Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Ndio ndioKuna yule dwarf
Kazi ni Kazi...Kazi ni nini?
Tuanzie hapo
WaduduNani huyo ?
Ni Contents creators, wanafanya kazi nzuri.Hivi wale ni wasanii wa nini hata siwaelewagi naonaga kuna kajitu kafupi kama fimbo yenye 30cm
OkNi Contents creators, wanafanya kazi nzuri.
Nadhani ina shida ya kuelewa kwamba baadhi ya vifaa ni lazima vizalishwe ndio viletwe nchini,Haoni tatizo kubwa zaidi ni MSD kutumia miezi mitatu hadi minne kufikisha dawa na vifaa hospitalini ili ashughulike nalo hilo zaidi?
Huelewi vingi sanaUkiagiza mzigo China hauwezi kuchukua muda wa miezi 3 pamoja na kwamba ni umbali wa km 10,000 kwa meli. Labda ukwamie hapo bandari ya Dar es Salaam.
Watumishi wa Umma Huwa wapo wapo Hadi unajiuliza Hawa ni Wasomi walienda shule kuongeza maarifa au kukua na kupata cheti waje kutoa Huduma za hovyo?
Huu ni aina nyingine ya ushahidi wa jinsi tuna Utumishi wa Umma usiojitambua na usiowajibika.
My Take
Wakati mwingine Watumishi Wakifanyiwa bullying unapata shida kuwatetea kutokana na walivyo.
Utashangaa wanaoitaa Wataalamu na Wasomi wanasubiria Kila kiutu waelekezwe na Viongozi wa siasa, soma Mkuu wa Mkoa Arusha Paul Makonda: Kiongozi Mzima Kujieleza Hujui, Mnapataje Hizi Nafasi TARURA?
========
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule amewataka wakandarasi na wasimamizi wa miradi mbalimbali ya serikali inayotekelezwa katika Mkoa huo, kuhakikisha wanakamilisha Kwa wakati na ubora unaotakiwa.
Hayo yamebainishwa na Senyamule wakati wa ziara yake ya kikazi katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma iliyofanyika Leo Aprili 23,2024..
Aidha Mhe. Senyamule amekagua ujenzi wa Hospitali ya wilaya ya Dodoma, ukarabati wa madarasa ya Shule ya msingi Amani, ukaguzi wa Shule ya Dodoma English Medium pamoja na ukaguzi wa ujenzi wa jengo la Mionzi ya kutibu Saratani katika Hospitali ya Benjamini Mkapa.
View attachment 2972465
Incompetence ni Kitu Cha kawaida sana ktk utendaji kwa watu Weusi hapa duniani, ndio maana hata Rais wa zamani wa nchi ya Afrika ya Kusini Pieter W. Botha alisema kwamba watu Weusi siyo wazuri kwa lolote lile, zaidi ya kuendekeza ngono.Hongera mkuuu wa mkoa Dodoma. Umeonyesha leadership. Licha ya makosa kuna kurekebishana bila kudhalilishana mbele ya watu. Matatizo yamesemwa mbele ya watu na hakuna aliyekuwa embarrassed. Then inaweza kufuata face to face kwa anayehusika kujua chanzo cha mapungufu ili kumsaidia kama anahitaji msaada wako kufanya inavyotakiwa. Na kama hana uwezo hatua zingine zifuate ili ufanisi uwepo . Ila mambo ya kufokeana na kudogoshana mbele ya kadamnasi yanaonyesha immaturity au ukosefu wa maadili na wala hayajengi.
MSD kutoa Dawa na vifaa tiba kutoka Dar to Dodoma 4months?Hongera mkuuu wa mkoa Dodoma. Umeonyesha leadership. Licha ya makosa kuna kurekebishana bila kudhalilishana mbele ya watu. Matatizo yamesemwa mbele ya watu na hakuna aliyekuwa embarrassed. Then inaweza kufuata face to face kwa anayehusika kujua chanzo cha mapungufu ili kumsaidia kama anahitaji msaada wako kufanya inavyotakiwa. Na kama hana uwezo hatua zingine zifuate ili ufanisi uwepo . Ila mambo ya kufokeana na kudogoshana mbele ya kadamnasi yanaonyesha immaturity au ukosefu wa maadili na wala hayajengi.
Huu upuuzi wako ndo umetufikisha hapa tulipo!!!! Hvi unawajua waafrika wewe???? Ikibidi hata fimbo zitumike kabisaaHongera mkuuu wa mkoa Dodoma. Umeonyesha leadership. Licha ya makosa kuna kurekebishana bila kudhalilishana mbele ya watu. Matatizo yamesemwa mbele ya watu na hakuna aliyekuwa embarrassed. Then inaweza kufuata face to face kwa anayehusika kujua chanzo cha mapungufu ili kumsaidia kama anahitaji msaada wako kufanya inavyotakiwa. Na kama hana uwezo hatua zingine zifuate ili ufanisi uwepo . Ila mambo ya kufokeana na kudogoshana mbele ya kadamnasi yanaonyesha immaturity au ukosefu wa maadili na wala hayajengi.
malizia kabisa na rushwa.Incompetence ni Kitu Cha kawaida sana ktk utendaji kwa watu Weusi hapa duniani, ndio maana hata Rais wa zamani wa nchi ya Afrika ya Kusini Pieter W. Botha alisema kwamba watu Weusi siyo wazuri kwa lolote lile, zaidi ya kuendekeza ngono.
Kwenye bakora naunga mkono hapa yani bila kushitua shtua daah nchi yangu tanzania.Huu upuuzi wako ndo umetufikisha hapa tulipo!!!! Hvi unawajua waafrika wewe???? Ikibidi hata fimbo zitumike kabisaa
Kabisa kaka...Kwenye bakora naunga mkono hapa yani bila kushitua shtua daah nchi yangu tanzania.
ππππππ