu,ni kipenzi cha wana Arusha na watanzania wote kwa ujumla ,ni kipenzi cha vijana na watu wa makundi mbalimbali na ni kiongozi wa kutumainiwa na kutegemewa kwa Taifa letu.
Ipo siku Mwamba atashika nafasi za juu kabisa za uongozi ndani ya serikali yetu.ipo siku watu wataandamana na kumbeba Mwamba Makonda Mabegani mwao kumshukuru ,kumpongeza na kumtia moyo kwa uchapa kazi wake. Ukimchukia Mwamba Makonda unajiumiza tu maana kwa kadri unavyomchukia ndivyo anavyodhidi kuchanja mbuga katika mioyo ya mamilioni ya watanzania. Usishindane na aliyepewa kibali na Mungu.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mwamba Makonda anawatesa sana wapinzani na nyumbu wa CHADEMA. Mafuriko yaliyomiminika leo uwanjani mpaka wengine kukosa nafasi na kuamua kubakia nje ya uwanja kumewaumiza na kuwatetemesha sana sana CHADEMA, mpaka sasa wamebaki wanaweweseka tu kama wagonjwa wa malaria kali. Hapo bado Mwamba hajamaliza hata nusu mwaka.aa
kwenye hili la mei mosi vichwa vyetu vikiwa na uwezo wa chini kidogo katika kufikiri basi ni vizuri humu ndani ya nchi tukaiona mei mosi katika kuitizama kwa mtizamo wa Kitaifa zaidi badala ya kuipa mtizamo wa itikadi za kichama ama kidini/kikabila.Mwamba Makonda anawatesa sana wapinzani na nyumbu wa CHADEMA. Mafuriko yaliyomiminika leo uwanjani mpaka wengine kukosa nafasi na kuamua kubakia nje ya uwanja kumewaumiza na kuwatetemesha sana sana CHADEMA, mpaka sasa wamebaki wanaweweseka tu kama wagonjwa wa malaria kali. Hapo bado Mwamba hajamaliza hata nusu mwaka.
Si mnapenda maigizo na mambo ya kipunguani,furahieni Sasa ndio hamasa zenyewe ambazo wanyonge wanazipenda,hata Jiwe alikuwa anakula eti mahindi aliyonunua Kwa wanyonge(wauza madafu) mnachekelea huku umaskini ukizidi kuwapausha 😁😁Hakika hiki ni kichekesho! Katika siku muhimu kama Mei Mosi kwa wafanyakazi.wanaowazia hatima ya kazi zao, mishahara na mafao yao ya kustaafu, pension zao, kupandishwa vyeo na kila linalowasibu eti ndio haya tena ya Makonda?
Mbele ya makamu wa Rais anayemwakilisha Rais mnasema bila aibu kuwa Makonda ni mbunifu kisa WADUDU?
Yaani bila aibu mnaleta vijana wakuwapeleka Rehab mbele ya Rais, mabalozi na wakuu wengine wakiwapo WAFANYAKAZI WATUKUFU?
Mbona toka aseme anawajua wanaolipa wamtukanao Rais sasa kujipendekeza kwake kumekuwa kukubwa kama kuogopa wasitajwe?
WADUDU NDIO UBUNIFU WA MAKONDA?!
View: https://youtu.be/aFZXjQc901U?si=08otvhLulbWRB6VL
hiyo silaha amekuja nayo lisu ni ya kupiga kwenye mshono, hata ndugu zako wachuna ngozi kule mbozi wanapenda kusikia hiyo hoja ya Tanganyika.Naona mmepaniki kwelikweli CHADEMA na kuumia sana baada ya kuona ngome zenu zinaendelea kusambaratishwa na kubomolewa na Mwamba Mwenyewe Makonda.
Naona nyota ya Paul Makonda inang'aa sana jijini Arusha. Inaonekana wakazi wengi sana wa Arusha wamemkubali, Kihistoria Arusha haina kabila, nahisi huyu jamaa anaweza chukua Jimbo.
Hawa wengine wamevuka hatua ya uchawa. Wamekuwa kunguni.Yaani kila mahali ni chawa tu!
Hata ujumbe wa nyumba kumi,wajumbe wenzie tunakula kichwaaaa🤪Naona nyota ya Paul Makonda inang'aa sana jijini Arusha. Inaonekana wakazi wengi sana wa Arusha wamemkubali, Kihistoria Arusha haina kabila, nahisi huyu jamaa anaweza chukua Jimbo.
Aliekwambia Arusha hamna kabila ni nani?? Wenyeji wa Arusha ni wamasai na WA meru, hao unaona wanajiita waarusha wote ni Masai haoNaona nyota ya Paul Makonda inang'aa sana jijini Arusha. Inaonekana wakazi wengi sana wa Arusha wamemkubali, Kihistoria Arusha haina kabila, nahisi huyu jamaa anaweza chukua Jimbo.