Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Wewe punguani, mvivu na mzembe mwenye Akili kisoda.


Tunahitaji matokeo, na matokeo Chanya, iwe Kwa kupiga, iwe Kwa kufoka, tunahitaj matokeo.

Hilo bembeleza zenu zimewah saidia nn?


Wewe ni matokeo ya Kitoto lilozaliwa ,likadekezwa, shuleni limesoma shule za kubebwa, chuoni,limebebwa , Sasa limeingia mtaani, limejikuta linahitaj Maisha yaleyale ya kubebwa na kubembelezwa.

Pumbavu
 
Wakuu,

Hivi mliwahi kushuhudia uenezi wa hao jamaa?

Hao alikua akiwa sehemu akiropoka au kuongea la maana mitandao na vyombo vya habari vyote inakua ndio taarifa muhimu.

Sasa mwenezi kama makala kweli yaani hata vyombo kureport habari zake wanaona uvivu tu.

Hao wenezi Kwa mfano Nape nakumbuka mapinduzi makubwa aliyafanya ikiwapo kuchagiza siasa za vyuo vikuu na siasa za mitandaoni.

Polepole naye alikuja speed sana na alikubalika mno alijichanganya na makundi yote na alikubalika, makonda ndio huyo mliona mikutano yake anakusanya vijiji na vijiji, nadhani ifikie mahala hao watu wasiokubalika wapewe ubalozi au hata uenyekiti wa bodi tu wajipumzikie huko.
Hovyo kabisa
 
Wakuu,

Hivi mliwahi kushuhudia uenezi wa hao jamaa?

Hao alikua akiwa sehemu akiropoka au kuongea la maana mitandao na vyombo vya habari vyote inakua ndio taarifa muhimu.

Sasa mwenezi kama makala kweli yaani hata vyombo kureport habari zake wanaona uvivu tu.

Hao wenezi Kwa mfano Nape nakumbuka mapinduzi makubwa aliyafanya ikiwapo kuchagiza siasa za vyuo vikuu na siasa za mitandaoni.

Polepole naye alikuja speed sana na alikubalika mno alijichanganya na makundi yote na alikubalika, makonda ndio huyo mliona mikutano yake anakusanya vijiji na vijiji, nadhani ifikie mahala hao watu wasiokubalika wapewe ubalozi au hata uenyekiti wa bodi tu wajipumzikie huko.
Hata muandike thread 1,000 kumsifia huyo nyamitako Bashite hawezi kurudi kuwa mwenezi tena.

Huu mchezo hautaki Zerobrain bali unataka wenye akili. Muda wa usanii wa kupanda mkokoteni na panda haupo tena.

Mwambie huyo mhalifu aendelee kufanya kazi ya u RC Arusha kwa akili na siyo kwa ma camera na mapicha picha. La sivyo hata hiyo atanyang'anywa
 
Huo ndio ukweli mchungu kwamba Makonda pamoja na mapungufu yake yote YEYE siyo Muoga

Anatembea na Exodus 14:14

Dunia ya Leo inataka viongozi wasio waoga kama Trump [emoji23][emoji23][emoji91]

Kwenu Lucas na Erythrocyte - Mbeya
Dr Nchimbi akiwa Katavi alisema "aliyekuwa anafokea watumishi majukwaani Kwa wizi naye ni Mwizi kama Wezi wengine". Sijui alimaanisha Nani!!
 
Back
Top Bottom