Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajitahidi ila wananchi huku wana hasira na nyinyi 😂hata Liverfool nao wamefungwa kidimodomo kama simbwa jana 🐒
mtumishi,
mimi daima nipo kwa wanainchi, na hivi karibuni nimehitimisha sehemu kubwa sana kuwatembelea, na kwakweli time imeenda.
Apo dar tunakuja sana, but kwa muda mrefu tuko huko kwa wanainchi,
na hakuna kuzubaa, coz tayari wengi wameanza kuzengea zengea, but binafsi nipo rada mbaya sana nipo chonjo nimejipanga ile mbaya...
nitakula nao sahani moja, nitakwenda nao sambamba bila mbambamba mpaka kieleweke. una far nchezo nin 🐒
nashukuru sana na asante sana.Hii n post yangu ya kwanza humu jf,ila n ya pili kukuhusu wewe humu mitandaon, Huwa nakufuatilia sana Kila hatua ya maendeleo Yako kisiasa,dhumuni langu kwa ujumbe huu,nikuendelea kukupa moyo nakukuombea mema kwa M/Mungu siku zote,naona mbele huko utakuja kuwa mbunge-waziri na hata zaidi.....
Endelea kutuliaKesho sio mbali, nishajiunga bando tayari.
wap na upande gani wanainchi wana hasira?Unajitahidi ila wananchi huku wana hasira na nyinyi 😂
Lukasi bwana! 🤣 🤣 🤣Ndugu zangu Watanzania,
Mimi naendelea kuwapeni habari tofauti tofauti na mchanganyiko bila kuchoka .pia msichoke maana maisha ndio haya haya na nchi yetu ndio hii hii na watanzania ndio hawa hawa .
Ipo hivi kuna wimbo umemuonyesha Mkuu wa mkoa wa Arusha Mheshimiwa Makonda akicheza na kuimba kwenye gari lake, katika wimbo unaoitwa NAMLETA MAMA SAMIA. Video hiyo ambayo imeendelea kusambaa na kufurahiwa na watu wengi juu ya wimbo huo ambao umetungwa na msanii wa bongo freva Diamond.
Mhessimiwa Makonda mwishoni wa wimbo huo baada ya kumaliza kucheza wimbo huo amesema tukutane 2025. Hii ikimaanisha ni miongoni mwa nyimbo kali zitakazotikisa na kutumiwa wakati wa kampeni za Urais wa Rais Samia ,ambaye mamilioni ya watanzania wamekuwa wakiipigia magoti na kuisihi sana CCM kuhakikisha jina la Rais Samia linarejeshwa kwa wananchi kama mgombea pekee wa CCM atakaye peperusha bendera yake ili wampigie kura za ndio kwa kishindo kama sehemu ya kutoa shukurani kwake kwa utumishi wake uliotukuka .
Tuendelee kutulia na kuendelea kufurahia utawala wa mama yetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mama Samia Suluhu Hasssan,ambaye anaendelea kuchanja mbuga katika mioyo ya mamilioni ya watanzania. Video nitaangalia namna ya kuwawekea .ila kama unaweza ingia moja kwa moja kwenye instagram ya Diamond ujionee mwenyewe badala ya kuhadithiwa na Mwashambwa.
Mwisho nawasihi tu japo siyo kwa umuhimu,kuwa tuendelee kupendana sana watanzania,kuwa wamoja, tushirikiane, tusaidiane na tuwe kitu kimoja katika mambo yanayogusa maslahi ya Taifa letu.tusichukiane bila sababu wala kuumizana sisi kwa sisi. Duniani ni wapitaji tu ndugu zangu.hasira ya nini.wewe furahia maisha yako hata kama una lala njaa wewe jipe moyo tu kuwa kesho nayo ni siku Mungu atakupatia chakula.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
Ni upuuzi Ulioje kuendelea kumzungumzia mtu huyu???Baada ya Makonda kusema kuna watu hasa viongozi wanatumia watu kumkashifu Rais hakika ni kama aliwashitua viongozi na watu wa kada mbali mbali na kila mmoja amekemea na anapinga!
Lakini unaweza kujiuliza haya matusi kwa viongozi yameanza leo? Mbona yalikuwepo? Kwanini walikaa kimya mpaka Makonda alipo watuhumu ndio wamejitokeza kupambana!
Baada ya Makonda kusema pengine sio kweli lakini kwanini walikuwa kimya? Walitaka nani aseme?
Ukimya wao ulisababishwa na nini?
Na mingi zaidi itafunguliwa,kwa maana makonda ni taka chafu inayonuka,natumai kila mwenye mwili atapiga chafya.Huu ni uzi wa 206 unafunguliwa kumuhusu, Makonda tangia alipo teuliwa kuwa RC wa Arusha
Kaa kwa kutulia weweHuku tunakoelekea soon utaandika Paul Makonda anya mavi magumu.
Wewe sio chawa, wewe ni kupe, maana unang'ang'ania kabisa.
Chawa jazz band,naona mmekutana njia panda, kiufupi ni kwamba watanzania kwa umoja wao hawaitaki ccm tena,hivyo kama munampenda samia mwambieni wazi aachane na ccm,baada ya hapo Samia atakuwa mtu mwingine kabisa,na watanzania kwa umoja wao watasimama naye na kumpigania against all odds,musimdanganye.Tushikamane pamoja kama ndungu wa mama mmoja, Twendeni na mama yetu mpendwa sana,
kiongozi madhubuti, mahiri na mwenye maono na dhamira ya kweli, dhidi ya kuwakomboa wa TZ kiuchumi, kijamii na kisiasa 🐒
kwa upendo wa dhati, twendeni na mama Dr.SSH🌹
Kama ni hivyo ni kipi kinawafanya hamtaki mabadiliko ya kweli kwenye tume ya uchaguzi?Hata ije Tume ya uchaguzi kutoka marekani bado CCM itapita na kushinda kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima
Rais Samia na CCM Ndio Tumaini na chaguo la mamilioni ya watanzania.Chawa jazz band,naona mmekutana njia panda, kiufupi ni kwamba watanzania kwa umoja wao hawaitaki ccm tena,hivyo kama munampenda samia mwambieni wazi aachane na ccm,baada ya hapo Samia atakuwa mtu mwingine kabisa,na watanzania kwa umoja wao watasimama naye na kumpigania against all odds,musimdanganye.
Endeleeni kudeka na kuzira kama watoto wadogo mkifikiri mtabembelezwa.Kama ni hivyo ni kipi kinawafanya hamtaki mabadiliko ya kweli kwenye tume ya uchaguzi?