Sawa Nabii.Makondakta kapelekwa kuwa RC ili uchaguzi ukifika achukue form ya ubunge agombee, kule kwenye uenez ingekuwa ngumu kugombea, akisha hombea ubunge atashinda, baada ya hapo litaundwa baraza la mawaziri ataihizwa ediha kama W/mkuu au Wizara nyeti, hapo ndio mtajua mchoro wa ramani mnaoupuza leo
Kwa Ile hotuba aliyotoa Makonda pale Monduli ya kusingizia kitu ambacho hakipo, hafai hata kuwa katibu kata.Huu ni unabii tu,
Mnaojidai kumpinga Makonda siku akiwa waziri mkuu atawanyosha na mtanyoka anzeni kufanya mazoezi ya kuwajibika.
Unaonekana una akili na post zako unazo wekaga hapa, ila kwa haya mawazo yako kuhusu Makonda na kufikiri anaogopwa ni net negative, yule hata Magufuli alimpiga nje na President jana kwenye ile clip kama umeiona she had enough already, Makonda ni chawa tuu mpiga kelele na hata akili hanaHuu ni unabii tu,
Mnaojidai kumpinga Makonda siku akiwa waziri mkuu atawanyosha na mtanyoka anzeni kufanya mazoezi ya kuwajibika.
Mkuu nguvu ya chui ipo mkiani. Makonda nguvu yake ilikuwa ni JPM, Mwendazake hayupo daima na kwa sasa hakuna wa kufanana naye kwenye lineup iliyopo.Huu ni unabii tu,
Mnaojidai kumpinga Makonda siku akiwa waziri mkuu atawanyosha na mtanyoka anzeni kufanya mazoezi ya kuwajibika.
𤣠𤣠š¤£Makondakta kapelekwa kuwa RC ili uchaguzi ukifika achukue form ya ubunge agombee, kule kwenye uenez ingekuwa ngumu kugombea, akisha hombea ubunge atashinda, baada ya hapo litaundwa baraza la mawaziri ataihizwa ediha kama W/mkuu au Wizara nyeti, hapo ndio mtajua mchoro wa ramani mnaoupuza leo
Makondakta kapelekwa kuwa RC ili uchaguzi ukifika achukue form ya ubunge agombee, kule kwenye uenez ingekuwa ngumu kugombea, akisha hombea ubunge atashinda, baada ya hapo litaundwa baraza la mawaziri ataihizwa ediha kama W/mkuu au Wizara nyeti, hapo ndio mtajua mchoro wa ramani mnaoupuza leo
šš¤š¼Unaonekana una akili na post zako unazo wekaga hapa, ila kwa haya mawazo yako kuhusu Makonda na kufikiri anaogopwa ni net negative, yule hata Magufuli alimpiga nje na President jana kwenye ile clip kama umeiona she had enough already, Makonda ni chawa tuu mpiga kelele na hata akili hana
Kwa hiyo tunaviziana ili tuumizane,kulipiza visasi na kutafuta ukuu?Mbona ni mitizamo ya kijinga na kishamba sana.Ondoa mawazo hayo kwenye mbichwa huo.Tumuulize Salmin Amour/komandoo yuko wapi?Huu ni unabii tu,
Mnaojidai kumpinga Makonda siku akiwa waziri mkuu atawanyosha na mtanyoka anzeni kufanya mazoezi ya kuwajibika.
Sawa Mrs DAB.Huu ni unabii tu,
Mnaojidai kumpinga Makonda siku akiwa waziri mkuu atawanyosha na mtanyoka anzeni kufanya mazoezi ya kuwajibika.
ezekana ikawa kweli ukisemacho.Washabiki wa Simba tuishi nao tu..
Wamekua VICHAAA..
Hatutaruhusu "mshamba" mwingine atawale tz...neverNaunga mkono hoja, Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
2025 anatinga mjengoni, kisha Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!
P
Ngoja Tusubiri tuone hii movie š„ !Mkuu nguvu ya chui ipo mkiani. Makonda nguvu yake ilikuwa ni JPM, Mwendazake hayupo daima na kwa sasa hakuna wa kufanana naye kwenye lineup iliyopo.
Samia mwenyewe hana characteristics za ukatili za kufikia Magufuli hata kwa asilimia 10% kutokana na jinsia yake, malezi yake, imani yake, jamii yake, elimu yake, utamaduni wake na familia yake.
Mkuu Kwani Makonda si Kawa Mwenezi nchi nzima, kafanya nini cha maana zaidi ya kelele ukilinganisha na matukio yake ya uharibifu kipindi cha Mwendazake??
Hizo kelele mbuzi akiwa ziarani kama Mwenezi zimempandisha juu zaidi au zimemshusha chini zaidi?? Jibu unalo!
Sasa hivi ni Mkuu wa mkoa tena Arusha, atafanya nini alichoshindwa kufanya akiwa Mwenezi nchi nzima??
Na kibaya zaidi kachokoza nyuki mchana! Jua kali bila kuangalia hali ya hewa!!
Asubiri majibu mujarab, maana watoto wa mjini wanajibu kimya kimya tena kwa mahesabu ya mbele!!
Yetu macho, kusubiri Makonda awe waziri mkuu!šµš¶š
Ngoja Tusubiri tuone !!Hatutaruhusu "mshamba" mwingine atawale tz...never
𤣠𤣠š¤£Mtoa mada unatumika vibaya, na Makonda akija kuwa Rais wote mtakimbia hii nchi.
Makonda ana uwezo mkubwa sana wa uongozi ila kwasababu yupo kwenye taifa lenye watu wenye fikra za ubinafsi na siasa za majitaka ndiyo maana anapingwa.Lakini naona TISS wapo naye,ukitazama vijana waliopo CCM kwa sasa unachoka kabisa;lakini Bashe,Makonda,Bashungwa, January,Mtaka nk ni vijana wazuri,nguvu iwekwe uko sana kwa future ya nchi!Naunga mkono hoja, Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
2025 anatinga mjengoni, kisha Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!
P
Mkuuu unaongea hata bila kufikiki kwenye UENEZI AMEKAAA KWA MUDA GANIMkuu nguvu ya chui ipo mkiani. Makonda nguvu yake ilikuwa ni JPM, Mwendazake hayupo daima na kwa sasa hakuna wa kufanana naye kwenye lineup iliyopo.
Samia mwenyewe hana characteristics za ukatili za kufikia Magufuli hata kwa asilimia 10% kutokana na jinsia yake, malezi yake, imani yake, jamii yake, elimu yake, utamaduni wake na familia yake.
Mkuu Kwani Makonda si Kawa Mwenezi nchi nzima, kafanya nini cha maana zaidi ya kelele ukilinganisha na matukio yake ya uharibifu kipindi cha Mwendazake??
Hizo kelele mbuzi akiwa ziarani kama Mwenezi zimempandisha juu zaidi au zimemshusha chini zaidi?? Jibu unalo!
Sasa hivi ni Mkuu wa mkoa tena Arusha, atafanya nini alichoshindwa kufanya akiwa Mwenezi nchi nzima??
Na kibaya zaidi kachokoza nyuki mchana! Jua kali bila kuangalia hali ya hewa!!
Asubiri majibu mujarab, maana watoto wa mjini wanajibu kimya kimya tena kwa mahesabu ya mbele!!
Yetu macho, kusubiri Makonda awe waziri mkuu![emoji444][emoji445][emoji344]
Ndo kundi la vijana wa Makonda hawa. Hawana mambo ya msingi zaidi ya kuwaza vyeo na madaraka ili waneemeke kiuchumi.Unaonekana una akili na post zako unazo wekaga hapa, ila kwa haya mawazo yako kuhusu Makonda na kufikiri anaogopwa ni net negative, yule hata Magufuli alimpiga nje na President jana kwenye ile clip kama umeiona she had enough already, Makonda ni chawa tuu mpiga kelele na hata akili hana
Makonda ana uwezo gani?Makonda ana uwezo mkubwa sana wa uongozi ila kwasababu yupo kwenye taifa lenye watu wenye fikra za ubinafsi na siasa za majitaka ndiyo maana anapingwa.Lakini naona TISS wapo naye,ukitazama vijana waliopo CCM kwa sasa unachoka kabisa;lakini Bashe,Makonda,Bashungwa, January,Mtaka nk ni vijana wazuri,nguvu iwekwe uko sana kwa future ya nchi!