Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Atueleze gari ya zaidi ya milioni 500 ameipataje na mshahara wa RC unajulikana.Kwani mtu kukemea ufisadi ni lazima na wwe uwe masikini sana!? Kwani hakuna matajiri wa haki wanaokemea ufisadi!?
Hakosi makonda ni bilioneaKaamka nalo halafu hela ya supu hana
Una maana huyu johnthebaptist ndiye Makonda?Hakosi makonda ni bilionea
Huyo ni chawa wake tu.Una maana huyu johnthebaptist ndiye Makonda?
Ulichoongea ni sahihi makonda ni fisadi kama ilivyo mafisadi wengine sijui kwanini watu hawaoniJana diamond kampost makonda anaendesha gari ya zaidi ya milioni 500 ukimuona makonda anakemea ufisadi kama una akili timamu lazima ujiulize mara mbili mbili.
Umenena vyema Makondo ni kiongozi anakerwa ni changamoto za wananchiHuo ndio ukweli mchungu kwamba Makonda pamoja na mapungufu yake yote YEYE siyo Muoga
Anatembea na Exodus 14:14
Dunia ya Leo inataka viongozi wasio waoga kama Trump [emoji23][emoji23][emoji91]
Kwenu Lucas na Erythrocyte - Mbeya
Hata kama ni fisadi Sawa lakini afadhali fisadi anayetetea wananchi, wew hapo nadhani Makonda angekuwa uttoh ungemuunga mkonoMakonda mwenyewe fisadi ndugu yangun
ππππHuyo ni chawa wake tu.
Hata kama ni fisadi Sawa lakini afadhali fisadi anayetetea wananchi, wew hapo nadhani Makonda angekuwa uttoh ungemuunga mkono
Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app
Wewe ndo makonda mwenyewe?Weka akiba ya Maneno πΌ
Chawa wake huyo ndiye anamuweka mjiniWewe ndo makonda mwenyewe?
Aone aibu kwa sababu gani???Hili ni funzo kwa Makonda afuatilie mikutano ya Kinana na Nchimbi atagundua yeye alikuwa ni mwenezi
1: Mropokaji kila jambo anaropoka kwa maslahi yake
2- Mwenezi wa kujikweza na maagizo yasiyo na kichwa wala miguu anamwagiza waziri mkuu; mawaziri; wakuu mikoa ; wilaya ; wakurugenzi na MA RPC
3- Mwenezi asiyeheshimu ofisi za Chama chake yeye anakutana na viongozi barabarani
4- Mwenezi wa Kero za mchongo ili achangishe fedha
5- Mwenezi asiyeheshimu muhimili wa mahakama
6- Mwenezi wa sinema za kupanda ngamia; mkokoteni utoto mwingi
Angalia ziara za kinana na nchimbi hazina hayo yote antamka eti sijajifunza lolote.
Tulia fanya kazi siyo kuropoka huko monduli unachafua hali hewa nchi
Hebu tupe picha ya hiyo mikutano. Huna akiliHili ni funzo kwa Makonda afuatilie mikutano ya Kinana na Nchimbi atagundua yeye alikuwa ni mwenezi
1: Mropokaji kila jambo anaropoka kwa maslahi yake
2- Mwenezi wa kujikweza na maagizo yasiyo na kichwa wala miguu anamwagiza waziri mkuu; mawaziri; wakuu mikoa ; wilaya ; wakurugenzi na MA RPC
3- Mwenezi asiyeheshimu ofisi za Chama chake yeye anakutana na viongozi barabarani
4- Mwenezi wa Kero za mchongo ili achangishe fedha
5- Mwenezi asiyeheshimu muhimili wa mahakama
6- Mwenezi wa sinema za kupanda ngamia; mkokoteni utoto mwingi
Angalia ziara za kinana na nchimbi hazina hayo yote antamka eti sijajifunza lolote.
Tulia fanya kazi siyo kuropoka huko monduli unachafua hali hewa nchi
Sasa mtu hana akili hata moja kichwani unatagemea nini ? Makonda lazima afoke, ndiyo hicho tu anakiwezaHili ni funzo kwa Makonda afuatilie mikutano ya Kinana na Nchimbi atagundua yeye alikuwa ni mwenezi
1: Mropokaji kila jambo anaropoka kwa maslahi yake
2- Mwenezi wa kujikweza na maagizo yasiyo na kichwa wala miguu anamwagiza waziri mkuu; mawaziri; wakuu mikoa ; wilaya ; wakurugenzi na MA RPC
3- Mwenezi asiyeheshimu ofisi za Chama chake yeye anakutana na viongozi barabarani
4- Mwenezi wa Kero za mchongo ili achangishe fedha
5- Mwenezi asiyeheshimu muhimili wa mahakama
6- Mwenezi wa sinema za kupanda ngamia; mkokoteni utoto mwingi
Angalia ziara za kinana na nchimbi hazina hayo yote antamka eti sijajifunza lolote.
Tulia fanya kazi siyo kuropoka huko monduli unachafua hali hewa nchi
Ukiweza kuthibitisha ufisadi wa ufisadi wa Mbowe hapa ningekuona una akili.Hata Mbowe ni Fisadi ila ana uwezo wa kusema ukweli kwa mafisadi wengine πΌ
Hujui kwamba Kuishi kwa ruzuku ni Ufisadi? πΌUkiweza kuthibitisha ufisadi wa ufisadi wa Mbowe hapa ningekuona una akili.
Hebu taja ufisadi aliofanya Mbowe kama wafanyavyo wale wa CCM
Hivi ndani ya hicho Chama Chenu, Je, nani ambaye siyo fisadi, mwizi au mfanya uovu mbalimbali? Nani?Huo ndio ukweli mchungu kwamba Makonda pamoja na mapungufu yake yote YEYE siyo Muoga
Anatembea na Exodus 14:14
Dunia ya Leo inataka viongozi wasio waoga kama Trump πππ₯
Kwenu Lucas na Erythrocyte - Mbeya
Tundu AntipasHivi ndani ya hicho Chama Chenu, Je, nani ambaye siyo fisadi, mwizi au mfanya uovu mbalimbali? Nani?