Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Acheni kufananisha upuuzi wenu na vitu vya maana
Eti arusha iwe Geneva labda iwe jenista
Kuna wengine Tabora (M) iwe Toronto?
 
Chini ya uongozi wa Comrade Dr Makonda. Jiji la Arusha litaizidi Geneva kwa miundombinu, huduma za jamii na kupokea idadi kubwa ya watalii
Kweli mtaji wa ccm ni ujinga. Makonda alibadilisha nini Dar? Makonda anapanga bajeti ya miundombinu huko wizara ya ujenzi? Makonda anawezaje kuongeza mapato ya halmashauri? Wazungu wanaokuja kutalii wanajua RC wa Arusha ni nani?
 
Hatutaki Makonda awe controlled na Gambo. Hata kama ni marafiki...Gambo atamdanganya Ili kuficha makosa aliyoyafanya alipokuwa RC..mfano issue ya stendi ndogo, Gambo husimama mbele ya viongozi na kusema uwongo huku akijua eneo lile ni la serikali na limehodhiwa na wachache wenye connection.

Wale wafanyabiashara kwenye vile vibanda ndio wanateseka na hakuna wa kuwatetea, hawana connection na wakubwa wananyang'anywa mali zao kila siku...wananchi wanateseka kwenye nchi Yao wenyewe...hao walionunua Mali ya serikali huchanga fedha Kila mara kumlipia Gambo....hua ni za nini??
 
Salaam wakuu. Nimeona vema kumpongeza Mheshimiwa Makonda kwa kazi kubwa anayoifanya ya kuwatetea wanyonge.

Hakika si kazi ndogo. Tunapoona watu wamejaa kwenye mikutano yake hii inamaanisha wanaimani naye. Na hakika anaweza kutokana na uthubutu alionao.

Mkuu hata kama tumekutafsiri vibaya kutokana na ubinadamu wetu, lakini wewe endelea kufanya kile ambacho Mungu anakuwezesha.

Barikiwa sana.
 
Hatutaki Makonda awe controlled na Gambo. Hata kama ni marafiki...Gambo atamdanganya Ili kuficha makosa aliyoyafanya alipokuwa RC..mfano issue ya stendi ndogo, Gambo husimama mbele ya viongozi na kusema uwongo huku akijua eneo lile ni la serikali na limehodhiwa na wachache wenye connection.

Wale wafanyabiashara kwenye vile vibanda ndio wanateseka na hakuna wa kuwatetea, hawana connection na wakubwa wananyang'anywa mali zao kila siku...wananchi wanateseka kwenye nchi Yao wenyewe...hao walionunua Mali ya serikali huchanga fedha Kila mara kumlipia Gambo....hua ni za nini??
Gambo sio wa kumuamini yule,ni muongo muongo
Makonda afanye kazi aachane nae atamchelewesha
 
Huyo ndiye Makonda Mwamba kama Mwamba.kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara. Mtu aliyetangaziwa mwisho na Maadui zake lakini Mungu akautangaza mwanzo wake wa ushindi wa kishindo.kiongozi aliyeinuliwa na Mungu na kupewa kibali mkononi mwake.kiongozi mwenye ushawishi na anayependwa kama pesa. Kiongozi anayechanua muda wote utafikiri bustani ya kitalii.
Makonda ni propaganda machine!
Populist! Attention seeker. Bingwa la kubwabwaja!
Wadanganyika wengi wanapenda ulaghai!
 
Makonda ni propaganda machine!
Populist! Attention seeker. Bingwa la kubwabwaja!
Wadanganyika wengi wanapenda ulaghai!
Vipi kwani anaendeleaje na likizo?


IMG-20240731-WA0044.jpg
 
Hatutaki Makonda awe controlled na Gambo. Hata kama ni marafiki...Gambo atamdanganya Ili kuficha makosa aliyoyafanya alipokuwa RC..mfano issue ya stendi ndogo, Gambo husimama mbele ya viongozi na kusema uwongo huku akijua eneo lile ni la serikali na limehodhiwa na wachache wenye connection.

Wale wafanyabiashara kwenye vile vibanda ndio wanateseka na hakuna wa kuwatetea, hawana connection na wakubwa wananyang'anywa mali zao kila siku...wananchi wanateseka kwenye nchi Yao wenyewe...hao walionunua Mali ya serikali huchanga fedha Kila mara kumlipia Gambo....hua ni za nini??
Kama nikweli huo nao ni unyang'anyi na utapeli
 
Watu wa TISS ni kwanini mnashindwa kumwamba Boss wenu Rais Samia kuwa huyu mtu Paul Makonda hafai na kama anampenda sana basi amtupe tu huko Ubalozini akapumzike? Nimeangalia Video Clip yake akiwa anajitambulisha huko Mkoani Arusha alikotupwa baada ya Kufeli katika Uenezi nikagundua kuwa Kisaikolojia ana tatizo Kubwa mno la Kiakili na huenda Yeye hajijui na hata Wanamzunguka nao hawajui.

Makonda hakuna Mkoa ambao unatakiwa uwe nao makini na uende nao kwa Step kama huo wa Arusha ulipo. GENTAMYCINE pamoja na Usela Nnya wangu wote, Ujanja na Ubabe wa Kimusoma (Mkoani Mara Kwetu) nikienda huko huwa nakuwa Mpole hutoamini kwani nimeishi huo Mkoa, naujua na Watu wa huko Kiasili huwa HAWABIPIWI na UKIWABIPU tu haraka sana wanakupigia.

Ukiwa Mwenezi nilikuambia na Uzi upo kuwa hutodumu hapo hata ndani ya Miezi Sita na kama Kawaida yao au Kawaida yenu baadhi ya watu hapa JamiiForums yakanipuuza GENTAMYCINE lakini kile kile nilichokitabiri juu ya Paul Makonda kimetokea.

Haya Makonda na leo tena nakwambia kuwa hata huko Arusha ulikopelekwa ni Kimkakat zaidi ili Watu wamalize Shughuli mapema kwani tayari umeshaonekana ni tatizo halafu umeshajulikana kuwa kuna Mtu huwa unajifanya Kumpenda mbele za Mic za Media ila ukikaa Vijiweni Kwako na Washkaji pale Mbezi Beach na Masaki huwa Unamkashifu na Unamdharau hakuna mfano na ukimsifia Baba yako wa Hiari aliyemaliza safari yake 2021.
Muda hauongopi. Tutaona
 
Back
Top Bottom