Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Hili ni funzo kwa Makonda afuatilie mikutano ya Kinana na Nchimbi atagundua yeye alikuwa ni mwenezi

1: Mropokaji kila jambo anaropoka kwa maslahi yake
2- Mwenezi wa kujikweza na maagizo yasiyo na kichwa wala miguu anamwagiza waziri mkuu; mawaziri; wakuu mikoa ; wilaya ; wakurugenzi na MA RPC
3- Mwenezi asiyeheshimu ofisi za Chama chake yeye anakutana na viongozi barabarani
4- Mwenezi wa Kero za mchongo ili achangishe fedha
5- Mwenezi asiyeheshimu muhimili wa mahakama
6- Mwenezi wa sinema za kupanda ngamia; mkokoteni utoto mwingi

Angalia ziara za kinana na nchimbi hazina hayo yote antamka eti sijajifunza lolote.

Tulia fanya kazi siyo kuropoka huko monduli unachafua hali hewa nchi
MAkonda baba lao
 
Wewe punguani, mvivu na mzembe mwenye Akili kisoda.


Tunahitaji matokeo, na matokeo Chanya, iwe Kwa kupiga, iwe Kwa kufoka, tunahitaj matokeo.

Hilo bembeleza zenu zimewah saidia nn?


Wewe ni matokeo ya Kitoto lilozaliwa ,likadekezwa, shuleni limesoma shule za kubebwa, chuoni,limebebwa , Sasa limeingia mtaani, limejikuta linahitaj Maisha yaleyale ya kubebwa na kubembelezwa.

Pumbavu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
hao ndugu zako hawana mvuto kwa siasa za hapa, Tanzania imejaa viongozi wezi, wavivu, wazembe n.k wanahitaji mtu wa kariba ya Makonda huko chamani na serikalini...dhambi haichekewi mkuu
Mliwahi kumuuliza juu ya nyumba aliyosema ilibidi asitumie mahakama ili kuimiliki aliijenga lini? Mtu asiyetaka haki ipatikane kupitia vyombo vya kisheria, utamtoa kwenye kundi la wote uliowataja hapo?
 
Watalii wanakuja Arusha pekee? Arusha ni transit wakishuka wanalala kesho yake wanaenda Polini na either wanaondokea huko kwendza Zanzibar na kwingineko. Watalii hawakaagi Arusha mjini, wakae kutalii nini? kuna kitu gani pale? Bora waende Zanzibar.

Kwenye utalii wa miji Zanzibar ndio inawavutia kwa yale majengk na fukwe basi.
.Arusha mjini hakuna kivutio hata kimoja cha kuwa atract wao.
We huijui arusha na Kuna uwezekano unaishiaga stendi tu watalii wanakaa Arusha hata wiki tatu wakiwa mjini tu we unasema Arusha mjini hakuna utalii kwanza Hali ya hewa tu ya Arusha ni utalii tosha ni perfect weather, Kuna themi falls, cultural heritage, via via, Mt suye, themi living garden unajua Arusha pale Kuna sehemu city center unaweza kuingia ukadhani uko amazon forest na sasa hivi wanaiboresha kutengeneza sehemu za mapumziko kinachokosekana Arusha ni miundombinu tu otherwise Arusha Ina Kila sifa ya kuwa world-class destination na serikali sijui hawalioni hili sehemu inayoingiza pesa nyingi kuinvest ili wapate hela nyingi zaidi jiulize kakonko Kuna stendi Kali lakini hata haitumiki bado watu wanaenda stendi ya zamani wamepoteza hela nyingi sehemu kusiko na mahitaji lakini Arusha kwenye mahitaji hakuna stendi Wala masoko mapya bila kufahamu aibu ya Arusha ni aibu ya watanzania wote hiyo asilimia 80% ya watalii wanaoenda mbugani kupitia Arusha wakifika kwao hawasemi Arusha ya hovyo watasema Tanzania ya hovyo
 
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda akieleza mkakati wa kupambana na dawa za kulevya Arusha akirejea namna alivyopambana na uhalifu huo wakati akiwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam.

Mkakati huo ameutoa wakati akizungumza na uongozi wa Jeshi la Polisi mkoa wa Arusha ukiongozwa na Kamanda wa Polisi Mkoa ACP Justine Masejo, Wakuu wa Polisi na wapelelezi kutoka wilaya zote za mkoa huo Jumamosi Aprili 20, 2024.

 

Attachments

  • FB_IMG_17117409339083391.jpg
    FB_IMG_17117409339083391.jpg
    19.3 KB · Views: 3
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda akieleza mkakati wa kupambana na dawa za kulevya Arusha akirejea namna alivyopambana na uhalifu huo wakati akiwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam.

Mkakati huo ameutoa wakati akizungumza na uongozi wa Jeshi la Polisi mkoa wa Arusha ukiongozwa na Kamanda wa Polisi Mkoa ACP Justine Masejo, Wakuu wa Polisi na wapelelezi kutoka wilaya zote za mkoa huo Jumamosi Aprili 20, 2024.

View attachment 2969213
Paul Makonda ndiye Mkuu wa Mkoa mbumbumbu zaidi hapa Tanzania kwa sasa.
Yaani kwa yote hayo aliyopitia huko siku za nyuma bado tu hajajifunza kitu?????
Ama kweli sikio la kufa halisikii dawa!
 
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda akieleza mkakati wa kupambana na dawa za kulevya Arusha akirejea namna alivyopambana na uhalifu huo wakati akiwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam.

Mkakati huo ameutoa wakati akizungumza na uongozi wa Jeshi la Polisi mkoa wa Arusha ukiongozwa na Kamanda wa Polisi Mkoa ACP Justine Masejo, Wakuu wa Polisi na wapelelezi kutoka wilaya zote za mkoa huo Jumamosi Aprili 20, 2024.

View attachment 2969213
Samaki anayefungua mdomo hunaswa na ndoano..
 
Ifike wakati sasa Makonda anyamaze au anyamazishwe , hawezi kuendelea kudanganya umma halafu tukamkalia Kimya , Uongo wake ufike mwisho , na aache kutafuta huruma .

Ameendelea kusema Uongo huko Arusha kwamba aligombana na Wauza madawa ya kulevya na kwamba amenusurika kuuawa mara kadhaa , sasa alinusurika wakati ule wa Magufuli au ni lini ? Mbona akiwa Mwenezi nako alisema amenusurika kuuawa , sasa tushike lipi ? Binafsi napinga madai yake na Simuaamini hata Chembe .

Wauza madawa aliowasingizia hawa akina Wema Sepetu , Nyandu Tozi na TID ndio waliotaka kumuua ? au ni akina Manji ambao waliwekwa ndani kwa muda Mrefu au ni wepi wengine ?

Ukweli ni huu hapa , Katika madaraka yake madogo aliyopewa Makonda aligombana na kila Mtu , Alipogombana na Chongolo kule Kinondoni anataka kusema naye alikuwa muuza Unga ? Alipogombona na Mbunge wa Ubungo Saed Kubenea hadi kupelekana Mahakamani ilikuwa sababu ya Unga ? Alipompiga Ngwala Mzee Warioba anataka kusema naye alikuwa Muuza Unga ? Alipovamia Clouds media huko nako walikuwa nauza unga ? Tukiandika watu aliogombana nao Makonda humu JF Itajaa na wala haitatosha , Makonda alipiga Marufuku Wabunge kuishi kwenye Mkoa aliokuwa RC , na kwamba wanatakiwa kuwa Dodoma ile amri nayo ilihusu Wauza unga , Mbunge Aeshi alilalamika Bungeni kwamba aliambiwa na Makonda akigusa Dar atashughulikiwa , huyu naye alikuwa Muuza Unga ? Alipodhulumu nyumba ya GSM Block 41 Kinondoni atuambie kama huyu naye alikuwa Muuza Unga ?

Je hakukuwa na Wakuu wa Wilaya au Wakuu wa Mikoa wengine ilikuwaje yeye Makonda ndio agombane na kila mtu , ilikuwaje yeye awe anadhalilisha kila mtu bila Ushahidi wowote ?

Leo analialia ili aonewe huruma na nani ili iweje , Yeye ni kiongozi wa CCM mtoto mpendwa wa Mama kama anavyojinadi yeye mwenyewe , Kwanini asimuambie Mama yake ambaye ndio Amiri Jeshi Mkuu ili awakamate na kuwashughulikia hao wanaotaka Kumuua mara zote hizo ?

Makonda usitupotezee muda kama umeshindwa Uongozi Jiuzulu urudi mitaani .

IMG_20211218_014906.jpg
 
Bwana we,Makonda kama kweli unahitaji Kupambana naye Kwa maneno lazima uwe naye Ground Zero na uende naye Bampa tu Bampa.Kupambana na Makonda nyuma ya Keyboard hakuna anayemuweze kwa Tabia zenu za Kinafiki na uoga.

In short Bada hakuna anayeweza kudeal na Makonda na Akamnyamazisha.Hata Magufuli Mwenyewe Alishindwa Sembuse WEWE.

Tafuta Kazi ingine Ufanye au kama unataka Kudeal Naye WEWE ita Press Nenda Nae Level tena Kwa kumuanza Kabisa na SIO kusubiri Mpaka aonge umjibu kama vile wewe kazi yako ni kuimba Kiitikio na yeye kuweka Mashairi.

Tulia DAWA iingiae
 
Back
Top Bottom