Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Elezeni Ukweli muelewwke😂😂
Ngada na Ufipa st
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elezeni Ukweli muelewwke😂😂
Ngada na Ufipa st
Tulijua Chawa wake watakuja na tuko tayari kupambana nao kwa hoja au kivyovyoteBwana we,Makonda kama kweli unahitaji Kupambana naye Kwa maneno lazima uwe naye Ground Zero na uende naye Bampa tu Bampa.Kupambana na Makonda nyuma ya Keyboard hakuna anayemuweze kwa Tabia zenu za Kinafiki na uoga.
In short Bada hakuna anayeweza kudeal na Makonda na Akamnyamazisha.Hata Magufuli Mwenyewe Alishindwa Sembuse WEWE.
Tafuta Kazi ingine Ufanye au kama unataka Kudeal Naye WEWE ita Press Nenda Nae Level tena Kwa kumuanza Kabisa na SIO kusubiri Mpaka aonge umjibu kama vile wewe kazi yako ni kuimba Kiitikio na yeye kuweka Mashairi.
Tulia DAWA iingiae
Mkuu,Unaona SASA,Chawa wa Makonda ni nani?ni Mtu kama wewe ambaye unajificha nyuma ya Keyboard kusema maneno lukuki ambayo huna ujasiri wa kuyasema Wazi.Namkumbuka SANA Ben Saa nane.Aliwahi sana kuiacha Chadema.Angeweza Kumjibu Makonda Live mbele ya Kamera sio ninyi ambao mnajificha nyuma ya Kanga za Dada zenu.Tulijua Chawa wake watakuja na tuko tayari kupambana nao kwa hoja au kivyovyote
Huna hoja , pinga yale mawe niliyoweka pale juu , kuna nilichosingizia ? Cheo ni dhamana ya muda mfupi sana , ukikipata tenda haki .Mkuu,Unaona SASA,Chawa wa Makonda ni nani?ni Mtu kama wewe ambaye unajificha nyuma ya Keyboard kusema maneno lukuki ambayo huna ujasiri wa kuyasema Wazi.Namkumbuka SANA Ben Saa nane.Aliwahi sana kuiacha Chadema.Angeweza Kumjibu Makonda Live mbele ya Kamera sio ninyi ambao mnajificha nyuma ya Kanga za Dada zenu.
Aligombana na wauza unga hasa wale wa club bilicanaIfike wakati sasa Makonda anyamaze au anyamazishwe , hawezi kuendelea kudanganya umma halafu tukamkalia Kimya , Uongo wake ufike mwisho , na aache kutafuta huruma .
Ameendelea kusema Uongo huko Arusha kwamba aligombana na Wauza madawa ya kulevya na kwamba amenusurika kuuawa mara kadhaa , sasa alinusurika wakati ule wa Magufuli au ni lini ? Mbona akiwa Mwenezi nako alisema amenusurika kuuawa , sasa tushike lipi ? Binafsi napinga madai yake na Simuaamini hata Chembe .
Wauza madawa aliowasingizia hawa akina Wema Sepetu , Nyandu Tozi na TID ndio waliotaka kumuua ? au ni akina Manji ambao waliwekwa ndani kwa muda Mrefu au ni wepi wengine ?
Ukweli ni huu hapa , Katika madaraka yake madogo aliyopewa Makonda aligombana na kila Mtu , Alipogombana na Chongolo kule Kinondoni anataka kusema naye alikuwa muuza Unga ? Alipogombona na Mbunge wa Ubungo Saed Kubenea hadi kupelekana Mahakamani ilikuwa sababu ya Unga ? Alipompiga Ngwala Mzee Warioba anataka kusema naye alikuwa Muuza Unga ? Alipovamia Clouds media huko nako walikuwa nauza unga ? Tukiandika watu aliogombana nao Makonda humu JF Itajaa na wala haitatosha , Makonda alipiga Marufuku Wabunge kuishi kwenye Mkoa aliokuwa RC , na kwamba wanatakiwa kuwa Dodoma ile amri nayo ilihusu Wauza unga , Mbunge Aeshi alilalamika Bungeni kwamba aliambiwa na Makonda akigusa Dar atashughulikiwa , huyu naye alikuwa Muuza Unga ? Alipodhulumu nyumba ya GSM Block 41 Kinondoni atuambie kama huyu naye alikuwa Muuza Unga ?
Je hakukuwa na Wakuu wa Wilaya au Wakuu wa Mikoa wengine ilikuwaje yeye Makonda ndio agombane na kila mtu , ilikuwaje yeye awe anadhalilisha kila mtu bila Ushahidi wowote ?
Leo analialia ili aonewe huruma na nani ili iweje , Yeye ni kiongozi wa CCM mtoto mpendwa wa Mama kama anavyojinadi yeye mwenyewe , Kwanini asimuambie Mama yake ambaye ndio Amiri Jeshi Mkuu ili awakamate na kuwashughulikia hao wanaotaka Kumuua mara zote hizo ?
Makonda usitupotezee muda kama umeshindwa Uongozi Jiuzulu urudi mitaani .
View attachment 2969272
Basi hamtaki katiba mpya ajenda ni makonda sasa kweli CCM ni wazee wa mikakati wanapoamua kubadili upepo!Ifike wakati sasa Makonda anyamaze au anyamazishwe , hawezi kuendelea kudanganya umma halafu tukamkalia Kimya , Uongo wake ufike mwisho , na aache kutafuta huruma .
Ameendelea kusema Uongo huko Arusha kwamba aligombana na Wauza madawa ya kulevya na kwamba amenusurika kuuawa mara kadhaa , sasa alinusurika wakati ule wa Magufuli au ni lini ? Mbona akiwa Mwenezi nako alisema amenusurika kuuawa , sasa tushike lipi ? Binafsi napinga madai yake na Simuaamini hata Chembe .
Wauza madawa aliowasingizia hawa akina Wema Sepetu , Nyandu Tozi na TID ndio waliotaka kumuua ? au ni akina Manji ambao waliwekwa ndani kwa muda Mrefu au ni wepi wengine ?
Ukweli ni huu hapa , Katika madaraka yake madogo aliyopewa Makonda aligombana na kila Mtu , Alipogombana na Chongolo kule Kinondoni anataka kusema naye alikuwa muuza Unga ? Alipogombona na Mbunge wa Ubungo Saed Kubenea hadi kupelekana Mahakamani ilikuwa sababu ya Unga ? Alipompiga Ngwala Mzee Warioba anataka kusema naye alikuwa Muuza Unga ? Alipovamia Clouds media huko nako walikuwa nauza unga ? Tukiandika watu aliogombana nao Makonda humu JF Itajaa na wala haitatosha , Makonda alipiga Marufuku Wabunge kuishi kwenye Mkoa aliokuwa RC , na kwamba wanatakiwa kuwa Dodoma ile amri nayo ilihusu Wauza unga , Mbunge Aeshi alilalamika Bungeni kwamba aliambiwa na Makonda akigusa Dar atashughulikiwa , huyu naye alikuwa Muuza Unga ? Alipodhulumu nyumba ya GSM Block 41 Kinondoni atuambie kama huyu naye alikuwa Muuza Unga ?
Je hakukuwa na Wakuu wa Wilaya au Wakuu wa Mikoa wengine ilikuwaje yeye Makonda ndio agombane na kila mtu , ilikuwaje yeye awe anadhalilisha kila mtu bila Ushahidi wowote ?
Leo analialia ili aonewe huruma na nani ili iweje , Yeye ni kiongozi wa CCM mtoto mpendwa wa Mama kama anavyojinadi yeye mwenyewe , Kwanini asimuambie Mama yake ambaye ndio Amiri Jeshi Mkuu ili awakamate na kuwashughulikia hao wanaotaka Kumuua mara zote hizo ?
Makonda usitupotezee muda kama umeshindwa Uongozi Jiuzulu urudi mitaani .
View attachment 2969272
Chadema ujinga ujinga ni mwingi😂Basi hamtaki katiba mpya ajenda ni makonda sasa kweli CCM ni wazee wa mikakati wanapoamua kubadili upepo!
Kila siku siyo JumapiliChadema ujinga ujinga ni mwingi😂
Na wewe una maneno sana! Makonda sio size yenu huko ufipa! Alipokiwa uraiani mlishindwa saizi yuko kwenye mfumo mtamuweza?Kila siku siyo Jumapili
Yaan umeandika gazeti, lakin hakuna point ya msingi. Yaan Makonda anakuumiza roho sana Dada yangu. Halafu umeandika kwa hisia Kali sana. Mm nakushauri tu kuwa usipende kuwachukia watu, ishi tu kwa amani. Hawa wakina Makonda usije kushangaa wanapata cheo kikubwa sana. Si utaumia sana. Ushauri tu.Ifike wakati sasa Makonda anyamaze au anyamazishwe , hawezi kuendelea kudanganya umma halafu tukamkalia Kimya , Uongo wake ufike mwisho , na aache kutafuta huruma .
Ameendelea kusema Uongo huko Arusha kwamba aligombana na Wauza madawa ya kulevya na kwamba amenusurika kuuawa mara kadhaa , sasa alinusurika wakati ule wa Magufuli au ni lini ? Mbona akiwa Mwenezi nako alisema amenusurika kuuawa , sasa tushike lipi ? Binafsi napinga madai yake na Simuaamini hata Chembe .
Wauza madawa aliowasingizia hawa akina Wema Sepetu , Nyandu Tozi na TID ndio waliotaka kumuua ? au ni akina Manji ambao waliwekwa ndani kwa muda Mrefu au ni wepi wengine ?
Ukweli ni huu hapa , Katika madaraka yake madogo aliyopewa Makonda aligombana na kila Mtu , Alipogombana na Chongolo kule Kinondoni anataka kusema naye alikuwa muuza Unga ? Alipogombona na Mbunge wa Ubungo Saed Kubenea hadi kupelekana Mahakamani ilikuwa sababu ya Unga ? Alipompiga Ngwala Mzee Warioba anataka kusema naye alikuwa Muuza Unga ? Alipovamia Clouds media huko nako walikuwa nauza unga ? Tukiandika watu aliogombana nao Makonda humu JF Itajaa na wala haitatosha , Makonda alipiga Marufuku Wabunge kuishi kwenye Mkoa aliokuwa RC , na kwamba wanatakiwa kuwa Dodoma ile amri nayo ilihusu Wauza unga , Mbunge Aeshi alilalamika Bungeni kwamba aliambiwa na Makonda akigusa Dar atashughulikiwa , huyu naye alikuwa Muuza Unga ? Alipodhulumu nyumba ya GSM Block 41 Kinondoni atuambie kama huyu naye alikuwa Muuza Unga ?
Je hakukuwa na Wakuu wa Wilaya au Wakuu wa Mikoa wengine ilikuwaje yeye Makonda ndio agombane na kila mtu , ilikuwaje yeye awe anadhalilisha kila mtu bila Ushahidi wowote ?
Leo analialia ili aonewe huruma na nani ili iweje , Yeye ni kiongozi wa CCM mtoto mpendwa wa Mama kama anavyojinadi yeye mwenyewe , Kwanini asimuambie Mama yake ambaye ndio Amiri Jeshi Mkuu ili awakamate na kuwashughulikia hao wanaotaka Kumuua mara zote hizo ?
Makonda usitupotezee muda kama umeshindwa Uongozi Jiuzulu urudi mitaani .
View attachment 2969272
Pinga nilichoandikaNa wewe una maneno sana! Makonda sio size yenu huko ufipa! Alipokiwa uraiani mlishindwa saizi yuko kwenye mfumo mtamuweza?
Eti Makonda aligombana na kila mtu? Wewe chizi kweli!
Hoja ni Je nilichoandika ni uongo ?Yaan umeandika gazeti, lakin hakuna point ya msingi. Yaan Makonda anakuumiza roho sana Dada yangu. Halafu umeandika kwa hisia Kali sana. Mm nakushauri tu kuwa usipende kuwachukia watu, ishi tu kwa amani. Hawa wakina Makonda usije kushangaa wanapata cheo kikubwa sana. Si utaumia sana. Ushauri tu.
Ni uongo uongo tu. Vitu vya kutunga, tunga ili kumharibia Makonda. Na, mumemshindwa dogo.CDM na CCM kuna vishikwambi wanampiga vita sana dogo Makonda. Lakin, Mungu ni wa wote. See, the guy at the top.Hoja ni Je nilichoandika ni uongo ?
Haeleweki ajenda yao!Chadema ujinga ujinga ni mwingi😂
Acha uzushi, Makonda alisimamia haki kwa wauza madawa mpaka yakapotea mtaaniIfike wakati sasa Makonda anyamaze au anyamazishwe , hawezi kuendelea kudanganya umma halafu tukamkalia Kimya , Uongo wake ufike mwisho , na aache kutafuta huruma .
Ameendelea kusema Uongo huko Arusha kwamba aligombana na Wauza madawa ya kulevya na kwamba amenusurika kuuawa mara kadhaa , sasa alinusurika wakati ule wa Magufuli au ni lini ? Mbona akiwa Mwenezi nako alisema amenusurika kuuawa , sasa tushike lipi ? Binafsi napinga madai yake na Simuaamini hata Chembe .
Wauza madawa aliowasingizia hawa akina Wema Sepetu , Nyandu Tozi na TID ndio waliotaka kumuua ? au ni akina Manji ambao waliwekwa ndani kwa muda Mrefu au ni wepi wengine ?
Ukweli ni huu hapa , Katika madaraka yake madogo aliyopewa Makonda aligombana na kila Mtu , Alipogombana na Chongolo kule Kinondoni anataka kusema naye alikuwa muuza Unga ? Alipogombona na Mbunge wa Ubungo Saed Kubenea hadi kupelekana Mahakamani ilikuwa sababu ya Unga ? Alipompiga Ngwala Mzee Warioba anataka kusema naye alikuwa Muuza Unga ? Alipovamia Clouds media huko nako walikuwa nauza unga ? Tukiandika watu aliogombana nao Makonda humu JF Itajaa na wala haitatosha , Makonda alipiga Marufuku Wabunge kuishi kwenye Mkoa aliokuwa RC , na kwamba wanatakiwa kuwa Dodoma ile amri nayo ilihusu Wauza unga , Mbunge Aeshi alilalamika Bungeni kwamba aliambiwa na Makonda akigusa Dar atashughulikiwa , huyu naye alikuwa Muuza Unga ? Alipodhulumu nyumba ya GSM Block 41 Kinondoni atuambie kama huyu naye alikuwa Muuza Unga ?
Je hakukuwa na Wakuu wa Wilaya au Wakuu wa Mikoa wengine ilikuwaje yeye Makonda ndio agombane na kila mtu , ilikuwaje yeye awe anadhalilisha kila mtu bila Ushahidi wowote ?
Leo analialia ili aonewe huruma na nani ili iweje , Yeye ni kiongozi wa CCM mtoto mpendwa wa Mama kama anavyojinadi yeye mwenyewe , Kwanini asimuambie Mama yake ambaye ndio Amiri Jeshi Mkuu ili awakamate na kuwashughulikia hao wanaotaka Kumuua mara zote hizo ?
Makonda usitupotezee muda kama umeshindwa Uongozi Jiuzulu urudi mitaani .
View attachment 2969272