Von Bismarck
JF-Expert Member
- Jul 11, 2018
- 3,890
- 8,647
Dr? Aliupata link?Chini ya uongozi wa Comrade Dr Makonda. Jiji la Arusha litaizidi Geneva kwa miundombinu, huduma za jamii na kupokea idadi kubwa ya watalii
Kweli mtaji wa ccm ni ujinga. Makonda alibadilisha nini Dar? Makonda anapanga bajeti ya miundombinu huko wizara ya ujenzi? Makonda anawezaje kuongeza mapato ya halmashauri? Wazungu wanaokuja kutalii wanajua RC wa Arusha ni nani?Chini ya uongozi wa Comrade Dr Makonda. Jiji la Arusha litaizidi Geneva kwa miundombinu, huduma za jamii na kupokea idadi kubwa ya watalii
Gambo sio wa kumuamini yule,ni muongo muongoHatutaki Makonda awe controlled na Gambo. Hata kama ni marafiki...Gambo atamdanganya Ili kuficha makosa aliyoyafanya alipokuwa RC..mfano issue ya stendi ndogo, Gambo husimama mbele ya viongozi na kusema uwongo huku akijua eneo lile ni la serikali na limehodhiwa na wachache wenye connection.
Wale wafanyabiashara kwenye vile vibanda ndio wanateseka na hakuna wa kuwatetea, hawana connection na wakubwa wananyang'anywa mali zao kila siku...wananchi wanateseka kwenye nchi Yao wenyewe...hao walionunua Mali ya serikali huchanga fedha Kila mara kumlipia Gambo....hua ni za nini??
Makonda ni propaganda machine!Huyo ndiye Makonda Mwamba kama Mwamba.kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara. Mtu aliyetangaziwa mwisho na Maadui zake lakini Mungu akautangaza mwanzo wake wa ushindi wa kishindo.kiongozi aliyeinuliwa na Mungu na kupewa kibali mkononi mwake.kiongozi mwenye ushawishi na anayependwa kama pesa. Kiongozi anayechanua muda wote utafikiri bustani ya kitalii.
Vipi kwani anaendeleaje na likizo?Makonda ni propaganda machine!
Populist! Attention seeker. Bingwa la kubwabwaja!
Wadanganyika wengi wanapenda ulaghai!
Kama nikweli huo nao ni unyang'anyi na utapeliHatutaki Makonda awe controlled na Gambo. Hata kama ni marafiki...Gambo atamdanganya Ili kuficha makosa aliyoyafanya alipokuwa RC..mfano issue ya stendi ndogo, Gambo husimama mbele ya viongozi na kusema uwongo huku akijua eneo lile ni la serikali na limehodhiwa na wachache wenye connection.
Wale wafanyabiashara kwenye vile vibanda ndio wanateseka na hakuna wa kuwatetea, hawana connection na wakubwa wananyang'anywa mali zao kila siku...wananchi wanateseka kwenye nchi Yao wenyewe...hao walionunua Mali ya serikali huchanga fedha Kila mara kumlipia Gambo....hua ni za nini??
Muda hauongopi. TutaonaWatu wa TISS ni kwanini mnashindwa kumwamba Boss wenu Rais Samia kuwa huyu mtu Paul Makonda hafai na kama anampenda sana basi amtupe tu huko Ubalozini akapumzike? Nimeangalia Video Clip yake akiwa anajitambulisha huko Mkoani Arusha alikotupwa baada ya Kufeli katika Uenezi nikagundua kuwa Kisaikolojia ana tatizo Kubwa mno la Kiakili na huenda Yeye hajijui na hata Wanamzunguka nao hawajui.
Makonda hakuna Mkoa ambao unatakiwa uwe nao makini na uende nao kwa Step kama huo wa Arusha ulipo. GENTAMYCINE pamoja na Usela Nnya wangu wote, Ujanja na Ubabe wa Kimusoma (Mkoani Mara Kwetu) nikienda huko huwa nakuwa Mpole hutoamini kwani nimeishi huo Mkoa, naujua na Watu wa huko Kiasili huwa HAWABIPIWI na UKIWABIPU tu haraka sana wanakupigia.
Ukiwa Mwenezi nilikuambia na Uzi upo kuwa hutodumu hapo hata ndani ya Miezi Sita na kama Kawaida yao au Kawaida yenu baadhi ya watu hapa JamiiForums yakanipuuza GENTAMYCINE lakini kile kile nilichokitabiri juu ya Paul Makonda kimetokea.
Haya Makonda na leo tena nakwambia kuwa hata huko Arusha ulikopelekwa ni Kimkakat zaidi ili Watu wamalize Shughuli mapema kwani tayari umeshaonekana ni tatizo halafu umeshajulikana kuwa kuna Mtu huwa unajifanya Kumpenda mbele za Mic za Media ila ukikaa Vijiweni Kwako na Washkaji pale Mbezi Beach na Masaki huwa Unamkashifu na Unamdharau hakuna mfano na ukimsifia Baba yako wa Hiari aliyemaliza safari yake 2021.
Turudi hapa tena kuhusu BashiteUsimlinganishe mtu mweledi aliyekwenda shule dhidi ya Zerobrain.
Hiyo TAKATAKA iache Arusha tu ndiyo mlango wake wa kutokea
Kweli ni Arusha umekuwa mlango wa kutokeaUsimlinganishe mtu mweledi aliyekwenda shule dhidi ya Zerobrain.
Hiyo TAKATAKA iache Arusha tu ndiyo mlango wake wa kutokea
Kwa hiyo hajamaliza likizo?Kweli ni Arusha umekuwa mlango wa kutokea
Hiyo likizo haina kurudiKwa hiyo hajamaliza likizo?