Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Katika watu wanaotumia muda vizuri kwenye uongozi ni Mh. Makonda.

Anahakikisha akiwa kwenye uwanja wa mchezo wa uongozi wake anajizolea point tatu mapema kabisa.

Wanaotoa point za mchezo katika uongozi ni wananchi.

Huko Arusha tayari kesha chukua point tatu zake.

Hiyo inamaana gani?

Maana yake:
Makonda atakuwepo kwenye uongozi siku zote za maisha yake.


View: https://www.instagram.com/reel/C6bqIEwITxD/?igsh=cGM4dWlpd3UzdTIz
 
Hii ya kuondolewa umeipata wapi?

Au unatuandaa kisaikolojia?
 
Katika watu wanaotumia muda vizuri kwenye uongozi ni Mh. Makonda.

Anahakikisha akiwa kwenye uwanja wa mchezo wa uongozi wake anajizolea point tatu mapema kabisa.

Wanaotoa point za mchezo katika uongozi ni wananchi.

Huko Arusha tayari kesha chukua point tatu zake.

Hiyo inamaana gani?

Maana yake:
Makonda atakuwepo kwenye uongozi siku zote za maisha yake.
Sina shida na Makonda ila lazima atubu na sio kwa viongozi wa dini ,wapi anatakiwa kutubu nitamwambia siku Moja Mungu akinipa kibali
 
Kwa kweli tunaomba Mh Rais utuletee Makonda Mbeya kabla ya uchaguzi 2025.

Sababu zipo nyingi kuanzia za kisiasa na za kiutendaji.
Hapa kisiasa labda ataweza kumsadia Tulia akarudi bungeni vinginevyo hali inaweza kuwa ngumu.

Huyu ndugu atatusaidia sana Mbeya kupata uchangamfu wa mji, na kulikumba hili jiji liliosahaulika kila nyanja.

Ama wanambeya mnasemaje?
 
Kwa kweli tunaomba Mh Rais utuletee Makonda Mbeya kabla ya uchaguzi 2025.

Sababu zipo nyingi kuanzia za kisiasa na za kiutendaji.
Hapa kisiasa labda ataweza kumsadia Tulia akarudi bungeni vinginevyo hali inaweza kuwa ngumu.

Huyu ndugu atatusaidia sana Mbeya kupata uchangamfu wa mji, na kulikumba hili jiji liliosahaulika kila nyanja.

Ama wanambeya mnasemaje?
 
mbeya ni jiji zuri na likipata mkuu wa mkoa mwenye weledi na uchamfu wanaweza kupindua meza.
 
Kwa kweli tunaomba Mh Rais utuletee Makonda Mbeya kabla ya uchaguzi 2025.

Sababu zipo nyingi kuanzia za kisiasa na za kiutendaji.
Hapa kisiasa labda ataweza kumsadia Tulia akarudi bungeni vinginevyo hali inaweza kuwa ngumu.

Huyu ndugu atatusaidia sana Mbeya kupata uchangamfu wa mji, na kulikumba hili jiji liliosahaulika kila nyanja.

Ama wanambeya mnasemaje?
Aaah kweli 💯
 
Mhalifu huyu anapaswa kukamatwa kabla ya kuleta uharibiru mkubwa zaidi.
 
Katika watu wanaotumia muda vizuri kwenye uongozi ni Mh. Makonda.

Anahakikisha akiwa kwenye uwanja wa mchezo wa uongozi wake anajizolea point tatu mapema kabisa.

Wanaotoa point za mchezo katika uongozi ni wananchi.

Huko Arusha tayari kesha chukua point tatu zake.

Hiyo inamaana gani?

Maana yake:
Makonda atakuwepo kwenye uongozi siku zote za maisha yake.
Kama Makonda ni kiongozi bora kwako basi wewe ni mtu wa hovyo kabisa!
 
Back
Top Bottom