Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
Kalpana unajielwa sana ujue ndo mana ukawa dada mkuu wa jf.Kwa matusi yale ni aibu..mimi sio mpenda siasa ila hapana sikubaliani raisi kutukanwa vile na kudhalilishwa namna ile....yule ni mama na mzazi..halafu ni Rais...
nadhani muhimu zaidi ukweli usemwe bila tashwishwi yoyote, na kama fulani anafanana na fulani kwa maneno au matendo, na ambayo ni mazuri hakuna haja ya kufichaHivi haiwezekani tukamkubali mtu kwa jinsi alivyo yeye bila kumfananisha na mtu mwingine (haswa marehemu)?
Binaadam wote ni Sawa ila kila mmoja kaumbwa na utofauti wake wa kipekee sana na tutauona vizuri zaidi tukiondoa fikra za kulinganishana na kufananishana.
Chawa kama machawa wengine
Sikutegemea tofauti kutoka kwako...Sawa.
..Wapinzani wanatukanwa.
..Raisi anatukanwa.
..Ngoma droo!!
..Kazi iendelee.
Hakuna anaeweza kufananana mwingine kwa asili, wote tuko Sawa ila kila mmoja anautofauti wake.nadhani muhimu zaidi ukweli usemwe bila tashwishwi yoyote, na kama fulani anafanana na fulani kwa maneno au matendo, na ambayo ni mazuri hakuna haja ya kuficha
Jamaa zake hawataki kukubali.Kama naanza kukuelewa kwa karibu sana,Mbowe ni masta maind wa kasikazini,ni mpangaji wa matukio na sio matukioa madogo,Kama lile la kusema kapigwa kumbe alilewa akaanguka kwenye Ngazi akaumia mguu!!!!
Sikutegemea tofauti kutoka kwako.
Jamaa zake hawataki kukubali.
Hawashangai wakati wao wakiwa busy kulumbana kuhusu Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi “Mwamba alikua busy anazindua Kasri lake.
Na atawashangaza zaidi mwakani kwenye pilikapilika za uchaguzi. Yetu macho.
ni sawa piaHakuna anaeweza kufananana mwingine kwa asili, wote tuko Sawa ila kila mmoja anautofauti wake.
Tuwaache watu wasimame kwenye nafasi zao Kama wao na tuwahukumu na kuwapongeza kwa matendo yao halisi bila kuwavesha taswira za wengine.
Unamaanisha atafika mbali alipofika sokoine, au Mimi ndio sijaelewa?sio hoja tu,
bali pia kijana ana maono ya mbali, nia ya dhati, uwezo na ujasiri wa kipekee sana, si tu wa kusema kwa maneno, bali pia kutenda kwa vitendo 🐒
ana tofauti ndogo sana na Hayati Edward Moringe Sokoine.
Itoshe tu kusema, Makonda ni Sokoine wa nyakati hizi, atafika mbali 🐒
Unamjua sokoine?. Punguza fedheha ndogondogo.The Sokoine of Modern Times
ata akienda zaidi ya alipofika Sokoine ni jambo jema tu vilevile, au iko nini mbayaUnamaanisha atafika mbali alipofika sokoine, au Mimi ndio sijaelewa?
Tume Huru jina. Kweli CCM matapeli.Tumeshawapa tume huru. We hope mtapunguza maneno
kwa wasio mjua Sokoine wanaweza kujifunza kitu kwa huyu muungwana,Unamjua sokoine?. Punguza fedheha ndogondogo.
Haiwezi, kasome sheria ndio utajua.Itakuwa huru
Relax
Gwajina anaoLete ushahidi
Makonda mwenyewe snitch. Alipata ukuu wa Mkoa kwa kumsnitch yule Mzee Kabwe.Paul Makonda the nightmare of snitches
Wewe una shida mahali.kwa wasio mjua Sokoine wanaweza kujifunza kitu kwa huyu muungwana,
wamtazame RC Paul C. Makonda