Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
shida ni maisha mazuri zaidi ya utumwa wa mihemko na gubuWewe una shida mahali.

Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shida ni maisha mazuri zaidi ya utumwa wa mihemko na gubuWewe una shida mahali.

Glad you acknowledge the reality only when you wish to, always. 😏..Mama naye ile watch aliyopiga bei yake unaweza kujenga nyumba.
Ukaona uishie njiani? That ain’t fair!..hata mimi nilishakusoma!!🤣
Ukaona uishie njiani? That ain’t fair!
Umekatiza uhondo, wa mjadala.
Kwa matusi yale ni aibu..mimi sio mpenda siasa ila hapana sikubaliani raisi kutukanwa vile na kudhalilishwa namna ile....yule ni mama na mzazi..halafu ni Rais...
Tujue wanatunaje, tuseme wanamkashifu au wanamsema vibaya au wanasema madhaifu yake. Kusema tu wanatukana is too general for people to get the inner side...Mpk hapo umeua. Hata mm sasa nakubali kuwa hao mawaziri wapo na ni kweli wanamtukana mama.
Walikuwa njama moja na Makonda lkn Makonda baada ya kushushwa cheo kaumia sana, naye ameamua liwalo na liwe.
Ndio huwa naunga mkono hoja kabisa za Mange anavyokosoa kuhusu serikali na upupu wake..ila.sio kwa hayo matusi aiseeMuwe mnakemea pia na jinsi anavyosifiwaga mnoo Kinafiki!!
Ndio huwa naunga mkono hoja kabisa za Mange anavyokosoa kuhusu serikali na upupu wake..ila.sio kwa hayo matusi aisee
Mleta mada ni tapeli tu maana hiyo video ya Mstaafu Kikwete ni ya muda sana .Kwahiyo hapo watoto wa mjini ndiyo mmejibu mapigo!!?
Hayo maneno ni ya Kikwete, kwenye kile kikao Cha "wazuri hawafi,ambapo walishindwa kupitisha azimio lao la kumpitisha Samia Rasimi".Hatimae Paul Makonda amuibua Rais Mstaafu wa awamu ya nne kutokana na matamshi yake kwenye kumbukizi ya Hayati Edward Moringe Sokoine.
Je nini kitafuata baada ya Mzee Kikwete kuyatoa yake ya Moyo
View attachment 2962592
ni??
Yeah! Ilikuwa inamhusu Chalamila, Kagera enzi zile. Ndiyo maana ninawauliza hapo ndiyo wamemjibu Makonda?Mleta mada ni tapeli tu maana hiyo video ya Mstaafu Kikwete ni ya muda sana .
Mimi simo humo Mkuu. Mimi ni wa chini ya mwembe. Mjini nafika mara chache sana.Kwahiyo hapo watoto wa mjini ndiyo mmejibu mapigo!!?
Usitudanganye bhana, au umekopi kwa MTU haraka haraka, ukaona ulete umbeya wa uongo. Makonda kasema jana, Kikwete alisema zamani kule Dodoma, baada, ya Charamila kuongea issue fulani kama hii.Yeah! Ilikuwa inamhusu Chalamila Kagera enzi zile. Ndiyo maana ninawauliza hapo ndiyo wamemjibu Makonda?
Pamoja na hayo, ujumbe umefika.Usitudanganye bhana, au umekopi kwa MTU haraka haraka, ukaona ulete umbeya wa uongo. Makonda kasema jana, Kikwete alisema zamani kule Dodoma, baada, ya Charamila kuongea issue fulani kama hii.