Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Mkuu unajua siku hizi heshima yako imeshuka sana,kufupi watu wanakupuuza kama ulikuwa hulijui hili. Iko siku utakuja kuandika jambo la maana lakini watu watakupuuza wakijua ni yaleyale maujinga yako
Kwa lini umewahi kusema kuwa watu wananiheshimu humu jukwaani?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Katika sherehe za leo zinazoendelea mkoani Arusha na kwa nanmna zilivyofaana na kupendeza na kuvutia na kubwa zaidi kwa namna watu walivyofurika na kumiminika ni haijawahi kutokea katika Historia ya sherehe za Mei Mosi. Hii inabaki katika kumbukumbu ya Mei Mosi iliyohudhuriwa na watu wengi sana kuwahi kutokea katika Taifa letu.

Makonda ni Mwamba na bingwa wa mikakati na Jabali la mipango na hamasa. Jamaa anakubalika na kiongozi mwenye nyota kali sana ya kupendwa na watu pamoja na kuheshimika.leo Arusha imeitikia,kanda ya kaskazini imeamka na kwenda kuungana na Mwamba Makonda katika mapokezi mazito ya ugeni wa kitaifa na watu kutoka maeneo mbalimbali ya Taifa letu.

Kwa hakika ukitaka shuguli yako ipendeze katika jambo lolote lile ,basi wewe mkabidhi kazi hiyo Mwamba Makonda halafu muachie akufanyie kazi.kwa hakika leo Mwamba ameonyesha yeye ni mtu na nusu,ni kipenzi cha wana Arusha na watanzania wote kwa ujumla ,ni kipenzi cha vijana na watu wa makundi mbalimbali na ni kiongozi wa kutumainiwa na kutegemewa kwa Taifa letu.

Ipo siku Mwamba atashika nafasi za juu kabisa za uongozi ndani ya serikali yetu.ipo siku watu wataandamana na kumbeba Mwamba Makonda Mabegani mwao kumshukuru ,kumpongeza na kumtia moyo kwa uchapa kazi wake. Ukimchukia Mwamba Makonda unajiumiza tu maana kwa kadri unavyomchukia ndivyo anavyodhidi kuchanja mbuga katika mioyo ya mamilioni ya watanzania. Usishindane na aliyepewa kibali na Mungu.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Screenshot_2024-04-30-08-21-58-928_com.android.chrome~2.jpg
 
Acha wivu wako wewe. Unatamani ungekuwa ndio wewe lakini kwa bahati mbaya siyo wewe na huna uwezo wa kuwashawishi hata majirani zako tu wakakuunga mkono katika jambo lolote lile.zaidi ya kukuona wewe ni mtu wa hovyo.
yyyyyyyyyyyyyy.jpeg

Kijana mdogo bado unanuka maziwa na unacheulishwa , nitapoteza muda kujadiliana nawe!
Umeanza na maneno za kindengeereko na kizaramo.
Nakutafutia staili yako.
Mimi nina ajiri sija ajiriwa.
Hatuwezi kuwa wakuu wa mikoa kila mtu.
 
Kuna muda muwe mnatumia akili. Akili za kukusaidia kujua Mei Mosi inavyokuwa organised. Itakusaidia kujua ile sio ya Bashite bali ni maelekezo ya serikali kwa watumishi wake. Huko kuna roll-call lazima mtu aende. Huko watu wamesaini posho kuhudhuria. Nani hataki posho?
Akili mnatumia kufanyia nini?
 
Kuna muda muwe mnatumia akili. Akili za kukusaidia kujua Mei Mosi inavyokuwa organised. Itakusaidia kujua ile sio ya Bashite bali ni maelekezo ya serikali kwa watumishi wake. Huko kuna roll-call lazima mtu aende.
Achana na Wowowo Gang, utapoteza muda wako. wenzako wanafungua nyuzi za kujifariji. Waacheni na nyuzi zao. Hao wapo kwenye mission yao ya kusimika gang yao.
 
Tamba mkuu wenye wivu wajitundike wenye vidonda vya tumbo wanywe pilipili kichaa!
😂😂😂😂😂😂
Unamchomekea chawa mwenzio ndiyo atambe na kuonekana punga wewe umekaa pembeni, na hivi hajielewi anajua umempa sifa. Kwanini usitambe naye pamoja
 
Kama si Chuma basi Moto, kwa vyovyote vile lazima utakalia.
 
Hivi kwanini makonda anakubalika sana na wafuasi wake Instagram tofauti na wanachama wa jamii forum
 
Back
Top Bottom