Ili uweze kufanya comparison .kusud ukitoa hukum utoe ya kweli.alete na comparison ya views za YouTube baina ya mwenez aliyepo na aliyepitaHebu tupe picha ya hiyo mikutano. Huna akili
Wewe mbwiga kura za CCM haziko YouTube bali ziko kwa wananchiIli uweze kufanya comparison .kusud ukitoa hukum utoe ya kweli.alete na comparison ya views za YouTube baina ya mwenez aliyepo na aliyepita
MAkonda baba laoHili ni funzo kwa Makonda afuatilie mikutano ya Kinana na Nchimbi atagundua yeye alikuwa ni mwenezi
1: Mropokaji kila jambo anaropoka kwa maslahi yake
2- Mwenezi wa kujikweza na maagizo yasiyo na kichwa wala miguu anamwagiza waziri mkuu; mawaziri; wakuu mikoa ; wilaya ; wakurugenzi na MA RPC
3- Mwenezi asiyeheshimu ofisi za Chama chake yeye anakutana na viongozi barabarani
4- Mwenezi wa Kero za mchongo ili achangishe fedha
5- Mwenezi asiyeheshimu muhimili wa mahakama
6- Mwenezi wa sinema za kupanda ngamia; mkokoteni utoto mwingi
Angalia ziara za kinana na nchimbi hazina hayo yote antamka eti sijajifunza lolote.
Tulia fanya kazi siyo kuropoka huko monduli unachafua hali hewa nchi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wewe punguani, mvivu na mzembe mwenye Akili kisoda.
Tunahitaji matokeo, na matokeo Chanya, iwe Kwa kupiga, iwe Kwa kufoka, tunahitaj matokeo.
Hilo bembeleza zenu zimewah saidia nn?
Wewe ni matokeo ya Kitoto lilozaliwa ,likadekezwa, shuleni limesoma shule za kubebwa, chuoni,limebebwa , Sasa limeingia mtaani, limejikuta linahitaj Maisha yaleyale ya kubebwa na kubembelezwa.
Pumbavu
Mliwahi kumuuliza juu ya nyumba aliyosema ilibidi asitumie mahakama ili kuimiliki aliijenga lini? Mtu asiyetaka haki ipatikane kupitia vyombo vya kisheria, utamtoa kwenye kundi la wote uliowataja hapo?hao ndugu zako hawana mvuto kwa siasa za hapa, Tanzania imejaa viongozi wezi, wavivu, wazembe n.k wanahitaji mtu wa kariba ya Makonda huko chamani na serikalini...dhambi haichekewi mkuu
We huijui arusha na Kuna uwezekano unaishiaga stendi tu watalii wanakaa Arusha hata wiki tatu wakiwa mjini tu we unasema Arusha mjini hakuna utalii kwanza Hali ya hewa tu ya Arusha ni utalii tosha ni perfect weather, Kuna themi falls, cultural heritage, via via, Mt suye, themi living garden unajua Arusha pale Kuna sehemu city center unaweza kuingia ukadhani uko amazon forest na sasa hivi wanaiboresha kutengeneza sehemu za mapumziko kinachokosekana Arusha ni miundombinu tu otherwise Arusha Ina Kila sifa ya kuwa world-class destination na serikali sijui hawalioni hili sehemu inayoingiza pesa nyingi kuinvest ili wapate hela nyingi zaidi jiulize kakonko Kuna stendi Kali lakini hata haitumiki bado watu wanaenda stendi ya zamani wamepoteza hela nyingi sehemu kusiko na mahitaji lakini Arusha kwenye mahitaji hakuna stendi Wala masoko mapya bila kufahamu aibu ya Arusha ni aibu ya watanzania wote hiyo asilimia 80% ya watalii wanaoenda mbugani kupitia Arusha wakifika kwao hawasemi Arusha ya hovyo watasema Tanzania ya hovyoWatalii wanakuja Arusha pekee? Arusha ni transit wakishuka wanalala kesho yake wanaenda Polini na either wanaondokea huko kwendza Zanzibar na kwingineko. Watalii hawakaagi Arusha mjini, wakae kutalii nini? kuna kitu gani pale? Bora waende Zanzibar.
Kwenye utalii wa miji Zanzibar ndio inawavutia kwa yale majengk na fukwe basi.
.Arusha mjini hakuna kivutio hata kimoja cha kuwa atract wao.
Mdomo unaponza vichwa sana.
Paul Makonda ndiye Mkuu wa Mkoa mbumbumbu zaidi hapa Tanzania kwa sasa.Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda akieleza mkakati wa kupambana na dawa za kulevya Arusha akirejea namna alivyopambana na uhalifu huo wakati akiwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Mkakati huo ameutoa wakati akizungumza na uongozi wa Jeshi la Polisi mkoa wa Arusha ukiongozwa na Kamanda wa Polisi Mkoa ACP Justine Masejo, Wakuu wa Polisi na wapelelezi kutoka wilaya zote za mkoa huo Jumamosi Aprili 20, 2024.
View attachment 2969213
Samaki anayefungua mdomo hunaswa na ndoano..Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda akieleza mkakati wa kupambana na dawa za kulevya Arusha akirejea namna alivyopambana na uhalifu huo wakati akiwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Mkakati huo ameutoa wakati akizungumza na uongozi wa Jeshi la Polisi mkoa wa Arusha ukiongozwa na Kamanda wa Polisi Mkoa ACP Justine Masejo, Wakuu wa Polisi na wapelelezi kutoka wilaya zote za mkoa huo Jumamosi Aprili 20, 2024.
View attachment 2969213