Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Paul Makonda ndiye Mkuu wa Mkoa mbumbumbu zaidi hapa Tanzania kwa sasa.
Kuna msemo wa Kiswahili unaosema kwamba "Debe tupu haliachi kuvuma."
Kabisaa yaani debe tupu linawaumiza watu na ma vyeo yao kazi kuimba taarabu kulihusu debe tupu ...MAKONDA BOMAYEEE hata wakupe ubalozi wa mtaa bado utawatikisa tu,,,,tatizo nyota
 
Ndugu zangu Watanzania,

Leo kule kanda ya kaskazini mkoani Arusha Mwamba Mwenyewe Makonda kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara aliwakutanisha watumishi na watendaji wote wa mkoa wa Arusha katika kikao maalum cha kutoa Dira na taswira ya namna ambavyo angetaka mkoa wa Arusha uwe,pamoja na kumtaka kila mtumishi na mtendaji wa serikali kutekeleza wajibu wake kikamilifu.

Amesema yeye ni yule wa jana,leo na hata milele na kwamba hakuna copy ya Makonda kwa maana kwamba makonda uliyemuona jana ndio yule wa leo na wa kesho na hata akiondoka atabakia kuwa na kusomeka hivyo. Amewataka watumishi wa umma kuchapa kazi kwelikweli bila kulega lega wala kutengenezeana ajali za kazini.amesema ni lazima kushirikiana kwa pamoja na siyo kuchongeana au kukwamishana.

Amesema ya kuwa yeye hana muda wa kumvumilia mtu kazini bali anataka mtu aliye kamilika na tayari kwa kazi.amesema yeye hanaga habari za kusema ngoja tumvumilie mtu kwa matarajio kuwa atabadilika baadaye .amesema yeye hana huo muda na wala hajajaliwa kipawa hicho.amesema kuwa yeye mwenyewe utendaji wake unapimwa kwa siku.amewaomba msamaha mapema kabisa watumishi na watendaji wazembe kuwa hatawavumilia hata kidogo na badala yake wabadilike haraka sana.

Amesema kuwa ni lazima kila mtu ahakikishe kuwa anaenea vyema katika nafasi yake na yule ambaye haenei vizuri atafute vitu vya kumsaidia kuenea ,na asipofanya hivyo atamlazimisha aenee vizuri.amesema amechelewa sana na hivyo hayupo tayari kuona akikwamishwa na mtu yeyote yule.

Mwamba Makonda amezungumza mengi sana tena sana katika siku ya leo katika kutoa Dira na muelekeo wake ikiwa ni pamoja na kuhimiza umoja na mshikamano katika kufanya kazi ,na siyo kufanya kazi utafikiri unakimbiza mwenge.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
Big up Makonda! God bless you.
 
Wenye chuki binafsi na Mheshimiwa Makonda watakufa kwa presha mwaka huu.
Nyinyi Chawa wa Paul Makonda mnajisumbua Sana, ukweli ni kwamba mtu huyu amejitengenezea maadui wengi sana hapa Tanzania na duniani kote kwa ujumla, amejichafua na amechafuka vibaya sana kutokana na sababu hiyo. Hadi sasa, hakuna "sabuni" yoyote ile ambayo ina Uwezo wa kumsafisha au kumtakasa huyu mtu. Mnajisumbua bure kabisa kumpigia debe mtu huyu.
Hata ndani ya CCM yenyewe ana maadui wengi sana, na watu wengi hawamtaki, isipokuwa wameamua kukaa kimya kwa sababu Mwenyekiti wao wa Chama ndiye aliyemteua huyu mtu.
 
Nyinyi Chawa wa Paul Makonda mnajisumbua Sana, ukweli ni kwamba mtu huyu amejitengenezea maadui wengi sana hapa Tanzania na duniani kote kwa ujumla, amejichafua na amechafuka vibaya sana kutokana na sababu hiyo. Hadi sasa, hakuna "sabuni" yoyote ile ambayo ina Uwezo wa kumsafisha au kumtakasa mtu. Mnajisumbua bure kabisa kumpigia debe mtu huyu.
Hata ndani ya CCM yenyewe ana maadui wengi sana, na watu wengi hawamtaki, isipokuwa wameamua kukaa kimya kwa sababu Mwenyekiti wao wa Chama ndiye aliyemteua huyu mtu.
Amejichafuaje? Kutetea wanyonge ndio kujichafua? Kutaka watumishi wa umma wawajibike na kutekeleza majukumu yao ndio kujichafua? Kutaka haki itendeke na wanyonge kutendewa haki ndiko kujichafua?
 
Ifike wakati sasa Makonda anyamaze au anyamazishwe , hawezi kuendelea kudanganya umma halafu tukamkalia Kimya , Uongo wake ufike mwisho , na aache kutafuta huruma .

Ameendelea kusema Uongo huko Arusha kwamba aligombana na Wauza madawa ya kulevya na kwamba amenusurika kuuawa mara kadhaa , sasa alinusurika wakati ule wa Magufuli au ni lini ? Mbona akiwa Mwenezi nako alisema amenusurika kuuawa , sasa tushike lipi ? Binafsi napinga madai yake na Simuaamini hata Chembe .

Wauza madawa aliowasingizia hawa akina Wema Sepetu , Nyandu Tozi na TID ndio waliotaka kumuua ? au ni akina Manji ambao waliwekwa ndani kwa muda Mrefu au ni wepi wengine ?

Ukweli ni huu hapa , Katika madaraka yake madogo aliyopewa Makonda aligombana na kila Mtu , Alipogombana na Chongolo kule Kinondoni anataka kusema naye alikuwa muuza Unga ? Alipogombona na Mbunge wa Ubungo Saed Kubenea hadi kupelekana Mahakamani ilikuwa sababu ya Unga ? Alipompiga Ngwala Mzee Warioba anataka kusema naye alikuwa Muuza Unga ? Alipovamia Clouds media huko nako walikuwa nauza unga ? Tukiandika watu aliogombana nao Makonda humu JF Itajaa na wala haitatosha , Makonda alipiga Marufuku Wabunge kuishi kwenye Mkoa aliokuwa RC , na kwamba wanatakiwa kuwa Dodoma ile amri nayo ilihusu Wauza unga , Mbunge Aeshi alilalamika Bungeni kwamba aliambiwa na Makonda akigusa Dar atashughulikiwa , huyu naye alikuwa Muuza Unga ? Alipodhulumu nyumba ya GSM Block 41 Kinondoni atuambie kama huyu naye alikuwa Muuza Unga ?

Je hakukuwa na Wakuu wa Wilaya au Wakuu wa Mikoa wengine ilikuwaje yeye Makonda ndio agombane na kila mtu , ilikuwaje yeye awe anadhalilisha kila mtu bila Ushahidi wowote ?

Leo analialia ili aonewe huruma na nani ili iweje , Yeye ni kiongozi wa CCM mtoto mpendwa wa Mama kama anavyojinadi yeye mwenyewe , Kwanini asimuambie Mama yake ambaye ndio Amiri Jeshi Mkuu ili awakamate na kuwashughulikia hao wanaotaka Kumuua mara zote hizo ?

Makonda usitupotezee muda kama umeshindwa Uongozi Jiuzulu urudi mitaani .

View attachment 2969272
Ngada na ufipa tena,ni kama maji na samaki
 
Tulijua Chawa wake watakuja na tuko tayari kupambana nao kwa hoja au kivyovyote
Huna hoja kibwengo wewe,mmeandika sana kuhusu dogo lakini mmechemka,mmeishia kujitekenya na kucheka wenyewe tu,jamaa habadililiki na kasi yake ndio kwanza inaongezeka maradufu
 
Ndugu zangu Watanzania,

Leo kule kanda ya kaskazini mkoani Arusha Mwamba Mwenyewe Makonda kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara aliwakutanisha watumishi na watendaji wote wa mkoa wa Arusha katika kikao maalum cha kutoa Dira na taswira ya namna ambavyo angetaka mkoa wa Arusha uwe,pamoja na kumtaka kila mtumishi na mtendaji wa serikali kutekeleza wajibu wake kikamilifu.

Amesema yeye ni yule wa jana,leo na hata milele na kwamba hakuna copy ya Makonda kwa maana kwamba makonda uliyemuona jana ndio yule wa leo na wa kesho na hata akiondoka atabakia kuwa na kusomeka hivyo. Amewataka watumishi wa umma kuchapa kazi kwelikweli bila kulega lega wala kutengenezeana ajali za kazini.amesema ni lazima kushirikiana kwa pamoja na siyo kuchongeana au kukwamishana.

Amesema ya kuwa yeye hana muda wa kumvumilia mtu kazini bali anataka mtu aliye kamilika na tayari kwa kazi.amesema yeye hanaga habari za kusema ngoja tumvumilie mtu kwa matarajio kuwa atabadilika baadaye .amesema yeye hana huo muda na wala hajajaliwa kipawa hicho.amesema kuwa yeye mwenyewe utendaji wake unapimwa kwa siku.amewaomba msamaha mapema kabisa watumishi na watendaji wazembe kuwa hatawavumilia hata kidogo na badala yake wabadilike haraka sana.

Amesema kuwa ni lazima kila mtu ahakikishe kuwa anaenea vyema katika nafasi yake na yule ambaye haenei vizuri atafute vitu vya kumsaidia kuenea ,na asipofanya hivyo atamlazimisha aenee vizuri.amesema amechelewa sana na hivyo hayupo tayari kuona akikwamishwa na mtu yeyote yule.

Mwamba Makonda amezungumza mengi sana tena sana katika siku ya leo katika kutoa Dira na muelekeo wake ikiwa ni pamoja na kuhimiza umoja na mshikamano katika kufanya kazi ,na siyo kufanya kazi utafikiri unakimbiza mwenge.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
Amewataha mawaziri wanaofadhili mama yake kutukanwa?
Maana ishara ya mwongo mwongo ni kuahirisha ahadi ili zama zibadilike.
Jumatatu alioahidi bado?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Leo kule kanda ya kaskazini mkoani Arusha Mwamba Mwenyewe Makonda kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara aliwakutanisha watumishi na watendaji wote wa mkoa wa Arusha katika kikao maalum cha kutoa Dira na taswira ya namna ambavyo angetaka mkoa wa Arusha uwe,pamoja na kumtaka kila mtumishi na mtendaji wa serikali kutekeleza wajibu wake kikamilifu.

Amesema yeye ni yule wa jana,leo na hata milele na kwamba hakuna copy ya Makonda kwa maana kwamba makonda uliyemuona jana ndio yule wa leo na wa kesho na hata akiondoka atabakia kuwa na kusomeka hivyo. Amewataka watumishi wa umma kuchapa kazi kwelikweli bila kulega lega wala kutengenezeana ajali za kazini.amesema ni lazima kushirikiana kwa pamoja na siyo kuchongeana au kukwamishana.

Amesema ya kuwa yeye hana muda wa kumvumilia mtu kazini bali anataka mtu aliye kamilika na tayari kwa kazi.amesema yeye hanaga habari za kusema ngoja tumvumilie mtu kwa matarajio kuwa atabadilika baadaye .amesema yeye hana huo muda na wala hajajaliwa kipawa hicho.amesema kuwa yeye mwenyewe utendaji wake unapimwa kwa siku.amewaomba msamaha mapema kabisa watumishi na watendaji wazembe kuwa hatawavumilia hata kidogo na badala yake wabadilike haraka sana.

Amesema kuwa ni lazima kila mtu ahakikishe kuwa anaenea vyema katika nafasi yake na yule ambaye haenei vizuri atafute vitu vya kumsaidia kuenea ,na asipofanya hivyo atamlazimisha aenee vizuri.amesema amechelewa sana na hivyo hayupo tayari kuona akikwamishwa na mtu yeyote yule.

Mwamba Makonda amezungumza mengi sana tena sana katika siku ya leo katika kutoa Dira na muelekeo wake ikiwa ni pamoja na kuhimiza umoja na mshikamano katika kufanya kazi ,na siyo kufanya kazi utafikiri unakimbiza mwenge.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
1713637991687.jpg

Nakuona mama kigani wa kambo unamtega Bebe wako😀😀😀
 
Ndugu zangu Watanzania,

Leo kule kanda ya kaskazini mkoani Arusha Mwamba Mwenyewe Makonda kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara aliwakutanisha watumishi na watendaji wote wa mkoa wa Arusha katika kikao maalum cha kutoa Dira na taswira ya namna ambavyo angetaka mkoa wa Arusha uwe,pamoja na kumtaka kila mtumishi na mtendaji wa serikali kutekeleza wajibu wake kikamilifu.

Amesema yeye ni yule wa jana,leo na hata milele na kwamba hakuna copy ya Makonda kwa maana kwamba makonda uliyemuona jana ndio yule wa leo na wa kesho na hata akiondoka atabakia kuwa na kusomeka hivyo. Amewataka watumishi wa umma kuchapa kazi kwelikweli bila kulega lega wala kutengenezeana ajali za kazini.amesema ni lazima kushirikiana kwa pamoja na siyo kuchongeana au kukwamishana.

Amesema ya kuwa yeye hana muda wa kumvumilia mtu kazini bali anataka mtu aliye kamilika na tayari kwa kazi.amesema yeye hanaga habari za kusema ngoja tumvumilie mtu kwa matarajio kuwa atabadilika baadaye .amesema yeye hana huo muda na wala hajajaliwa kipawa hicho.amesema kuwa yeye mwenyewe utendaji wake unapimwa kwa siku.amewaomba msamaha mapema kabisa watumishi na watendaji wazembe kuwa hatawavumilia hata kidogo na badala yake wabadilike haraka sana.

Amesema kuwa ni lazima kila mtu ahakikishe kuwa anaenea vyema katika nafasi yake na yule ambaye haenei vizuri atafute vitu vya kumsaidia kuenea ,na asipofanya hivyo atamlazimisha aenee vizuri.amesema amechelewa sana na hivyo hayupo tayari kuona akikwamishwa na mtu yeyote yule.

Mwamba Makonda amezungumza mengi sana tena sana katika siku ya leo katika kutoa Dira na muelekeo wake ikiwa ni pamoja na kuhimiza umoja na mshikamano katika kufanya kazi ,na siyo kufanya kazi utafikiri unakimbiza mwenge.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
Na yule Daudi Albert Bashite, kijana aliyetokea Kijiji cha Kolomije kule Shinyanga/Simiyu, ni jana, leo na juzi, au?
 
Mleta mada huyo DAB ni bado kijana??
Au huko CCM kila mtu ni kijana maana hata Makala naye mnamwita kijana.
Nchimbi naye unamwita kijana
Toeni tafsiri ya neno kijana kwa nyie watu wa Lumumba??
 
Back
Top Bottom