Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana umuhimu huo anaojipa, hata wakimuua hakuna atakayeshtukaEti kuna watu walitaka kumuua mara kadhaa na anaendelea kuwindwa?
Sidhani kama kuna mtu alikuwa na haja ya kumuua huyu kaka labda kama anatafuta kiki tu.
Watake kumuua huyu mtu hustle kwa umuhimu gani kwenye jamii?
Ebu msikilizeni wenyewe alafu tumjadili wana jukwaa.View attachment 2969431
Wewe nenda kaandike habari za Nchimbi na Makalla, hali zao kisiasa ni teteEti kuna watu walitaka kumuua mara kadhaa na anaendelea kuwindwa?
Sidhani kama kuna mtu alikuwa na haja ya kumuua huyu kaka labda kama anatafuta kiki tu.
Watake kumuua huyu mtu hustle kwa umuhimu gani kwenye jamii?
Ebu msikilizeni wenyewe alafu tumjadili wana jukwaa.View attachment 2969431
Vita ya kiuchumi noma sana. Biashara ya sembe ni vita ya kiuchumi.Eti kuna watu walitaka kumuua mara kadhaa na anaendelea kuwindwa?
Sidhani kama kuna mtu alikuwa na haja ya kumuua huyu kaka labda kama anatafuta kiki tu.
Watake kumuua huyu mtu hustle kwa umuhimu gani kwenye jamii?
Ebu msikilizeni wenyewe alafu tumjadili wana jukwaa.View attachment 2969431
Kumtafutia Waganga jiwe nchi nzima ni kazi ya shetaniACHA KUPAMBANA NA WATU WALIOAGA KWAO MKUU
View attachment 2969446
HahahahaWewe nenda kaandike habari za Nchimbi na Makalla, hali zao kisiasa ni tete
Wewe ni muuza madawa???.Eti kuna watu walitaka kumuua mara kadhaa na anaendelea kuwindwa?
Sidhani kama kuna mtu alikuwa na haja ya kumuua huyu kaka labda kama anatafuta kiki tu.
Watake kumuua huyu mtu hustle kwa umuhimu gani kwenye jamii?
Ebu msikilizeni wenyewe alafu tumjadili wana jukwaa.View attachment 2969431
Sasa ndio aseme badala ya kurukaruka kama bisi kwenye kikaangoNyie mnadai alidhuru watu, labda ndugu za aliowadhuru ndio wanataka kulipa kisasi.
Endapo kama anawindwa na wale watu aliowafanyia ubaya siku za nyuma Mimi binafsi sioni tatizo juu ya suala hili, kwa sababu anapaswa kuvuna kile alichopanda.Eti kuna watu walitaka kumuua mara kadhaa na anaendelea kuwindwa?
Sidhani kama kuna mtu alikuwa na haja ya kumuua huyu kaka labda kama anatafuta kiki tu.
Watake kumuua huyu mtu hustle kwa umuhimu gani kwenye jamii?
Ebu msikilizeni wenyewe alafu tumjadili wana jukwaa.View attachment 2969431
Makonda hawapi usingizi ufipaEti kuna watu walitaka kumuua mara kadhaa na anaendelea kuwindwa?
Sidhani kama kuna mtu alikuwa na haja ya kumuua huyu kaka labda kama anatafuta kiki tu.
Watake kumuua huyu mtu hustle kwa umuhimu gani kwenye jamii?
Ebu msikilizeni wenyewe alafu tumjadili wana jukwaa.View attachment 2969431
Nani amuue Ili iweje huyo ni wakuvishwa vijora na shanga kiunoni, ushamba wa koromije haujamtoka mpaka Leo anaamini ukuda na fitina ni ngazi yake ya kujipatia mkate wa kila sikuEti kuna watu walitaka kumuua mara kadhaa na anaendelea kuwindwa?
Sidhani kama kuna mtu alikuwa na haja ya kumuua huyu kaka labda kama anatafuta kiki tu.
Watake kumuua huyu mtu hustle kwa umuhimu gani kwenye jamii?
Ebu msikilizeni wenyewe alafu tumjadili wana jukwaa.View attachment 2969431
huyu ni aina ya kiongozi ambaye hatakiwi kabisa kuongoza hata mtaa tu. ni aibu kwa taifa.Eti kuna watu walitaka kumuua mara kadhaa na anaendelea kuwindwa?
Sidhani kama kuna mtu alikuwa na haja ya kumuua huyu kaka labda kama anatafuta kiki tu.
Watake kumuua huyu mtu hustle kwa umuhimu gani kwenye jamii?
Hebu msikilizeni wenyewe alafu tumjadili wana jukwaa.
View attachment 2969431
Makonda Paulo Albert Bashite ni tapeli tu kama wengine waliopitia uvccm.Eti kuna watu walitaka kumuua mara kadhaa na anaendelea kuwindwa?
Sidhani kama kuna mtu alikuwa na haja ya kumuua huyu kaka labda kama anatafuta kiki tu.
Watake kumuua huyu mtu hustle kwa umuhimu gani kwenye jamii?
Hebu msikilizeni wenyewe alafu tumjadili wana jukwaa.
View attachment 2969431
Hana hata sifa moja ya kuweza kuwaongoza binadamuhuyu ni aina ya kiongozi ambaye hatakiwi kabisa kuongoza hata mtaa tu. ni aibu kwa taifa.