Riskytaker
JF-Expert Member
- Mar 14, 2024
- 568
- 2,522
Probably kaka zako ndo wanakuja kuiba izo taaUlinzi na camera havitasaidia Kama “mindset za machalii wa hovyo hazitofanyiwa reset.
Nimesikia ndugu zao hapo jirani wanaondoka na street lights na panel zake, kaskazini kwa “wasomi.
Ni ya mtu binafsi na anaitangaza sana wageni wengi wanapita hapo...Wangapi wanaijua? Na inatangazwa vyakutosha? Ina nini chakufanya hadi mtu akija Arusha asikose kupita pale?
Ili jipu , ila mda ni mwalim mzuri , wapo watu nchi wanayafanyia ma kubwa tz kama nchi na wametulia tuli , sasa huyu nikujifanya Kambare , ikumbukwe amewahi mkwida mzee Warioba , Mungu halali haijalishi ni nani ila mda utajibuJana nimeona kikao baina ya Rc Makonda na wafanyabiashara wa hotel na tra na tours.Rc kauliza vitu vingi na kashangaa iweje mzungu atoke ulaya aje kulala badala ya kutalii. Napenda nitoe ushaur.wakat fulan tulisoma kozi na serikal ya china katika hizo kozi kuna kitu kinaitwa Night tourism, hapa maeneo meng nchin china utalii unafanyika mpaka usiku.mfano private tours at night in the city,museums. Kuna maeneo unapata local food usiku mzima,wenzetu wana utalii wa mito sio kama sisi mito yetu yot tumekonect maji taka. Kwa arusha ili jiji liqe vibrant ni lazima shuguli za utalii ziwe 24hrs.wengine wanapenda kwenda museums usiku pametulia,uliza arusha kuna Museum inayoeleweka??? Mtalii anaweza kutaka local foods at night je zipo sehem hizo.??? Usalama je??? Naamin watu wa arusha wanaelewa utamu wa hela ya mzungu kama mazingira mheshimiwa atapambana kuyaweka sawa jamaa watapiga kaz.nimemskia yule jamaa kichwa Chambulo anasema kalipa mil 23 kapewa risit ya mil 3. Yule ana aides nying za kuhakikisha mzungu anabakiza nauli tu ya kurud kwao.hapo arusha itapaa kiutalii.ttb pale nothing creative nothing no museums hakuna tradition wataalam wamekaaa hata huko dodom kukimbiza madokezo ya.poshoook tu
I was wondering itachukua masaa mangapi machalii kuibuka hapa!Probably kaka zako ndo wanakuja kuiba izo taa
Mkutano wa shetani na wanadamuJana nimeona kikao baina ya Rc Makonda na wafanyabiashara wa hotel na tra na tours.Rc kauliza vitu vingi na kashangaa iweje mzungu atoke ulaya aje kulala badala ya kutalii. Napenda nitoe ushaur.wakat fulan tulisoma kozi na serikal ya china katika hizo kozi kuna kitu kinaitwa Night tourism, hapa maeneo meng nchin china utalii unafanyika mpaka usiku.mfano private tours at night in the city,museums. Kuna maeneo unapata local food usiku mzima,wenzetu wana utalii wa mito sio kama sisi mito yetu yot tumekonect maji taka. Kwa arusha ili jiji liqe vibrant ni lazima shuguli za utalii ziwe 24hrs.wengine wanapenda kwenda museums usiku pametulia,uliza arusha kuna Museum inayoeleweka??? Mtalii anaweza kutaka local foods at night je zipo sehem hizo.??? Usalama je??? Naamin watu wa arusha wanaelewa utamu wa hela ya mzungu kama mazingira mheshimiwa atapambana kuyaweka sawa jamaa watapiga kaz.nimemskia yule jamaa kichwa Chambulo anasema kalipa mil 23 kapewa risit ya mil 3. Yule ana aides nying za kuhakikisha mzungu anabakiza nauli tu ya kurud kwao.hapo arusha itapaa kiutalii.ttb pale nothing creative nothing no museums hakuna tradition wataalam wamekaaa hata huko dodom kukimbiza madokezo ya.poshoook tu
Kwa hiyo unategemea Makonda anaweza kuifungua Arusha kiutalii?Jana nimeona kikao baina ya Rc Makonda na wafanyabiashara wa hotel na tra na tours.Rc kauliza vitu vingi na kashangaa iweje mzungu atoke ulaya aje kulala badala ya kutalii. Napenda nitoe ushaur.wakat fulan tulisoma kozi na serikal ya china katika hizo kozi kuna kitu kinaitwa Night tourism, hapa maeneo meng nchin china utalii unafanyika mpaka usiku.mfano private tours at night in the city,museums. Kuna maeneo unapata local food usiku mzima,wenzetu wana utalii wa mito sio kama sisi mito yetu yot tumekonect maji taka. Kwa arusha ili jiji liqe vibrant ni lazima shuguli za utalii ziwe 24hrs.wengine wanapenda kwenda museums usiku pametulia,uliza arusha kuna Museum inayoeleweka??? Mtalii anaweza kutaka local foods at night je zipo sehem hizo.??? Usalama je??? Naamin watu wa arusha wanaelewa utamu wa hela ya mzungu kama mazingira mheshimiwa atapambana kuyaweka sawa jamaa watapiga kaz.nimemskia yule jamaa kichwa Chambulo anasema kalipa mil 23 kapewa risit ya mil 3. Yule ana aides nying za kuhakikisha mzungu anabakiza nauli tu ya kurud kwao.hapo arusha itapaa kiutalii.ttb pale nothing creative nothing no museums hakuna tradition wataalam wamekaaa hata huko dodom kukimbiza madokezo ya.poshoook tu
Upo sahihi kabisa. Mfano Shanghai utalii ni 24/7 na utachoka wewe sehemu za kutalii zipo za kutosha na kila moja ni unique. Arusha bado sana... wangweza jenga copy ya Makumbusho ya Dar es salaam, ile ya vita vya majimaji kule Kilwa, ile ya Songea na ata wangejenga some historical sites za Zanzibar kama vile China walivyojenga copies za frobiden city sehem zingine . Kijiji cha makumbusho pia copy yake ingekuwa Arusha na hapo Vyakula vya makabila yote vingekuwepo na pia mfano halisia wa maisha ya kila kabila yangekuwa live hii ingenogesha na kukuza utalii Arusha. Soon kuna Mashindano ya mpira wa Miguu na Uwanja wa kisasa na mkubwa unajengwa Arusha hii kama itachikuliwa kwa umakini inaweza leta watalii wengi na ata kurudisha garama za ujenzi wa uwanja huu kupitia utalii wakati wa mashindano haya. Arusha ilitakiwa iwe na matamasha kama yale ya Ziff Zanzibar kila baada ya miezi 3 ya ngoma za Utamaduni na muziki wa Tanzania.... Arusha wangejenga Water World yenye mfano wa Mafia Island ..... yaani du kama ningekuwa na uwezo!!! Ila basi tu . Mapato ya Utalii wa Arusha pekee yangechaningia 40% ya makusanyo ya TRA😭Jana nimeona kikao baina ya Rc Makonda na wafanyabiashara wa hotel na tra na tours.Rc kauliza vitu vingi na kashangaa iweje mzungu atoke ulaya aje kulala badala ya kutalii. Napenda nitoe ushaur.wakat fulan tulisoma kozi na serikal ya china katika hizo kozi kuna kitu kinaitwa Night tourism, hapa maeneo meng nchin china utalii unafanyika mpaka usiku.mfano private tours at night in the city,museums. Kuna maeneo unapata local food usiku mzima,wenzetu wana utalii wa mito sio kama sisi mito yetu yot tumekonect maji taka. Kwa arusha ili jiji liqe vibrant ni lazima shuguli za utalii ziwe 24hrs.wengine wanapenda kwenda museums usiku pametulia,uliza arusha kuna Museum inayoeleweka??? Mtalii anaweza kutaka local foods at night je zipo sehem hizo.??? Usalama je??? Naamin watu wa arusha wanaelewa utamu wa hela ya mzungu kama mazingira mheshimiwa atapambana kuyaweka sawa jamaa watapiga kaz.nimemskia yule jamaa kichwa Chambulo anasema kalipa mil 23 kapewa risit ya mil 3. Yule ana aides nying za kuhakikisha mzungu anabakiza nauli tu ya kurud kwao.hapo arusha itapaa kiutalii.ttb pale nothing creative nothing no museums hakuna tradition wataalam wamekaaa hata huko dodom kukimbiza madokezo ya.poshoook tu
Unaandika upumbavu tuAsilimia 90 ya watanzani wanamkubali makonda. Ndio kiongozi pekee anayejitoa kwaajili ya wananchi wake. Ni kiongozi mwenye uthubutu yupo tayari kupambana na watumishi wazembe na viongozi wala rushwa. Hiyo ndio sababu kuu inanifanya niwe upande wa Makonda.
Dini ni shambulio la akili na ulokole ni kama tatizo la akiliYESU ANAKUPENDA JE UMESALI KABLA YA KUSHIKA SIMU YAKO ASUBUHI HII MAANA VITA NI KALI View attachment 2963113
Can you imagine wakati Warioba anakuwa Waziri Mkuu 1985 nilikuwa namuona kama hatoshi vile. Na hapo Warioba alitoka kuwa Waziri wa Sheria na Mwanasheria Mkuu wa Serikali.Dalili ya kuelekea kuwa 'failed state'
yesu ndo huyo mwenye damu,hivi alikua anapiga gym naona ma six pack Jux anasubiri.
Hapo kwa watu makini tunaona mwanzo mzuri upande wa utalii.Kuna mindsets za ovyo sana hapo Arusha kuhusu utalii.Mh RC Makonda asikilize na kuelewa picha kubwa kwanza ndipo achukue hatua muhimu kukuza utalii.Ili jipu , ila mda ni mwalim mzuri , wapo watu nchi wanayafanyia ma kubwa tz kama nchi na wametulia tuli , sasa huyu nikujifanya Kambare , ikumbukwe amewahi mkwida mzee Warioba , Mungu halali haijalishi ni nani ila mda utajibu
Hizo six pack Yesu kazaliwa nazo siyo za gimu!!Acha ujuha Yesu hakuwa na Muda wa kutengeneza Six pack
Inawezekana alikuwa na six pack kutokana na yale matembezi aliyokuwa akifanya. Mara kaenda Galilaya, Nazareth, Samaria na kwenye mlima mzeituni. Alikuwa anatembea balaa.Acha ujuha Yesu hakuwa na Muda wa kutengeneza Six pack
Awe makini wamarekani wakijua yuko Arusha wanaweza kutoa onyo kwa raia wao kwenda ArushaYule ana aides nying za kuhakikisha mzungu anabakiza nauli tu ya kurud kwao.hapo arusha itapaa kiutalii.
Makonda amenikasilisha sana, sina wivu wa kile anakipata au kuwa ndani ya serikali ila amenikosea sana binasfi why hatulizi kichwa ,naomba niandaliwe pambano nae tuzichape roho ya itakua na amaniHapo kwa watu makini tunaona mwanzo mzuri upande wa utalii.Kuna mindsets za ovyo sana hapo Arusha kuhusu utalii.Mh RC Makonda asikilize na kuelewa picha kubwa kwanza ndipo achukue hatua muhimu kukuza utalii.
1. Ajifunze historia ya utalii wa Arusha hasa kuanzia miaka ya '90..ili aelewe mvutano wa makampuni makubwa dhidi ya makampuni madogo.
2.Ajifunze kuhusu waongoza watalii..ili aelewe mvutano wa kimaslahi kati yao na wenye makampuni.( makubwa kwa madogo).
3.Ajifunze kuhusu mitaala ya vyuo mbalimbali vinavyofundisha Utalii...ili aelewe kwa nini kuna tofauti kubwa ya uelewa kwa wahitimu.
4.Mwisho ajenge spirit ya kuwapenda watalii na sio pesa yao tu.Hapa awaguse trafffic polices,TRA,LATRA,Park Rangers ,etc ..ili waoneshe kuwa Utalii ni number one hapo Arusha..
DuuhJana nimeona kikao baina ya Rc Makonda na wafanyabiashara wa hotel na tra na tours.Rc kauliza vitu vingi na kashangaa iweje mzungu atoke ulaya aje kulala badala ya kutalii. Napenda nitoe ushaur.wakat fulan tulisoma kozi na serikal ya china katika hizo kozi kuna kitu kinaitwa Night tourism, hapa maeneo meng nchin china utalii unafanyika mpaka usiku.mfano private tours at night in the city,museums. Kuna maeneo unapata local food usiku mzima,wenzetu wana utalii wa mito sio kama sisi mito yetu yot tumekonect maji taka. Kwa arusha ili jiji liqe vibrant ni lazima shuguli za utalii ziwe 24hrs.wengine wanapenda kwenda museums usiku pametulia,uliza arusha kuna Museum inayoeleweka??? Mtalii anaweza kutaka local foods at night je zipo sehem hizo.??? Usalama je??? Naamin watu wa arusha wanaelewa utamu wa hela ya mzungu kama mazingira mheshimiwa atapambana kuyaweka sawa jamaa watapiga kaz.nimemskia yule jamaa kichwa Chambulo anasema kalipa mil 23 kapewa risit ya mil 3. Yule ana aides nying za kuhakikisha mzungu anabakiza nauli tu ya kurud kwao.hapo arusha itapaa kiutalii.ttb pale nothing creative nothing no museums hakuna tradition wataalam wamekaaa hata huko dodom kukimbiza madokezo ya.poshoook tu