Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Sawa Nabii.
 
Huu ni unabii tu,
Mnaojidai kumpinga Makonda siku akiwa waziri mkuu atawanyosha na mtanyoka anzeni kufanya mazoezi ya kuwajibika.
Kwa Ile hotuba aliyotoa Makonda pale Monduli ya kusingizia kitu ambacho hakipo, hafai hata kuwa katibu kata.
Yeye Kama mwenezi Kama kweli anawajua mawaziri wanaomtukana mama, kwanini asinuambie mama au TISS, au hata IGP?
Makonda is a farce.
 
Huu ni unabii tu,
Mnaojidai kumpinga Makonda siku akiwa waziri mkuu atawanyosha na mtanyoka anzeni kufanya mazoezi ya kuwajibika.
Unaonekana una akili na post zako unazo wekaga hapa, ila kwa haya mawazo yako kuhusu Makonda na kufikiri anaogopwa ni net negative, yule hata Magufuli alimpiga nje na President jana kwenye ile clip kama umeiona she had enough already, Makonda ni chawa tuu mpiga kelele na hata akili hana
 
Huu ni unabii tu,
Mnaojidai kumpinga Makonda siku akiwa waziri mkuu atawanyosha na mtanyoka anzeni kufanya mazoezi ya kuwajibika.
Mkuu nguvu ya chui ipo mkiani. Makonda nguvu yake ilikuwa ni JPM, Mwendazake hayupo daima na kwa sasa hakuna wa kufanana naye kwenye lineup iliyopo.

Samia mwenyewe hana characteristics za ukatili za kufikia Magufuli hata kwa asilimia 10% kutokana na jinsia yake, malezi yake, imani yake, jamii yake, elimu yake, utamaduni wake na familia yake.

Mkuu Kwani Makonda si Kawa Mwenezi nchi nzima, kafanya nini cha maana zaidi ya kelele ukilinganisha na matukio yake ya uharibifu kipindi cha Mwendazake??

Hizo kelele mbuzi akiwa ziarani kama Mwenezi zimempandisha juu zaidi au zimemshusha chini zaidi?? Jibu unalo!

Sasa hivi ni Mkuu wa mkoa tena Arusha, atafanya nini alichoshindwa kufanya akiwa Mwenezi nchi nzima??

Na kibaya zaidi kachokoza nyuki mchana! Jua kali bila kuangalia hali ya hewa!!

Asubiri majibu mujarab, maana watoto wa mjini wanajibu kimya kimya tena kwa mahesabu ya mbele!!

Yetu macho, kusubiri Makonda awe waziri mkuu!šŸŽµšŸŽ¶šŸ”Š
 
🤣 🤣 🤣
 
šŸ‘šŸ¤šŸ—¼
 
Huu ni unabii tu,
Mnaojidai kumpinga Makonda siku akiwa waziri mkuu atawanyosha na mtanyoka anzeni kufanya mazoezi ya kuwajibika.
Kwa hiyo tunaviziana ili tuumizane,kulipiza visasi na kutafuta ukuu?Mbona ni mitizamo ya kijinga na kishamba sana.Ondoa mawazo hayo kwenye mbichwa huo.Tumuulize Salmin Amour/komandoo yuko wapi?
 
Ngoja Tusubiri tuone hii movie šŸŽ„ !
 
Makonda ana uwezo mkubwa sana wa uongozi ila kwasababu yupo kwenye taifa lenye watu wenye fikra za ubinafsi na siasa za majitaka ndiyo maana anapingwa.Lakini naona TISS wapo naye,ukitazama vijana waliopo CCM kwa sasa unachoka kabisa;lakini Bashe,Makonda,Bashungwa, January,Mtaka nk ni vijana wazuri,nguvu iwekwe uko sana kwa future ya nchi!
 
Mkuuu unaongea hata bila kufikiki kwenye UENEZI AMEKAAA KWA MUDA GANI
 
Ndo kundi la vijana wa Makonda hawa. Hawana mambo ya msingi zaidi ya kuwaza vyeo na madaraka ili waneemeke kiuchumi.

Fuatilia tu post zao humu utagundua ni watu wa namna gani!!

Tukisema future ya hii nchi iko hatarani tunamaanisha tunachokisema maana kama una vijana ambao kutwa ni kuwaza vyeo na madaraka basi jua tu future ya nchi yako iko hatarini sana
 
Makonda ana uwezo gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…