🤣🤣🤣🤣🤣🤣Watakuita sukuma gang mkuu!
Hilo mbona liko wazi, nani timamu wa kufanya haya afanyayo huyu jamaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Watakuita sukuma gang mkuu!
Kwa lini umewahi kusema kuwa watu wananiheshimu humu jukwaani?Mkuu unajua siku hizi heshima yako imeshuka sana,kufupi watu wanakupuuza kama ulikuwa hulijui hili. Iko siku utakuja kuandika jambo la maana lakini watu watakupuuza wakijua ni yaleyale maujinga yako
Ndugu zangu Watanzania,
Katika sherehe za leo zinazoendelea mkoani Arusha na kwa nanmna zilivyofaana na kupendeza na kuvutia na kubwa zaidi kwa namna watu walivyofurika na kumiminika ni haijawahi kutokea katika Historia ya sherehe za Mei Mosi. Hii inabaki katika kumbukumbu ya Mei Mosi iliyohudhuriwa na watu wengi sana kuwahi kutokea katika Taifa letu.
Makonda ni Mwamba na bingwa wa mikakati na Jabali la mipango na hamasa. Jamaa anakubalika na kiongozi mwenye nyota kali sana ya kupendwa na watu pamoja na kuheshimika.leo Arusha imeitikia,kanda ya kaskazini imeamka na kwenda kuungana na Mwamba Makonda katika mapokezi mazito ya ugeni wa kitaifa na watu kutoka maeneo mbalimbali ya Taifa letu.
Kwa hakika ukitaka shuguli yako ipendeze katika jambo lolote lile ,basi wewe mkabidhi kazi hiyo Mwamba Makonda halafu muachie akufanyie kazi.kwa hakika leo Mwamba ameonyesha yeye ni mtu na nusu,ni kipenzi cha wana Arusha na watanzania wote kwa ujumla ,ni kipenzi cha vijana na watu wa makundi mbalimbali na ni kiongozi wa kutumainiwa na kutegemewa kwa Taifa letu.
Ipo siku Mwamba atashika nafasi za juu kabisa za uongozi ndani ya serikali yetu.ipo siku watu wataandamana na kumbeba Mwamba Makonda Mabegani mwao kumshukuru ,kumpongeza na kumtia moyo kwa uchapa kazi wake. Ukimchukia Mwamba Makonda unajiumiza tu maana kwa kadri unavyomchukia ndivyo anavyodhidi kuchanja mbuga katika mioyo ya mamilioni ya watanzania. Usishindane na aliyepewa kibali na Mungu.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Tamba mkuu wenye wivu wajitundike wenye vidonda vya tumbo wanywe pilipili kichaa!Acha waniite tu lakini ukweli ni lazima usemwe wazi kuwa Mwamba Mwenyewe Makonda ni mtu na nusu.
Acha wivu wako wewe. Unatamani ungekuwa ndio wewe lakini kwa bahati mbaya siyo wewe na huna uwezo wa kuwashawishi hata majirani zako tu wakakuunga mkono katika jambo lolote lile.zaidi ya kukuona wewe ni mtu wa hovyo.
Mambo mengine unayoandika unafanya wanaume wengine tuone aibu. Hata kama ni uchawa jaribu kutokutweza utu wakoMwamba Makonda anavuta watu utafikiri sumaku iliyokaribu na chuma. Mwamba Makonda ni kiongozi na nusu .
Achana na Wowowo Gang, utapoteza muda wako. wenzako wanafungua nyuzi za kujifariji. Waacheni na nyuzi zao. Hao wapo kwenye mission yao ya kusimika gang yao.Kuna muda muwe mnatumia akili. Akili za kukusaidia kujua Mei Mosi inavyokuwa organised. Itakusaidia kujua ile sio ya Bashite bali ni maelekezo ya serikali kwa watumishi wake. Huko kuna roll-call lazima mtu aende.
Mimi naandika ukweli tu ndugu yangu na siyo kingine.kama unaumia basi kaa utulie na kuvumilia tu.Mambo mengine unayoandika unafanya wanaume wengine tuone aibu. Hata kama ni uchawa jaribu kutokutweza utu wako
😂😂😂😂😂😂Tamba mkuu wenye wivu wajitundike wenye vidonda vya tumbo wanywe pilipili kichaa!
Kuandika na kujitoa akili ufanye wewe then mimi huku niumie. Mtu akiamua ku left group ni hiari yakeMimi naandika ukweli tu ndugu yangu na siyo kingine.kama unaumia basi kaa utulie na kuvumilia tu.
Jamani huyu angeolewa nae tu shule hamna anakaa kusifia wanaume wenzie sh shwainUnamsifia mwanaume mwenziooooo Nina wasiwasi
Ukikua na kukomaa akili utaacha kuandika ujinga wako hapa.Kuandika na kujitoa akili ufanye wewe then mimi huku niumie. Mtu akiamua ku left group ni hiari yake
Instagram in vilaza wengi sana kina juma lokoleHivi kwanini makonda anakubalika sana na wafuasi wake Instagram tofauti na wanachama wa jamii forum
Acha utoto wewe.Jamani huyu angeolewa nae tu shule hamna anakaa kusifia wanaume wenzie sh shwain