Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Huo ndio ukweli mchungu kwamba Makonda pamoja na mapungufu yake yote YEYE siyo Muoga

Anatembea na Exodus 14:14

Dunia ya Leo inataka viongozi wasio waoga kama Trump [emoji23][emoji23][emoji91]

Kwenu Lucas na Erythrocyte - Mbeya
Umenena vyema Makondo ni kiongozi anakerwa ni changamoto za wananchi

Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app
 
Hili ni funzo kwa Makonda afuatilie mikutano ya Kinana na Nchimbi atagundua yeye alikuwa ni mwenezi

1: Mropokaji kila jambo anaropoka kwa maslahi yake
2- Mwenezi wa kujikweza na maagizo yasiyo na kichwa wala miguu anamwagiza waziri mkuu; mawaziri; wakuu mikoa ; wilaya ; wakurugenzi na MA RPC
3- Mwenezi asiyeheshimu ofisi za Chama chake yeye anakutana na viongozi barabarani
4- Mwenezi wa Kero za mchongo ili achangishe fedha
5- Mwenezi asiyeheshimu muhimili wa mahakama
6- Mwenezi wa sinema za kupanda ngamia; mkokoteni utoto mwingi

Angalia ziara za kinana na nchimbi hazina hayo yote antamka eti sijajifunza lolote.

Tulia fanya kazi siyo kuropoka huko monduli unachafua hali hewa nchi
Aone aibu kwa sababu gani???
Anayepaswa kuona aibu ni yule aliyemteua Makonda, kwa sababu amemteua mtu ambaye anajua wazi kabisa kwamba hana hata chembe ya sifa za kuweza kuwaongoza binadamu wala wanyama wa kufugwa na binadamu. Labda wanyama-pori.
 
Hili ni funzo kwa Makonda afuatilie mikutano ya Kinana na Nchimbi atagundua yeye alikuwa ni mwenezi

1: Mropokaji kila jambo anaropoka kwa maslahi yake
2- Mwenezi wa kujikweza na maagizo yasiyo na kichwa wala miguu anamwagiza waziri mkuu; mawaziri; wakuu mikoa ; wilaya ; wakurugenzi na MA RPC
3- Mwenezi asiyeheshimu ofisi za Chama chake yeye anakutana na viongozi barabarani
4- Mwenezi wa Kero za mchongo ili achangishe fedha
5- Mwenezi asiyeheshimu muhimili wa mahakama
6- Mwenezi wa sinema za kupanda ngamia; mkokoteni utoto mwingi

Angalia ziara za kinana na nchimbi hazina hayo yote antamka eti sijajifunza lolote.

Tulia fanya kazi siyo kuropoka huko monduli unachafua hali hewa nchi
Hebu tupe picha ya hiyo mikutano. Huna akili
 
Hili ni funzo kwa Makonda afuatilie mikutano ya Kinana na Nchimbi atagundua yeye alikuwa ni mwenezi

1: Mropokaji kila jambo anaropoka kwa maslahi yake
2- Mwenezi wa kujikweza na maagizo yasiyo na kichwa wala miguu anamwagiza waziri mkuu; mawaziri; wakuu mikoa ; wilaya ; wakurugenzi na MA RPC
3- Mwenezi asiyeheshimu ofisi za Chama chake yeye anakutana na viongozi barabarani
4- Mwenezi wa Kero za mchongo ili achangishe fedha
5- Mwenezi asiyeheshimu muhimili wa mahakama
6- Mwenezi wa sinema za kupanda ngamia; mkokoteni utoto mwingi

Angalia ziara za kinana na nchimbi hazina hayo yote antamka eti sijajifunza lolote.

Tulia fanya kazi siyo kuropoka huko monduli unachafua hali hewa nchi
Sasa mtu hana akili hata moja kichwani unatagemea nini ? Makonda lazima afoke, ndiyo hicho tu anakiweza
 
Back
Top Bottom