Teslarati
JF-Expert Member
- Nov 21, 2019
- 2,621
- 10,466
Face facts mkuuHizo picha zinasadifu vipi kufaulu kwake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Face facts mkuuHizo picha zinasadifu vipi kufaulu kwake?
No "ploglam" mkuu...oooh sorry,no problem mkuu!🙏Akikujibu ni tag Mkuu
Poleni sana sweetheart sisi increments kama zote... 😅😅Maza kakimbia lawama means mwakahuuu patupuuuuuuu😊😊!
Hatari sana hii
😄😄😄😄Namuona kenyonyo kapanda juu ya meza 😄😄😄Mnyonge mnyongeni, lkn haki yake mpeni.
Baniani mbaya, kiatu chake dawa.
Ni misemo baadhi ambayo makonda inaweza kumfaa kuelezea namna alivyo. Makonda kama angekua kwenye movie basi ni wale antagonists ambao wanapendwa zaidi hata ya protagonist.
Tuliokaa na watu wa chuga tunajua namna gn hawa watu walivyo wagumu kuwakubali watu wengine. Ila wamemkubali makonda. Huyu kijana ana mvuto wa ajabu sana, siku akigombea uraisi nampa pole atakaesimamishwa nae.
View attachment 2978991View attachment 2978992View attachment 2978993View attachment 2978994View attachment 2978996
..Alishindwa vipi na Panya Road ??? [emoji57][emoji57]Mnyonge mnyongeni, lkn haki yake mpeni.
Baniani mbaya, kiatu chake dawa.
Ni misemo baadhi ambayo makonda inaweza kumfaa kuelezea namna alivyo. Makonda kama angekua kwenye movie basi ni wale antagonists ambao wanapendwa zaidi hata ya protagonist.
Tuliokaa na watu wa chuga tunajua namna gn hawa watu walivyo wagumu kuwakubali watu wengine. Ila wamemkubali makonda. Huyu kijana ana mvuto wa ajabu sana, siku akigombea uraisi nampa pole atakaesimamishwa nae.
View attachment 2978991View attachment 2978992View attachment 2978993View attachment 2978994View attachment 2978996
Makonda ana vision? Unajua maana ya vision au unatania?Ni mapema sana kusema kama amefaulu ama kafeli.
Ndiyo kwanza hajakamilisha hata mwezi.
Ila ana vision, utekelezaji utaamua.
Lakini si kwa madubwana hayo uliyoambatanisha.
Wewe engine ya ofisi lazima wakutriple kabisa uko vizuri sana.Poleni sana sweetheart sisi increments kama zote... 😅😅
Walioenda hapo ni chawa/UVCCM wadudu OG wapo uraiani wanamzoom tu na kusema Hiiiiiiii (in JPM voice)akuna kutumia nguvu ni akili tu,wadudu wametubu😅🤣