Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Hatari kweli kweli.....ila Kambona amezushiwa mengi sana na kiini cha mgogoro wake na Mwl imebakia fumbo lisilo na jibu, ila jaribio la mapinduzi liliofeli mwaka 1964 limeficha mengi.

JokaKuu Mag3 zitto junior Pascal Mayalla Nguruvi3
 
Huwa mna mtabiri sana lakini huyu mtu si kwamba kathibitsha tu hatabiriki,ila inaonekana kabisa ana kitu cha tofauti na vijana wengi wanachokiona wanaomteua tu.

Nasisitiza vijana wenzangu,kuwa wakweli hadharani na sirini,kuwezi waaminifu kwa walio waamini,na hakikisheni mnakuwa na utu kama kuchukua hatua mumeshindwa.
 
Makonda ana narcissistic traits, hata kama anapenda maendeleo kuna kale ka kujiona flani hivi, ndo maana ziliiva na jiwe.
 
Makonda ukikutana naye Uso kwa uso na mkaongea ni Mtu mmoja mpole mnyenyekevu na anajali sana..
Tofauti na Makonda unayemuona Kwenye Mitandao na Kwenye Majukwaa
 
Ccm acheni kutufanya Watz wajinga.
 
Hili swali najiuliza sana na hasa ninaposikia Makonda ataongea na Waandishi wa Habari siku za karibuni

Bado sijaelewa Wananchi watapenda kufuatilia Habari gani Kati ya Maandamano ya Tundu Antipas Lisu na Sarakasi Sanaa za Lumumba

Ngoja tuone 🐼
 
Hatari kweli kweli.....ila Kambona amezushiwa mengi sana na kiini cha mgogoro wake na Mwl imebakia fumbo lisilo na jibu, ila jaribio la mapinduzi liliofeli mwaka 1964 limeficha mengi.

JokaKuu Mag3 zitto junior Pascal Mayalla Nguruvi3
Mkuu Proved , ni kweli Kambona amesingiziwa mengi!. Mkuu Kiranga, unapoleta habari za tuhuma nzito kama hizi za u snitch, pia taja source na proof, kitendo cha kumtuhumu mtu ambaye ni marehemu kuwa ni snitch, bila ushahidi wowote, wakati hawezi kujitetea, sio kumtendea haki!.
P
 
Kwani kuna shida gani? Hivi wewe jamaa mbona una cheap politics namna hii. Wala hakuna anayewaza hayo uyawazayo. Chadema wana ratiba yao na mipango yao wala havihusiani na hicho kikao cha ndani cha CCM.
 
Angewataja vipi na Hana ushahidi…
 
Mkuu,

Source nilishaweka kitabu mpaka kurasa post #18.

Kitabu kilichapishwa mwaka 1971 -722 kinaitwa "We Must Run While They Walk: A Portrait of Africa's Julius Nyerere" by William Edgett Smith 1971 alternatively published as "Nyerere of Tanzania" in the UK in 1972.

Pia, mtu ambaye kazi yake ilikuwa kukusanya na kuhariri habari kumuita snitch kwa kufanya kazi yake wewe ndiye unamvunjia heshima.

Post in thread 'Mzee Hashim Rungwe: Makonda anataka awe chawa mkuu wa Rais Samia, analazimisha asikilizwe yeye sana' Mzee Hashim Rungwe: Makonda anataka awe chawa mkuu wa Rais Samia, analazimisha asikilizwe yeye sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…