Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makonda Mwamba anakubalika kila sehemu .ndio maana hata humu angalia watu wanavyofungua nyuzi kumzungumzia na kumpongeza kwa uchapa kazi wake uliotukuka.Hivi kwanini makonda anakubalika sana na wafuasi wake Instagram tofauti na wanachama wa jamii forum
Wewe ndiyo wasema kakini nyuzi nyingi ni kumpondaMakonda Mwamba anakubalika kila sehemu .ndio maana hata humu angalia watu wanavyofungua nyuzi kumzungumzia na kumpongeza kwa uchapa kazi wake uliotukuka.
Mwanzoni wakati unaanza uchawa at least ulikuwa chawa mwenye akili kidogo na watu walikuwa wanakupa heshima kwa kusoma threads zako. Ila ulipofikia kuwa chawa mwenye ngozi ngumu watu wanangalia juu tu na kucheka tu,kwa sasa kama hujui hakuna anayesoma ujinga wako. Ukitaka kujua hili angalia kama kuna mtu anakupinga kwenye hoja iliyo ndani au katikati ya thread yako. Wakupinga kwa ujumla kwani hawasomi ujinga wako tena.Kwa lini umewahi kusema kuwa watu wananiheshimu humu jukwaani?
Hata kama wangefika wasinhetoa majibu ya kero za watumishi.Sijamuona Katibu Mkuu CDE Dkt Nchimbi na CDE Makalla kwenye Mei Mosi hapa Arusha.
Weka picha jombaHivi bro huwezi kuona hata aibu kwa namna unavyomsifia mwanaume mwenzako? Mzee hujui kama unaudhalilisha utu wako? Dah, hii imezidi.
Watarudi na matumaini makubwa na furaha mioyoni mwao.Sahv watu wamerudi wanachechemea hoiiii
Pigwa na juaaaa tu
Ova
Poleni na kupigwa juaaWatarudi na matumaini makubwa na furaha mioyoni mwao.
Mkuu hapo nimeandika ujinga gani?Ukikua na kukomaa akili utaacha kuandika ujinga wako hapa.
Omba msaada wa sungusungu.Bila hao ni aibu kuu.Na unajua.Hicho chama mfu hakina kabisa madhara, hata ubunge wa Arusha tutauchukua asubuhi mapema kabisa.
Nawe weka picha shangazi.Weka picha jomba
Wacha weeeeeeSijamsifia bali nimeandika ukweli
Katafune karanga unywe maji ulale!😂😂😂😂😂😂
Unamchomekea chawa mwenzio ndiyo atambe na kuonekana punga wewe umekaa pembeni, na hivi hajielewi anajua umempa sifa. Kwanini usitambe naye pamoja
Wacha weeeeee. Naona unakuja na ID zako mbili mbili kuanzisha uzi na mwingine kucomment.Hasifii mtu bali matendo, hata wewe najua unakubali kazi za mwamba, jabali, comrade Paulo makonda, kwahiyo punguza makasiriko