Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Tufanye ulinganifu kidogo kati ya Hawa wenezi.

Naanza Mimi.

1. Makonda taarifa za mikutano na Ratiba zilikuwa zinatolewa mapema. Makala Ratiba zinashitukiza.

2. Makonda - watu walikuwa wanakuja wenyewe kwenye mikutano. Makala watu wanaletwa/wanasombwa, hadi wanafunzi wanaletwa kwenye mikutano.

3. Makala anaambatana na Katibu, ugeni mzito ila bado watu mi wachache, media nazo zimewapuuza. Makonda media an live streaming zilikuwa kama zote.

4. Makonda alikuwa Karibu sana na mwenyekiti , Makala Yuko Karibu sana na Katibu.

5. Makala anautulivu, Makonda alikuwa na over confidence.

Wewe Unaonaje?
 
Tufanye ulinganifu kidogo kati ya Hawa wenezi.

Naanza Mimi.

1. Makonda taarifa za mikutano na Ratiba zilikuwa zinatolewa mapema. Makala Ratiba zinashitukiza.

2. Makonda - watu walikuwa wanakuja wenyewe kwenye mikutano. Makala watu wanaletwa/wanasombwa, hadi wanafunzi wanaletwa kwenye mikutano.

3. Makala anaambatana na Katibu, ugeni mzito ila bado watu mi wachache, media nazo zimewapuuza. Makonda media an live streaming zilikuwa kama zote.

4. Makonda alikuwa Karibu sana na mwenyekiti , Makala Yuko Karibu sana na Katibu.

5. Makala anautulivu, Makonda alikuwa na over confidence.

Wewe Unaonaje?

“Matatzo ya Wanywaranda watayamaliza wanywaranda wenyewe” By Mwalimu
 
So far Makonda 1...... Makala+Katibu 0.



Jaman, Uongozi mnaweza wote kua Viongozi, ila kuna mmoja ana kua na hali ya kukubalika, kuaminika, kusikilizwa yaan anakua na MAMLAKA .



TUKUBALI, TUKUBALI, TUKUBALI TU KUA MAKONDA, NI MWANASIASA NAMBA MOJA MWENYE MVUTO NCHINI TANZANIA .


Mf..Mtazameni LUAGA MPINA..Mpina ni mzuri sana, ana akili na Hoja, kwakweli katika wanasiasa wanaotumia vema Akili na Elimu zao namba Moja ni LUAGA MPINA.

Lkn nawaambieni, MPINA na MAKONDA... kwenye Kaput la uchaguzi, Makonda anaibuka mshindi mapema.


Maana yake nini??. MPINA anafaa kua Kiongozi mwandamizi mtendaji ( WAZIRI MKUU).

Na Makonda anafaa kua RAIS .
 
Makonda ana Ile hali ya, Ukimpa cheo chochote, ataonyesha waliopita hawajafanya kazi.

Sasa yeye akitoka, watakaomfatia, watakua wanalinganishwa naye, na hii inahitaj anayekuja anachukua Viatu vyake, afanye kazi kwa.kupita kule mule alikopita Mh Makonda.



Kwa.ufupi, Makonda ni Magufuli Mtupu.
 
Tufanye ulinganifu kidogo kati ya Hawa wenezi.

Naanza Mimi.

1. Makonda taarifa za mikutano na Ratiba zilikuwa zinatolewa mapema. Makala Ratiba zinashitukiza.

2. Makonda - watu walikuwa wanakuja wenyewe kwenye mikutano. Makala watu wanaletwa/wanasombwa, hadi wanafunzi wanaletwa kwenye mikutano.

3. Makala anaambatana na Katibu, ugeni mzito ila bado watu mi wachache, media nazo zimewapuuza. Makonda media an live streaming zilikuwa kama zote.

4. Makonda alikuwa Karibu sana na mwenyekiti , Makala Yuko Karibu sana na Katibu.

5. Makala anautulivu, Makonda alikuwa na over confidence.

Wewe Unaonaje?
cde CPA Makala anafaa kuuza mabumunda au wanzuki tu
 
Makonda ana Ile hali ya, Ukimpa cheo chochote, ataonyesha waliopita hawajafanya kazi.

Sasa yeye akitoka, watakaomfatia, watakua wanalinganishwa naye, na hii inahitaj anayekuja anachukua Viatu vyake, afanye kazi kwa.kupita kule mule alikopita Mh Makonda.



Kwa.ufupi, Makonda ni Magufuli Mtupu.
Dah yaani umepiga penyewe! Makonda yaani watanzania tunampenda mno mno mno, it’s Dkt Magufuli! Mungu amlinde! Niishie hapo
 
Tufanye ulinganifu kidogo kati ya Hawa wenezi.

Naanza Mimi.

1. Makonda taarifa za mikutano na Ratiba zilikuwa zinatolewa mapema. Makala Ratiba zinashitukiza.

2. Makonda - watu walikuwa wanakuja wenyewe kwenye mikutano. Makala watu wanaletwa/wanasombwa, hadi wanafunzi wanaletwa kwenye mikutano.

3. Makala anaambatana na Katibu, ugeni mzito ila bado watu mi wachache, media nazo zimewapuuza. Makonda media an live streaming zilikuwa kama zote.

4. Makonda alikuwa Karibu sana na mwenyekiti , Makala Yuko Karibu sana na Katibu.

5. Makala anautulivu, Makonda alikuwa na over confidence.

Wewe Unaonaje?
Usimlinganishe mtu mweledi aliyekwenda shule dhidi ya Zerobrain.

Hiyo TAKATAKA iache Arusha tu ndiyo mlango wake wa kutokea
 
Wengi mnaoshadadia hii comparison ni misukule ya mwendazake, pigeni sarakasi binukeni hadi mvunjike viuno ila bashite is no more just like mwendazake tu. Aa kmmmmmk, mnateseka hatari, na bado!!!
 
So far Makonda 1...... Makala+Katibu 0.



Jaman, Uongozi mnaweza wote kua Viongozi, ila kuna mmoja ana kua na hali ya kukubalika, kuaminika, kusikilizwa yaan anakua na MAMLAKA .



TUKUBALI, TUKUBALI, TUKUBALI TU KUA MAKONDA, NI MWANASIASA NAMBA MOJA MWENYE MVUTO NCHINI TANZANIA .


Mf..Mtazameni LUAGA MPINA..Mpina ni mzuri sana, ana akili na Hoja, kwakweli katika wanasiasa wanaotumia vema Akili na Elimu zao namba Moja ni LUAGA MPINA.

Lkn nawaambieni, MPINA na MAKONDA... kwenye Kaput la uchaguzi, Makonda anaibuka mshindi mapema.


Maana yake nini??. MPINA anafaa kua Kiongozi mwandamizi mtendaji ( WAZIRI MKUU).

Na Makonda anafaa kua RAIS .
Mpina hana kipaji cha kujenga hoja, Makonda amebarikiwa uwezo wa kujenga hoja hata kama ni ya ovyo anaitengenezea mazingira inakuwa nzuri. Yaani Makonda anapendwa kwa sababu ya hoja, Luhaga kwa sababu ya fact. Dkt Kikwete alipendwa kwa sababu ya ukalimu wake wa kusaidia watu na huruma yake ya utu na tabasamu. Mzee Lowasa alipendwa kwa sababu ya Dkt Kikwete. Kama Dkt Magufuli asingefariki Dkt Kikwete angeweza kuwa maarufu na watanzania wangemjengea mnara wa heshima ila now du, ni bt na mishe zake za kum kwa bikra 72 old ceo basi ndiyo hivyo watanzania walio wengi wanasubiri siku ya kuripoti kama ilivyokuwa kwa bobezi
 
Hivi nani aliyetoa ushauri Makala awe katibu mwenezi? Aisee yani hata kuongea ni shida
Kwani Job Description ya kazi ya mwenezi unaijua? Acheni kutaka tuendelee na ujinga wa yule muuaji Bashite
 
Back
Top Bottom