Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Najaribu kuwaza...🤔

Tumeona MAKONDA akitoa kauli mbalimbali AMBAZO kimsingi si rafiki Kwa baadhi viongozi wa CHAMA na zinatishia uwepo wa viongozi hao ndani CCM.

Nina Imani Kuna kitu nyuma ya hizi vurugu za MAKONDA kuelekea UCHAGUZI mkuu 2025 mpaka sasa Kwa kiasi kikubwa jamaa anawatu na kaaminika katika jamii kama mtetezi na msemaji wa watu.

SASA BASI, WHAT IF?!

kabla ya 2025 MAKONDA akawajibishwa na CHAMA Kwa kigezo Cha "maadili" na akaamua kujiunga na upinzani mathalani ACT na kugombea Urais Nini kitatokea??!!

Je, kabla ya kujiunga na ACT akiwa bado Yuko huru na akaendeleza harakati zake kama mtu huru JE CHADEMA itakua tayari kumpokea??!!

Mwisho..

what if anatengenezwa Kwa ajili ya hayo hapo kuelekea 2025 apatikane mtu WA kichachafya CCM kidogo mwaka 2025..... Na baadae MAMA aseme "we ni mwanangu Rudi nyumbani"

juma tatu njema.
Chadema huwa hachagui silaha wao ni zoa zoa kipindi hiki!
 
Makonda yupo vizuri
Tulipofikia Watanzania tunahitaji kiongozi mbabe ili kuwanyoosha hao wavivu na wezi wa mali za umma

Makonda aongezewe cheo..!
Nimefuatilia toka akiw mwenez.ile style yake ya ki mamadou doumbaye .waswas wang tusije kukosa missaaad ya nchi wahisan
 
Makonda ana Ile hali ya, Ukimpa cheo chochote, ataonyesha waliopita hawajafanya kazi.

Sasa yeye akitoka, watakaomfatia, watakua wanalinganishwa naye, na hii inahitaj anayekuja anachukua Viatu vyake, afanye kazi kwa.kupita kule mule alikopita Mh Makonda.



Kwa.ufupi, Makonda ni Magufuli Mtupu.
Kuna kitu inaitwa charismatic. Ukiwa na kismat cha kuongoza hata ukiwa sehem watu wanakuogopa
 
Tufanye ulinganifu kidogo kati ya Hawa wenezi.

Naanza Mimi.

1. Makonda taarifa za mikutano na Ratiba zilikuwa zinatolewa mapema. Makala Ratiba zinashitukiza.

2. Makonda - watu walikuwa wanakuja wenyewe kwenye mikutano. Makala watu wanaletwa/wanasombwa, hadi wanafunzi wanaletwa kwenye mikutano.

3. Makala anaambatana na Katibu, ugeni mzito ila bado watu mi wachache, media nazo zimewapuuza. Makonda media an live streaming zilikuwa kama zote.

4. Makonda alikuwa Karibu sana na mwenyekiti , Makala Yuko Karibu sana na Katibu.

5. Makala anautulivu, Makonda alikuwa na over confidence.

Wewe Unaonaje?
Makonda pia.. Pre arranged.....
 
Huwezi kuwa komandoo kama hujapita kwenye misukosuko mingi ya kivita Tunaomba wakati makonda akihojiwa waandishi wa habari wawepo
 
Makonda tangu ajulikane 2010's kazi zake ni za kisiasa, matukio yake yote yako wazi kuanzia lile tukio la kumpiga Mjikofi Mzee Warioba mpaka leo yako wazi. Mengi yako mtandaoni, YouTube, Facebook, Instagram, x n.k

Pamoja na hayo yote kuna mtu alimteua pamoja na kuwekwa kando na Rais Magufuli.

Hapo makonda munamsumbua kafanya kosa gani jipya ambalo hajawahi kufanya?
 
Ikiwa Makonda ni mhalifu ama aliwahi kuwa mhalifu na hajawahi kuchukuliwa hatua zozote ila anateuliwa tu kuwa kiongozi, basi huyo bosi wake anayemteua ndiye mhalifu mkuu.

Acheni kumsumbua kijana 😂😂
Hapo ulichokifanya ni kwenda kwenye shimo la familia ya nyoka na kumimina mafuta ya taa Lita 5
 
Makonda yupo vizuri
Tulipofikia Watanzania tunahitaji kiongozi mbabe ili kuwanyoosha hao wavivu na wezi wa mali za umma

Makonda aongezewe cheo..!
Anatakiwa Dikiteta Mzalendo Muadilifu kwa kazi hizo !! 🙏
 
Back
Top Bottom