SURE, Huyu jamaa nature yake, haogopi watu wala vitisho. Tunahitaji mtu wa namna hii kwa sasa. Ujinga ujinga na utapeli vimezidi nchi hii. Uzembe mwingi sanaPCM is one of the best
Nimeona kina bashe na bashungwa wanaiga
Wao wanafanya kwa sababu ya Uchaguzi
Makonda ni nature yake
Ni mtendaji
Punguza uchonganishi. CCM inahusikaje hapo?? Si alikuwepo Mongela anakula bata tu? Kwanini usimshangae Mongela unaishangaa CCM? Makonda mmemtoa huko CCM na madhara yake mnayaona, sasa kumfuatafuata huko Arusha inahusu nini?Wananchi wanaojitokeza kulalamika kwa mkuu wa Mkoa Makonda ni wengi sana, kama vile hakukua na serikali hata kidogo. Lakini inafahamika kuwa ni CCM iliyoko madarakani tangu nchi pate uhuru 1961. Je, sawa wananchi kuitenga CCM kwenye shida hizi wanazompelekea Makonda awasaidie kuzitatua leo?
Kwani huwezi kusema, Ungetamani kuona viongozi wote wawe kama Makonda kwa jinsi asivyo mtu wa kufunga milango na kujiwekea utaratibu mgumu usioingilika kirahisi kwa wananchi kupeleka shida zao?Wananchi wanaojitokeza kulalamika kwa mkuu wa Mkoa Makonda ni wengi sana, kama vile hakukua na serikali hata kidogo. Lakini inafahamika kuwa ni CCM iliyoko madarakani tangu nchi pate uhuru 1961. Je, sawa wananchi kuvitenga CCM kwenye shida hizi wanazompelekea Makonda awasaidie kuzitatua leo?
Anachofanya ni sahihi sana, lakini adhabu na hasira ipelekewe CCM.Tatizo lako ni nini?,ikiwa MAKONDA ni mwanaccm na anatatua matatizo ya CCM?,au unachongea kiana?
Kwanini usiseme Makonda apewe uwaziri mkuu?Kwani huwezi kusema, Ungetamani kuona viongozi wote wawe kama Makonda kwa jinsi asivyo mtu wa kufunga milango na kujiwekea utaratibu mgumu usioingilika kirahisi kwa wananchi kupeleka shida zao?
Makonda anapaswa kuwa mfano wa kuigwa kwa wafanyakazi wa umma
Mtu kwa kuwa tu umeteuliwa, basi inakuwa nongwa, huna muda wa kuonana na watu wenzako na hutaki uwasaidie utadhani wewe siyo binadamu, viongozi wa aina hiyo ni wapumbavu wote! Wanatukera sana huku kwenye maofsi yao, sjui wanataka mpaka tuwaite mungu au tuwapigie magoti na kuwasujudu?
Makonda, piga kazi kijana ukizingatia siku zetu ni fupi sana, acha alama Kiongozi
Apewe Usamia kabisa!!!Kwanini usiseme Makonda apewe uwaziri mkuu?
M/Mungu atujalie mwisho mwemaKwani huwezi kusema, Ungetamani kuona viongozi wote wawe kama Makonda kwa jinsi asivyo mtu wa kufunga milango na kujiwekea utaratibu mgumu usioingilika kirahisi kwa wananchi kupeleka shida zao?
Makonda anapaswa kuwa mfano wa kuigwa kwa wafanyakazi wa umma
Mtu kwa kuwa tu umeteuliwa, basi inakuwa nongwa, huna muda wa kuonana na watu wenzako na hutaki uwasaidie utadhani wewe siyo binadamu, viongozi wa aina hiyo ni wapumbavu wote! Wanatukera sana huku kwenye maofsi yao, sjui wanataka mpaka tuwaite mungu au tuwapigie magoti na kuwasujudu?
Makonda, piga kazi kijana ukizingatia siku zetu ni fupi sana, acha alama Kiongozi
Kuna Ded halmashauri zote, Tiss,takukuru, RPC, Ocds, wakuu wa wilaya , das.0ocdsWananchi wanaojitokeza kulalamika kwa mkuu wa Mkoa Makonda ni wengi sana, kama vile hakukua na serikali hata kidogo. Lakini inafahamika kuwa ni CCM iliyoko madarakani tangu nchi pate uhuru 1961. Je, sawa wananchi kuitenga CCM kwenye shida hizi wanazompelekea Makonda awasaidie kuzitatua leo?
Kwenu shida zimeisha? Mbona we ukoo wako bado maskiniWananchi wanaojitokeza kulalamika kwa mkuu wa Mkoa Makonda ni wengi sana, kama vile hakukua na serikali hata kidogo. Lakini inafahamika kuwa ni CCM iliyoko madarakani tangu nchi pate uhuru 1961. Je, sawa wananchi kuitenga CCM kwenye shida hizi wanazompelekea Makonda awasaidie kuzitatua leo?
Chuo nilichosoma na degree yangu we Kwa semester moja hutoboi 🧠🧠Jobless Chawa kwenye ubora wako... Umeamua kutumia Original ID na kapicha kako ka graduation ya degree yako ya kuungaunga ya ("PASS") kutoka C.B.E, sijui T.I.A au I.A.A ya business administration au marketing ukitegemea bahati ya mtende kupitia mtandaoni, ukidhani wezi watakufata P.M uungane nao kuiba na kupora mema ya nchi.