Wakuu,
Hivi mliwahi kushuhudia uenezi wa hao jamaa?
Hao alikua akiwa sehemu akiropoka au kuongea la maana mitandao na vyombo vya habari vyote inakua ndio taarifa muhimu.
Sasa mwenezi kama makala kweli yaani hata vyombo kureport habari zake wanaona uvivu tu.
Hao wenezi Kwa mfano Nape nakumbuka mapinduzi makubwa aliyafanya ikiwapo kuchagiza siasa za vyuo vikuu na siasa za mitandaoni.
Polepole naye alikuja speed sana na alikubalika mno alijichanganya na makundi yote na alikubalika, makonda ndio huyo mliona mikutano yake anakusanya vijiji na vijiji, nadhani ifikie mahala hao watu wasiokubalika wapewe ubalozi au hata uenyekiti wa bodi tu wajipumzikie huko.