Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Mwamba Makonda anawatesa sana wapinzani na nyumbu wa CHADEMA. Mafuriko yaliyomiminika leo uwanjani mpaka wengine kukosa nafasi na kuamua kubakia nje ya uwanja kumewaumiza sana CHADEMA, mpaka sasa wamebaki wanaweweseka tu kama wagonjwa wa malaria kali. Hapo bado Mwamba hajamaliza hata nusu mwaka.
Did you think about wale wafanyakazi walio sinzia kumsikiliza VP?
Kwa hiyo wafanyakazi wa TZ wamefurahishwa na wadudu?
Basi hao watumishi ni wajinga kiasi hiki kweli?
 
If you can't beat them join them simple tu ndo alichofanya makonda jiji la Arusha linaenda kua jiji tulivu tofauti na lilivyokua limezoeleka
 
Watu wanaangalia madudu ya wadudu.inastaajabisha kiukweli siku kama hii wanatuletea madudu kama haya. Wametuona wadudu wanatuletea madudu ya wadudu.
 
Hakika hiki ni kichekesho! Katika siku muhimu kama Mei Mosi kwa wafanyakazi.wanaowazia hatima ya kazi zao, mishahara na mafao yao ya kustaafu, pension zao, kupandishwa vyeo na kila linalowasibu eti ndio haya tena ya Makonda?
Mbele ya makamu wa Rais anayemwakilisha Rais mnasema bila aibu kuwa Makonda ni mbunifu kisa WADUDU?
Yaani bila aibu mnaleta vijana wakuwapeleka Rehab mbele ya Rais, mabalozi na wakuu wengine wakiwapo WAFANYAKAZI WATUKUFU?
Mbona toka aseme anawajua wanaolipa wamtukanao Rais sasa kujipendekeza kwake kumekuwa kukubwa kama kuogopa wasitajwe?
WADUDU NDIO UBUNIFU WA MAKONDA?!

View: https://youtu.be/aFZXjQc901U?si=08otvhLulbWRB6VL

Kuna jema unaloweza kuongea kuhusu Makonda?
 
Hakika hiki ni kichekesho! Katika siku muhimu kama Mei Mosi kwa wafanyakazi.wanaowazia hatima ya kazi zao, mishahara na mafao yao ya kustaafu, pension zao, kupandishwa vyeo na kila linalowasibu eti ndio haya tena ya Makonda?
Mbele ya makamu wa Rais anayemwakilisha Rais mnasema bila aibu kuwa Makonda ni mbunifu kisa WADUDU?
Yaani bila aibu mnaleta vijana wakuwapeleka Rehab mbele ya Rais, mabalozi na wakuu wengine wakiwapo WAFANYAKAZI WATUKUFU?
Mbona toka aseme anawajua wanaolipa wamtukanao Rais sasa kujipendekeza kwake kumekuwa kukubwa kama kuogopa wasitajwe?
WADUDU NDIO UBUNIFU WA MAKONDA?!

View: https://youtu.be/aFZXjQc901U?si=08otvhLulbWRB6VL
 
Acheni kuweweseka .kaeni kwa kutulia kabisa maana huo ni mwanzo na mvua za rasha rasha tu.nilishawaambieni kuwa CHADEMA mnakwenda kupotea kabisa ukanda wa kaskazini.
Hakuna anayeweweseka niweweseke kwani mimi ni mtumishi wa umma?

Mnasomba watu kwa kuwafanyia intimidation kutafuta cheap popularity .

Yaani sherehe za Mei mosi zikiwa za hiari ungeona kama hao mnaowaonea wangekubali kwenda kupigwa na jua huku wakipiga makofi ya kinafiki .
 
Hakika hiki ni kichekesho! Katika siku muhimu kama Mei Mosi kwa wafanyakazi.wanaowazia hatima ya kazi zao, mishahara na mafao yao ya kustaafu, pension zao, kupandishwa vyeo na kila linalowasibu eti ndio haya tena ya Makonda?
Mbele ya makamu wa Rais anayemwakilisha Rais mnasema bila aibu kuwa Makonda ni mbunifu kisa WADUDU?
Yaani bila aibu mnaleta vijana wakuwapeleka Rehab mbele ya Rais, mabalozi na wakuu wengine wakiwapo WAFANYAKAZI WATUKUFU?
Mbona toka aseme anawajua wanaolipa wamtukanao Rais sasa kujipendekeza kwake kumekuwa kukubwa kama kuogopa wasitajwe?
WADUDU NDIO UBUNIFU WA MAKONDA?!

View: https://youtu.be/aFZXjQc901U?si=08otvhLulbWRB6VL

Yaani nimeshangaa serikali kusapoti ududu. Sio jina zuri
 
Kuitwa mdudu au.wadudu ni kudhalilisha na kudunisha utu mtu. Hata kama wanapewa fedha bado ni kufedheheshwa na Arusha tutakataa kuwa wadudu. Uwezo wa kuyaangallia maswala utu na haki za watu umepungua sana. Elimu yetu hatupi mang'amuzi ya haki za binadamu.
 
It is a lamentable matter that the soil of that land, once renowned for producing individuals of stroong mind, boldness, and possessing all manner of world-class attributes, now harbors individuals who leave one wondering how this generation could be connected to the precedingg one. For wwhen one examines the continuity between these jenerations, no connection whatsoever is found.

While those of the past era brought honor to the nation, conversely, it seems this generation is causing it to be scorned and perceived as a land of mediocrity.

I might conclude by saying that, currently, that nation is just a jest.
The problem is CCM not the generation.
 
Hakuna anayeweweseka niweweseke kwani mimi ni mtumishi wa umma?

Mnasomba watu kwa kuwafanyia intimidation kutafuta cheap popularity .

Yaani sherehe za Mei mosi zikiwa za hiari ungeona kama hao mnaowaonea wangekubali kwenda kupigwa na jua huku wakipiga makofi ya kinafiki .
Huko ndio kuweweseka kwenyewe unakosema kuwa watu walisombwa na kulazimishwa kwenda.jambo ambalo ni la uongo na uzushi mkubwa sana usio na chembe ya aina yoyote ile ya ukweli.kwa sababu kila mtu anafahamu namna watu walivyokuwa na furaha na morali kubwa ya kuhudhulia sherehe hizo za ndio mosi. Unaweza vipi wabeba watu maelfu kwa maelfu mpaka wengine wakawa nje ya uwanja? Utawabeba kwa kutumia nini? Acheni wivu na chuki binafsi maana tunakoelekea mtaugua presha tu kwa sababu CHADEMA mnakwenda kubakia katika makabati chakavu.
 
Katika watu wanaotumia muda vizuri kwenye uongozi ni Mh. Makonda.

Anahakikisha akiwa kwenye uwanja wa mchezo wa uongozi wake anajizolea point tatu mapema kabisa.

Wanaotoa point za mchezo katika uongozi ni wananchi.

Huko Arusha tayari kesha chukua point tatu zake.

Hiyo inamaana gani?

Maana yake:
Makonda atakuwepo kwenye uongozi siku zote za maisha yake.


View: https://www.instagram.com/reel/C6bqIEwITxD/?igsh=cGM4dWlpd3UzdTIz

Meneja wa Makampuni una Akili nyingi sana, umeona mbali.😉
 
Ndugu zangu Watanzania,

Katika sherehe za leo zinazoendelea mkoani Arusha na kwa nanmna zilivyofaana na kupendeza na kuvutia na kubwa zaidi kwa namna watu walivyofurika na kumiminika ni haijawahi kutokea katika Historia ya sherehe za Mei Mosi. Hii inabaki katika kumbukumbu ya Mei Mosi iliyohudhuriwa na watu wengi sana kuwahi kutokea katika Taifa letu.

Makonda ni Mwamba na bingwa wa mikakati na Jabali la mipango na hamasa. Jamaa anakubalika na kiongozi mwenye nyota kali sana ya kupendwa na watu pamoja na kuheshimika.leo Arusha imeitikia,kanda ya kaskazini imeamka na kwenda kuungana na Mwamba Makonda katika mapokezi mazito ya ugeni wa kitaifa na watu kutoka maeneo mbalimbali ya Taifa letu.

Kwa hakika ukitaka shuguli yako ipendeze katika jambo lolote lile ,basi wewe mkabidhi kazi hiyo Mwamba Makonda halafu muachie akufanyie kazi.kwa hakika leo Mwamba ameonyesha yeye ni mtu na nusu,ni kipenzi cha wana Arusha na watanzania wote kwa ujumla ,ni kipenzi cha vijana na watu wa makundi mbalimbali na ni kiongozi wa kutumainiwa na kutegemewa kwa Taifa letu.

Ipo siku Mwamba atashika nafasi za juu kabisa za uongozi ndani ya serikali yetu.ipo siku watu wataandamana na kumbeba Mwamba Makonda Mabegani mwao kumshukuru ,kumpongeza na kumtia moyo kwa uchapa kazi wake. Ukimchukia Mwamba Makonda unajiumiza tu maana kwa kadri unavyomchukia ndivyo anavyodhidi kuchanja mbuga katika mioyo ya mamilioni ya watanzania. Usishindane na aliyepewa kibali na Mungu.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Joyce wowowo ana ubinifu au anatia gundu sherehe ya wafanyakazi kwa kuweka uccm wake?
 
Back
Top Bottom