Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Hakika hiki ni kichekesho! Katika siku muhimu kama Mei Mosi kwa wafanyakazi.wanaowazia hatima ya kazi zao, mishahara na mafao yao ya kustaafu, pension zao, kupandishwa vyeo na kila linalowasibu eti ndio haya tena ya Makonda?
Mbele ya makamu wa Rais anayemwakilisha Rais mnasema bila aibu kuwa Makonda ni mbunifu kisa WADUDU?
Yaani bila aibu mnaleta vijana wakuwapeleka Rehab mbele ya Rais, mabalozi na wakuu wengine wakiwapo WAFANYAKAZI WATUKUFU?
Mbona toka aseme anawajua wanaolipa wamtukanao Rais sasa kujipendekeza kwake kumekuwa kukubwa kama kuogopa wasitajwe?
WADUDU NDIO UBUNIFU WA MAKONDA?!

View: https://youtu.be/aFZXjQc901U?si=08otvhLulbWRB6VL

Wadudu mbona wapo kitambo sana chalii yangu!
 
Whoever thinks that one day Makonda will be a President in Tanzania is both a Psychopath and a Certified damn Fool.
Akipitishwa na CCM atakuwa hivyo huku wananchi tumeufyata, mbona tumeufyata kuhusu wabunge wasiokuwa na vyama kinyume cha katiba!
 
Mwamba Makonda anawatesa sana wapinzani na nyumbu wa CHADEMA. Mafuriko yaliyomiminika leo uwanjani mpaka wengine kukosa nafasi na kuamua kubakia nje ya uwanja kumewaumiza na kuwatetemesha sana sana CHADEMA, mpaka sasa wamebaki wanaweweseka tu kama wagonjwa wa malaria kali. Hapo bado Mwamba hajamaliza hata nusu mwaka.
Kwani chadema ndiyo wanataka kuongezwa mshahara na kikokotoo!!? Mkuu hivi una akili kweli!
 
Hakuna mwenye akili Timamu anayetaka kusikia ujinga wa Lissu
mkuu wewe ulishawekwa kwenye kundi la wasio na akili timamu, hata ukiongea hapa ukiona watu hawakujali jua wanafahamu kuwa una shida kichwani. kama hauna shida kichwani niambie faida za muungano wewe mtu wa mbozi kwa wachuna ngozi huko, ziorodheshe hapa.
 
mkuu wewe ulishawekwa kwenye kundi la wasio na akili timamu, hata ukiongea hapa ukiona watu hawakujali jua wanafahamu kuwa una shida kichwani. kama hauna shida kichwani niambie faida za muungano wewe mtu wa mbozi kwa wachuna ngozi huko, ziorodheshe hapa.
Wewe hustahili hata kujibiwa maana akili yako ni fupi .
 
Wewe hustahili hata kujibiwa maana akili yako ni fupi .
hahaha, ndio maana nimesema wewe mgonjwa. siku zote mgonjwa huwa hajijui kama ana shida kichwani. hapo ulipo hauamini kama una shida. tutajie faida za muungano, hata moja tu.
 
Huko ndio kuweweseka kwenyewe unakosema kuwa watu walisombwa na kulazimishwa kwenda.jambo ambalo ni la uongo na uzushi mkubwa sana usio na chembe ya aina yoyote ile ya ukweli.kwa sababu kila mtu anafahamu namna watu walivyokuwa na furaha na morali kubwa ya kuhudhulia sherehe hizo za ndio mosi. Unaweza vipi wabeba watu maelfu kwa maelfu mpaka wengine wakawa nje ya uwanja? Utawabeba kwa kutumia nini? Acheni wivu na chuki binafsi maana tunakoelekea mtaugua presha tu kwa sababu CHADEMA mnakwenda kubakia katika makabati chakavu.

IMG_20240502_080431.jpg
 
Wadudu mbona wapo kitambo sana chalii yangu!
Hata vichaa wapo long time, wajinga pia wapo. Issue hapa sio uwepo wao bali kuenziwa wa ujinga wao na kumsifa kiongozi kuwa ni mbunifu kwa kuwa leta hadharani.
Hivi baada ya tukio lile kuna mtu anaweza kuwaambia tabia zenu sio sawa?
Kwanza ile ni fedheha kwa jamii ya Arusha kuwa hao ni sehemu ya utamaduni wanao jivunia!
Kesho Dar watajisifia Panyarodi wao!
 
Kuleta binadamu na kuwaita wadudu (insects) mmeona la wiini.
Hakika wale wadudu sijui Ni chawa au kunguni Kuna siku wataharibu.
Those are hooligans. Utakubalije MTU akuite mdudu? Tabia ya wadudu sotetwazijua.
 
GTs,
Sijamuona Katibu Mkuu CDE Dkt Nchimbi na CDE Makalla kwenye Mei Mosi hapa Arusha. Ila nadhani kimoyo moyo walijisema lazima watu wasusie kwenda Arusha kisa Makonda. Ila kwa hiyo nyomi nadhani wajiulize maswali mengi sana kwanini? Mungu ambariki sana Makonda.
Wewe ndio hujitambui kuwa ile gathering ni ya chama cha wafanyakazi, Makonda au mwanasiasa mwingine ni mwalikwa tu. Hao unaosema wamesusia labda hawakualikwa. By the way waalikwe kama nani? Pale siyo kwenye jukwaa la kisiasa
 
GTs,
Sijamuona Katibu Mkuu CDE Dkt Nchimbi na CDE Makalla kwenye Mei Mosi hapa Arusha. Ila nadhani kimoyo moyo walijisema lazima watu wasusie kwenda Arusha kisa Makonda. Ila kwa hiyo nyomi nadhani wajiulize maswali mengi sana kwanini? Mungu ambariki sana Makonda.
mafisiemu mna shida sana mbona mama yenu anayeupiga mwingi hakuwepo naye alisusa ama?
 
Hawa ndio wadudu anaowaenzi Makonda na anaitwa mbunifu.
 

Attachments

  • VID-20240502-WA0011.mp4
    6.4 MB
Back
Top Bottom