Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Hovyo kabisaWakuu,
Hivi mliwahi kushuhudia uenezi wa hao jamaa?
Hao alikua akiwa sehemu akiropoka au kuongea la maana mitandao na vyombo vya habari vyote inakua ndio taarifa muhimu.
Sasa mwenezi kama makala kweli yaani hata vyombo kureport habari zake wanaona uvivu tu.
Hao wenezi Kwa mfano Nape nakumbuka mapinduzi makubwa aliyafanya ikiwapo kuchagiza siasa za vyuo vikuu na siasa za mitandaoni.
Polepole naye alikuja speed sana na alikubalika mno alijichanganya na makundi yote na alikubalika, makonda ndio huyo mliona mikutano yake anakusanya vijiji na vijiji, nadhani ifikie mahala hao watu wasiokubalika wapewe ubalozi au hata uenyekiti wa bodi tu wajipumzikie huko.
Hata muandike thread 1,000 kumsifia huyo nyamitako Bashite hawezi kurudi kuwa mwenezi tena.Wakuu,
Hivi mliwahi kushuhudia uenezi wa hao jamaa?
Hao alikua akiwa sehemu akiropoka au kuongea la maana mitandao na vyombo vya habari vyote inakua ndio taarifa muhimu.
Sasa mwenezi kama makala kweli yaani hata vyombo kureport habari zake wanaona uvivu tu.
Hao wenezi Kwa mfano Nape nakumbuka mapinduzi makubwa aliyafanya ikiwapo kuchagiza siasa za vyuo vikuu na siasa za mitandaoni.
Polepole naye alikuja speed sana na alikubalika mno alijichanganya na makundi yote na alikubalika, makonda ndio huyo mliona mikutano yake anakusanya vijiji na vijiji, nadhani ifikie mahala hao watu wasiokubalika wapewe ubalozi au hata uenyekiti wa bodi tu wajipumzikie huko.
Dr Nchimbi akiwa Katavi alisema "aliyekuwa anafokea watumishi majukwaani Kwa wizi naye ni Mwizi kama Wezi wengine". Sijui alimaanisha Nani!!Huo ndio ukweli mchungu kwamba Makonda pamoja na mapungufu yake yote YEYE siyo Muoga
Anatembea na Exodus 14:14
Dunia ya Leo inataka viongozi wasio waoga kama Trump [emoji23][emoji23][emoji91]
Kwenu Lucas na Erythrocyte - Mbeya
Tena fisadi no 1Makonda mwenyewe fisadi ndugu yangun
Acha bangi dogo.Tena fisadi no 1
Labda urefu wa kamba 🐼Dr Nchimbi akiwa Katavi alisema "aliyekuwa anafokea watumishi majukwaani Kwa wizi naye ni Mwizi kama Wezi wengine". Sijui alimaanisha Nani!!
Acha kuropoka ropoka tuMakonda mwenyewe fisadi ndugu yangun
Mpaka saa 2 Katibu atakuwa amefika ofisi modem hutatumia tenaAcha bangi dogo.
Hawa mapacha wanne(Jk, Rostam, Abdul na Makamba) atawafanya nini?Kwa hiyo hata Rais anawagwaya mafisadi?!
Kuiba nini?Makonda akizuiwa kuiba huwa anageuka
😃😃😃Jinga sana wewe dogoMpaka saa 2 Katibu atakuwa amefika ofisi modem hutatumia tena
Ndani ya CCM majangili yanajuanaLabda urefu wa kamba 🐼
Mali za ummaKuiba nini?