Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Wamedanganywa wadudu kuwa Rais ndio kawatambua sasa wako happy sana!
 

Attachments

  • VID-20240502-WA0012.mp4
    11.2 MB
Kumekucha, jana kumbe wamebebeshwa mabango kwa ahadi ya kupewa 5M lakini leo Wadudu wameenda kuchukuwa chao wanafungiwa mlango sasa wamekiwasha ofisi ya Makonda hawaelewi kitu.
Hao ndio Wadudu, ubunifu wa Makonda!
 

Attachments

  • VID-20240502-WA0013.mp4
    12.2 MB
Nchi hii bwana haiishi vituko. Walianza chawa sasa tuna wadudu wa dampo!! Watu wanachekelea, wanwafurajia na kuwapigia makofi. Lakini mwizi "mheshimiwa" ukimwita mwizi unaitwa au unachukuliwa kwa nguvu kwenda kuhojiwa kituoni. Hatareee!!
 
Waziri wa uwekezaji Prof Kitila Mkumbo amekiri kuwa mkuu wa mkoa wa Arusha bwana Paul Makonda ni spesho na ni akili kubwa kwelikweli kwani tangu ateuliwe mkoa wa Arusha umekuwa bize sana na kwa muda mfupi ameibua fursa na kutambua makundi mbalimbali ikiwemo wadudu!
Kabla ya Makonda kufika Arusha kundi la wadudu lilitambulika kama wahuni fulani tu na walipuuzwa na watu wote, lakini alipofika Makonda amewageuza wadudu kama fursa ya kutangaza utalii wa mkoa huo.


View: https://youtu.be/G5lDgk8jdcw?si=FkC-T7c1PIgyYbB2
 
Waziri wa uwekezaji Prof Kitila Mkumbo amekiri kuwa mkuu wa mkoa wa Arusha bwana Paul Makonda ni spesho na ni akili kubwa kwelikweli kwani tangu ateuliwe mkoa wa Arusha umekuwa bize sana na kwa muda mfupi ameibua fursa na kutambua makundi mbalimbali ikiwemo wadudu!
Kabla ya Makonda kufika Arusha kundi la wadudu lilitambulika kama wahuni fulani tu na walipuuzwa na watu wote, lakini alipofika Makonda amewageuza wadudu kama fursa ya kutangaza utalii wa mkoa huo.


View: https://youtu.be/G5lDgk8jdcw?si=FkC-T7c1PIgyYbB2

Chawa.
 
Amekuwa bize sana na kwa muda mfupi ameibua fursa na kutambua makundi mbalimbali ikiwemo wadudu!
Kabla ya Makonda kufika Arusha kundi la wadudu lilitambulika kama wahuni fulani tu na walipuuzwa na watu wote, lakini alipofika Makonda amewageuza wadudu kama fursa ya kutangaza utalii wa mkoa huo.

Zingatia maneno kuwa bize, wadidu, wahuni, fursa, na utalii.
Watu wanajua kung’ong’a wenzao visogo!
 
Lakini kuna haja ya kufanya reforms kubwa kwenye mfumo wa utawala. Tuachane na haya mavyeo ya kuibakisha CCM madarakani.

Nchi hii pesa nyingi zinaisha kwenye utawala (kuendeaha serikali) na mishahara.

Serikali yetu ni kubwa mnooo! Natamani atokee Rais.

1. wabunge 100 tu.
2. Wakuu wa mikoa 50.
3. Hakuna wakuu wa wilaya.
4. Gari za serikali zitakua prado na toyota hilux tu kwa wakubwa. Wadogo ni suzuki escudo na rav 4.
5. Wizara ni 15 tu.
6. Hakuna manaibu waziri.
7. Hakuna manaibu katibu wakuu.
8. Idara nyingi zitafutwa. Zile zinazoingiza hasara, mfano Air tanzania, ttcl, benki ya posta, pccb,
9. Hakutakuwa na posho. Mishahara itaboreshwa sana.
10. Kutakua na kutatua mambo moja baada ya nyingine. Mfano miaka mitano tunaweza kuamua kumalizana na suala la maji na afya....
11. Mambo yasiyo na msingi kama kununua madege, kujenga viwanja vya ndege, havitapewa umuhimu.
 
From one propagandists to another. Ni vile tu maendeleo hayaletwi kwa propaganda, tungekuwa mbali sana, maana ile idara yenu hiyo ndio kazi wanayoimudu kwelikweli kwenye dawati lao la siasa.
 
Waziri wa uwekezaji Prof Kitila Mkumbo amekiri kuwa mkuu wa mkoa wa Arusha bwana Paul Makonda ni spesho na ni akili kubwa kwelikweli kwani tangu ateuliwe mkoa wa Arusha umekuwa bize sana na kwa muda mfupi ameibua fursa na kutambua makundi mbalimbali ikiwemo wadudu!
Kabla ya Makonda kufika Arusha kundi la wadudu lilitambulika kama wahuni fulani tu na walipuuzwa na watu wote, lakini alipofika Makonda amewageuza wadudu kama fursa ya kutangaza utalii wa mkoa huo.


View: https://youtu.be/G5lDgk8jdcw?si=FkC-T7c1PIgyYbB2

Mmmmh!
Yaani mtu mbumbumbu amekuwa akili kubwa tena!?
 
Mnyonge mnyongeni, lkn haki yake mpeni.

Baniani mbaya, kiatu chake dawa.

Ni misemo baadhi ambayo makonda inaweza kumfaa kuelezea namna alivyo. Makonda kama angekua kwenye movie basi ni wale antagonists ambao wanapendwa zaidi hata ya protagonist.

Tuliokaa na watu wa chuga tunajua namna gn hawa watu walivyo wagumu kuwakubali watu wengine. Ila wamemkubali makonda. Huyu kijana ana mvuto wa ajabu sana, siku akigombea uraisi nampa pole atakaesimamishwa nae.

Screenshot_20240502_143244_Instagram.jpg
Screenshot_20240502_143234_Instagram.jpg
Screenshot_20240502_143223_Instagram.jpg
Screenshot_20240502_143212_Instagram.jpg
Screenshot_20240502_143256_Instagram.jpg
 
Amekuwa bize sana na kwa muda mfupi ameibua fursa na kutambua makundi mbalimbali ikiwemo wadudu!
Kabla ya Makonda kufika Arusha kundi la wadudu lilitambulika kama wahuni fulani tu na walipuuzwa na watu wote, lakini alipofika Makonda amewageuza wadudu kama fursa ya kutangaza utalii wa mkoa huo.

Zingatia maneno kuwa bize, wahuni, fursa, na utalii.
Watu wanajua kung’ong’a wenzao visogo!
Hiyo ni Tafasiri yako 🤣kilaza wee
 
Back
Top Bottom