Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Wewe unaishi kwa kulipwa na Makonda baada ya kuandika post za kumsifia. Endelea tu
Hapana silipwi kabisa na hatujuani kabisa na Makonda. Ila kwenye ukweli tuuseme. Ninyi chuki yenu juu ya Dkt Magufuli ni kubwa sana kiasi kwamba mpo kinyume na matakwa ya watanzania walio wengi. Na hili siyo tatizo lako peke yako, hata akina Majaliwa na Dkt Samia walifikiri the same siku ya msiba ila badaye wakaona jinsi watu walivyojitoa kuja kuaga mwili hakika walishangaa sana kuona kumbe alikuwa anapendwa. Kwa hiyo usilazimishe kuamini kile ambacho unaona wewe sahihi mtu mwingine aamini. Mfano mi Mzee Lowasa aliwashawahi umiza watu wakafukuzwa kazi kwa sababu ya kugomea rushwa ila siwezi sema alikuwa hapendwi alipendwa na watu wake. Au hata Mh. Mbowe, siwezi seme eti ni kichaa hapana, anazo hoja tena zenye mashiko hata sisi wana CCM huwa tunasema hapa kapiga penyewe ila siwezi muita kichaa. So behave you idiot na ufahamu kila mtu anastahili heshima and siyo kwa sababu una anonymous name basi you can say anything kwa viongozi wetu
 
Tufanye ulinganifu kidogo kati ya Hawa wenezi.

Naanza Mimi.

1. Makonda taarifa za mikutano na Ratiba zilikuwa zinatolewa mapema. Makala Ratiba zinashitukiza.

2. Makonda - watu walikuwa wanakuja wenyewe kwenye mikutano. Makala watu wanaletwa/wanasombwa, hadi wanafunzi wanaletwa kwenye mikutano.

3. Makala anaambatana na Katibu, ugeni mzito ila bado watu mi wachache, media nazo zimewapuuza. Makonda media an live streaming zilikuwa kama zote.

4. Makonda alikuwa Karibu sana na mwenyekiti , Makala Yuko Karibu sana na Katibu.

5. Makala anautulivu, Makonda alikuwa na over confidence.

Wewe Unaonaje?
Mimi naona wote wanatumikia chama cha mapinduzi lengo ni moja ila kila mmoja ana tabia yake!
 
Tufanye ulinganifu kidogo kati ya Hawa wenezi.

Naanza Mimi.

1. Makonda taarifa za mikutano na Ratiba zilikuwa zinatolewa mapema. Makala Ratiba zinashitukiza.

2. Makonda - watu walikuwa wanakuja wenyewe kwenye mikutano. Makala watu wanaletwa/wanasombwa, hadi wanafunzi wanaletwa kwenye mikutano.

3. Makala anaambatana na Katibu, ugeni mzito ila bado watu mi wachache, media nazo zimewapuuza. Makonda media an live streaming zilikuwa kama zote.

4. Makonda alikuwa Karibu sana na mwenyekiti , Makala Yuko Karibu sana na Katibu.

5. Makala anautulivu, Makonda alikuwa na over confidence.

Wewe Unaonaje?
Kwenye kusombwa umedanganya,huku kwetu kipindi cha Makonda tulikua na mkesha,msosi na vinywaji vya kushanta,malori yalitubeba km kawa,kiufupi ni utaratibu wa CCM kusomba watu
 
So far Makonda 1...... Makala+Katibu 0.



Jaman, Uongozi mnaweza wote kua Viongozi, ila kuna mmoja ana kua na hali ya kukubalika, kuaminika, kusikilizwa yaan anakua na MAMLAKA .



TUKUBALI, TUKUBALI, TUKUBALI TU KUA MAKONDA, NI MWANASIASA NAMBA MOJA MWENYE MVUTO NCHINI TANZANIA .


Mf..Mtazameni LUAGA MPINA..Mpina ni mzuri sana, ana akili na Hoja, kwakweli katika wanasiasa wanaotumia vema Akili na Elimu zao namba Moja ni LUAGA MPINA.

Lkn nawaambieni, MPINA na MAKONDA... kwenye Kaput la uchaguzi, Makonda anaibuka mshindi mapema.


Maana yake nini??. MPINA anafaa kua Kiongozi mwandamizi mtendaji ( WAZIRI MKUU).

Na Makonda anafaa kua RAIS .
Dah. Hatari ..

Basi turudi kwa Makala.
 
Kwenye kusombwa umedanganya,huku kwetu kipindi cha Makonda tulikua na mkesha,msosi na vinywaji vya kushanta,malori yalitubeba km kawa,kiufupi ni utaratibu wa CCM kusomba watu
Makonda hata akienda kijijini kwenu Sasa hivi mtakuja tu. Hilo lisikupe shida.
 
Hapana silipwi kabisa na hatujuani kabisa na Makonda. Ila kwenye ukweli tuuseme. Ninyi chuki yenu juu ya Dkt Magufuli ni kubwa sana kiasi kwamba mpo kinyume na matakwa ya watanzania walio wengi. Na hili siyo tatizo lako peke yako, hata akina Majaliwa na Dkt Samia walifikiri the same siku ya msiba ila badaye wakaona jinsi watu walivyojitoa kuja kuaga mwili hakika walishangaa sana kuona kumbe alikuwa anapendwa. Kwa hiyo usilazimishe kuamini kile ambacho unaona wewe sahihi mtu mwingine aamini. Mfano mi Mzee Lowasa aliwashawahi umiza watu wakafukuzwa kazi kwa sababu ya kugomea rushwa ila siwezi sema alikuwa hapendwi alipendwa na watu wake. Au hata Mh. Mbowe, siwezi seme eti ni kichaa hapana, anazo hoja tena zenye mashiko hata sisi wana CCM huwa tunasema hapa kapiga penyewe ila siwezi muita kichaa. So behave you idiot na ufahamu kila mtu anastahili heshima and siyo kwa sababu una anonymous name basi you can say anything kwa viongozi wetu
Imeandikwa hadi basi. Atakuwa ameelewa.
 
Kuna kukubalika na kushangawa na jumuia.
Sio kila atakayekuja kukusikiliza anakukubali wengine wanakushangaa tuu kwani unaweza kuwa tofauti sana na wengine kwa akili/ujinga wako.
Pia katika kukubalika ni vyema kutambua anakubalika na watu wa aina gani na kwa nini.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Eti kuna watu walitaka kumuua mara kadhaa na anaendelea kuwindwa?

Sidhani kama kuna mtu alikuwa na haja ya kumuua huyu kaka labda kama anatafuta kiki tu.

Watake kumuua huyu mtu hustle kwa umuhimu gani kwenye jamii?

Hebu msikilizeni wenyewe alafu tumjadili wana jukwaa.

View attachment 2969431
Wauza dawa za kulevya,mbona mnavichwa vigumu sana kuelewa?,maelezo yake yanajitosholeza wewe jinga sana
 
cde CPA Makala anafaa kuuza mabumunda au wanzuki tu
Hapana Yule alikuwa anagawa pesa Kwa wasanii majukwaani zamani wakawa wanamuimba papaa Amos makala..hizo ndio kazi anaweza. Wampe kitengo cha TOT uone atavyowafanyia kazi..hizi kazi za kutumia akili kubwa sio zake.
 
Kuna kukubalika na kushangawa na jumuia.
Sio kila atakayekuja kukusikiliza anakukubali wengine wanakushangaa tuu kwani unaweza kuwa tofauti sana na wengine kwa akili/ujinga wako.
Pia katika kukubalika ni vyema kutambua anakubalika na watu wa aina gani na kwa nini.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Unapoint usikilizwe.

Ila ujue watu wakikuamini, wanakuja na kukwambia kero zao, nawe uweze kizitatua.

Mfano ni Makonda pale Kigoma, mtoto yule Sasa Yuko shule na mama yake ananyumba.
 
Hapana Yule alikuwa anagawa pesa Kwa wasanii majukwaani zamani wakawa wanamuimba papaa Amos makala..hizo ndio kazi anaweza. Wampe kitengo cha TOT uone atavyowafanyia kazi..hizi kazi za kutumia akili kubwa sio zake.
Hahahahah
 
Tufanye ulinganifu kidogo kati ya Hawa wenezi.

Naanza Mimi.

1. Makonda taarifa za mikutano na Ratiba zilikuwa zinatolewa mapema. Makala Ratiba zinashitukiza.

2. Makonda - watu walikuwa wanakuja wenyewe kwenye mikutano. Makala watu wanaletwa/wanasombwa, hadi wanafunzi wanaletwa kwenye mikutano.

3. Makala anaambatana na Katibu, ugeni mzito ila bado watu mi wachache, media nazo zimewapuuza. Makonda media an live streaming zilikuwa kama zote.

4. Makonda alikuwa Karibu sana na mwenyekiti , Makala Yuko Karibu sana na Katibu.

5. Makala anautulivu, Makonda alikuwa na over confidence.

Wewe Unaonaje?
Na. 4 inatafakarisha sana!! Pengine Nchimbi na Makalla siyo wa mama ni wa jk
 
Usimlinganishe mtu mweledi aliyekwenda shule dhidi ya Zerobrain.

Hiyo TAKATAKA iache Arusha tu ndiyo mlango wake wa kutokea
Siasa za Tanzania hazitaki 'UELEDI''. Zinataka amshaamsha na mtu ajitoe ufahamu.
Ndio njia tulioamua kuchagua.
 
Kwenye kusombwa umedanganya,huku kwetu kipindi cha Makonda tulikua na mkesha,msosi na vinywaji vya kushanta,malori yalitubeba km kawa,kiufupi ni utaratibu wa CCM kusomba watu
Kuna baadhi ya maeneo watu ni masikini mno na hawajasenda shule. Sisi huku kwetu tulienda wenyewe na magari yetu!! Fanyeni kazi kwa bidii
 
2. Makonda - watu walikuwa wanakuja wenyewe kwenye mikutano. Makala watu wanaletwa/wanasombwa, hadi wanafunzi wanaletwa kwenye mikutano.
Ushahidi huu hapa
1713686698713.png
 
Back
Top Bottom