Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

KAZI ANAZOFANYA MH PAUL MAKONDA NDIO KAZI ZA KIONGOZI

Na Comrade Ally Maftah
JITU LA MIRABA

Mimi ni shabiki mkuu wa aina ya siasa za watu kama Paul Makonda. nimekuwa nikimshabikia bila woga akiwa kwenye madaraka na alipokuwa nje ya uwanja wa siasa za kitaifa,

Nasikitika sana kusema watu wengi hawajui kuchagua zuri na baya, nimewahi kusikia kelele za wajinga wanaomchukia Mh Paul Makonda mimi huwa nacheka kwa kicheko cha Magufuli RIP. Paul Makonda ni kiongozi kinara katika muongo mzima tangu 2010's katika nchi za kusini mwa jangwa la sahara, labla tunaweza kumweka kundi moja na Malema wa South Africa. katika siasa za kuwsinua wananchi, mnyonge mnyongeni haki yake mpeni Paul Makonda ni Jembe tena sio la mkono, ni jembe la kitu zaidi ya trekta.

Tumekuwa na wimbi la vijana wamejikita kwenye siasa za kusambaza sambaza posters na habari na kwa bahati mbaya muda mwingine ndio wanaopewa nafasi kwa sababu tu wana maneno ya asali asali kwa viongozi, Paul Makonda sijawahi kumwona hivyo,

Paul Makonda ni kiongozi anayeingia field na kuwagusa kabisa wale wenye shida na haogopi kitu, mimi nikimsikiliza makonda najisikia raha sana kujua kumbe aina ya siasa za hivi inawezekana, yaani ukipewa kazi ni kufanya kazi sio kwenda kuwabembeleza watu na kuwalamba lamba miguu ili upate mali za wizi.

Nina mengi ya kusema kuhusu kiongozi huyu Jasiri, Mbunifu, Asiye na Chuki wala upendeleo, Muwazi, Asiyependa Majungu na Unafiki, PAUL MAKONDA.

SABAYA ARUDI KWENYE HATAMU KAZI ZIFANYIKE.

Ndimi Comrade Ally Maftah
JITU LA MIRABA
CCM LIA LIA
MTIA NIA MCHACHACHALI JIMBO LA KAWE

View attachment 2987391View attachment 2987392
Kwa level ya duniani bado hajasogelea hata inchi moja, kwahiyo sheikh acha uzwazwa.
 
Kwa uthubutu na utenda kazi usio chosha, ni vyema sasa Mamlaka za uteuzi zimteue Makonda kuwa Mkuu wa Mikoa ya Arusha na Kilimanjaro.

Kwa huyo Nurdin Babu sielewi hata huo Ukuu wa Mkoa alipewa kwa kigezo kipi!
 
KAZI ANAZOFANYA MH PAUL MAKONDA NDIO KAZI ZA KIONGOZI

Na Comrade Ally Maftah
JITU LA MIRABA

Mimi ni shabiki mkuu wa aina ya siasa za watu kama Paul Makonda. nimekuwa nikimshabikia bila woga akiwa kwenye madaraka na alipokuwa nje ya uwanja wa siasa za kitaifa,

Nasikitika sana kusema watu wengi hawajui kuchagua zuri na baya, nimewahi kusikia kelele za wajinga wanaomchukia Mh Paul Makonda mimi huwa nacheka kwa kicheko cha Magufuli RIP. Paul Makonda ni kiongozi kinara katika muongo mzima tangu 2010's katika nchi za kusini mwa jangwa la sahara, labla tunaweza kumweka kundi moja na Malema wa South Africa. katika siasa za kuwsinua wananchi, mnyonge mnyongeni haki yake mpeni Paul Makonda ni Jembe tena sio la mkono, ni jembe la kitu zaidi ya trekta.

Tumekuwa na wimbi la vijana wamejikita kwenye siasa za kusambaza sambaza posters na habari na kwa bahati mbaya muda mwingine ndio wanaopewa nafasi kwa sababu tu wana maneno ya asali asali kwa viongozi, Paul Makonda sijawahi kumwona hivyo,

Paul Makonda ni kiongozi anayeingia field na kuwagusa kabisa wale wenye shida na haogopi kitu, mimi nikimsikiliza makonda najisikia raha sana kujua kumbe aina ya siasa za hivi inawezekana, yaani ukipewa kazi ni kufanya kazi sio kwenda kuwabembeleza watu na kuwalamba lamba miguu ili upate mali za wizi.

Nina mengi ya kusema kuhusu kiongozi huyu Jasiri, Mbunifu, Asiye na Chuki wala upendeleo, Muwazi, Asiyependa Majungu na Unafiki, PAUL MAKONDA.

SABAYA ARUDI KWENYE HATAMU KAZI ZIFANYIKE.

Ndimi Comrade Ally Maftah
JITU LA MIRABA
CCM LIA LIA
MTIA NIA MCHACHACHALI JIMBO LA KAWE

View attachment 2987391View attachment 2987392
Naamini kwenye mifumo na namna ya kuisimamia ili wanufaika wawe wengi zaidi. Hata Rais John Magufuli angeweka hiyo mifumo kwa sasa tungekuwa mbali sana. Lakini bila hiyo mifumo tutachezewa sana akili na wanasiasa na Kila mara tutakuwa tukianza upya, maana kila kiongozi atakuja na vipaumbele vyake vyake na akihamishwa au akimaliza muda wake hivyo vipaumbele navyo vinahama au vinamaliza muda wake na kwa namna hii hatuwezi 'kutoboa'. Maendeleo yanahitaji mwendekezo (continuity, consistency, predicability).
 
Kichwa cha habari tu kimeacha nisisome habari yako ila ninataka kukuuliza je unajua maana ya dunia? Inaanzia wapi na inaishia wapi

Inawwzekana unajua dunia nzima nikama kanda ya kaskazini ambyo ni Tanga,kilimanjaro na Arusha
Wakishapewaga visenti kusifia huwa akili zinaruka kabisa wanaandika chochote
 
Wewe ni mjinga kabisa. Tukisema mbowe anagongwa mtungo na wanaume utafurahia??? Maana ndiyo maneno ya mtaani wanasema mbowe ni shoga ndiyo maana alitoboa sikio. Jifunze kuheshimu viongozi
Unasema kujifunza kuheshimu viongozi hapo hapo unamtukana mbowe, au viongozi ni ccm peke yake? Pumbafu
 
It might be you are makonda. Au nawewe umezaliwa na shetani kama huwezi kulaani mauaji ya wanadamu!
Listen great, Cursing without proof is crazy, when you have unquestionable proof, why do you end up cursing? In other words, you want accusations without evidence to convince you that they are true, which means we should take the place of God who sees everything? I don't do stupid jobs

Ni ju yako wewe kuamini mimi ni Makonda, hiyo hainipi shida chief
 
Makonda anajua Sana...hata wanaom beza,wanajua vzr uwezo wake.
 
Mkuu wa mkoa wa Arusha katika kile kinachoitwa kusikiliza kero za wananchi jana akiwa amevalia kinadhifu mavazi ya kofia na tisheti vyenye maneno "Jesus did it" amezungumzia mambo mawili muhimu sana,

1. Wakuu wa mikoa hawapewi maelekezo yoyote ni kero za aina gani wanatakiwa kushughulikia kusikiliza au kutokusikiliza!

2. Mkuu wa mkoa ni mwenyekiti wa mwenendo wa nidhamu/maadili wa mahakama za mwanzo katika mkoa wake, jaji mfawidhi ni mjumbe katika kikao chake.

Sheria namba 4 ya mwaka 2011 ya uendeshaji mahakama inamfanya mkuu wa mkoa kuwa mpokeaji malalamiko dhidi ya uamuzi wa kesi wa hakimu.

Wanaweza kukaa kikao na jaji mfawidhi kumuambia achukue hatua kwa baadhi ya mambo. Mwenyekiti wa nidhamu kitaifa wa mahakama ni Rais!
Arusha haitaki viongozi wapole kwa sababu wakazi wake wamechangamka inahitaji viongozi wenye uthubutu.
 
Mkuu wa mkoa wa Arusha katika kile kinachoitwa kusikiliza kero za wananchi jana akiwa amevalia kinadhifu mavazi ya kofia na tisheti vyenye maneno "Jesus did it" amezungumzia mambo mawili muhimu sana,

1. Wakuu wa mikoa hawapewi maelekezo yoyote ni kero za aina gani wanatakiwa kushughulikia kusikiliza au kutokusikiliza!

2. Mkuu wa mkoa ni mwenyekiti wa mwenendo wa nidhamu/maadili wa mahakama za mwanzo katika mkoa wake, jaji mfawidhi ni mjumbe katika kikao chake.

Sheria namba 4 ya mwaka 2011 ya uendeshaji mahakama inamfanya mkuu wa mkoa kuwa mpokeaji malalamiko dhidi ya uamuzi wa kesi wa hakimu.

Wanaweza kukaa kikao na jaji mfawidhi kumuambia achukue hatua kwa baadhi ya mambo. Mwenyekiti wa nidhamu kitaifa wa mahakama ni Rais!
UWONGO!! Mhimili wa Mahakama hauingiliwi na paka yoyote kama Makonda
 
Pamoja kwamba Mimi ni mfuasi wa CHADEMA na mwanachama wa CHADEMA, ila Kuna jambo moja linanifanya nimuunge mkono Makonda. Kusikiliza kero za wananchi ambazo serikali imeshindwa kuzishughulikia.

Mimi simkubali CCM na Wala simkubali Makonda kwa sababu nyingi tu, ila nakubali kwa hichi alichokifanya. Hata Mimi ningepata nafasi ningeenda kupeleka malalamiko yangu.

Kuna jambo tumelipigania sana. Kiasi cha kufikia kwa polisi. Lakini inaonekana polisi wanamuogopa muhusika. Tumepeleka malalamiko na ushahidi Hadi ofisi ya Waziri lakini hakuna hatua iliyochukuliwa. Wapelelezi wa serikali wamefika sehemu wanakimbia njiani na kuacha mtuhumiwa akijigamba.

Nimeleta ushahidi hapa JF kuhusu tapeli moja anajiita Generali Mwamwega, kwa jina sahihi Macegeron Rweyemamu. Huyu ni tapeli mkubwa analiza watu kupitia kampuni ya One 2 One Focus Limited. Kupitia hiyo kampuni ameitumia kuwahujumu watanzania wengi kiasi Cha wengine kufilisika.

Niliuleta ushahidi hapa JF ukafutwa, tumepeleka ushahidi polisi wamekimbia nao, tumehusisha ofisi za serikali ila wanadai wanamuogopa huyo tapeli.

Inapofikia serikali inamuogopa raia mmoja na hata kumuacha atumie majina ya Viongozi kuibia wananchi unategemea nini?. Kama polisi wanamuogopa tapeli na kuacha kumkamata au kumchunguza raia waendelee wapi?

Generali Mwamwega hagusiki, anatumia cheo Cha jeshi wakati sio mwanajeshi na hakuna Mtu anayemkamata au kumuonya. Anatumia jina la Rais wa Zanzibar Hussein Mwinyi kuibia watu na hakuna anayemkamata au kumuonya. Na emefikia hatua anatumia jina la Waziri Mkuu ila hakuna anayemkamata au kumuonya.

Hivyo basi inapofikia hatua serikali kupitia vyombo vyake vya ulinzi vinamuogopa Generali Mwamwega ambaye wala sio Mwanajeshi aendelee kuumiza raia, basi anachokifaanya Makonda kuita raia na kuwasililiza kero zao nakiunga mkono maana kinaweka hadharani uchafu wa serikali na vyombo vya Dola ambavyo vipo kulinda raia lakini vimegekua kulinda wahalifu.

Kwa nilioyaona kwa Generali Mwamwega na jinsi serikali ilivyomkingia kifua nadhani wananchi wapewe platform ya kuongea haya mambo hadharani Tena live kwenye TV ili uchafu wa vyombo vya Dola uwekwe wazi na wahusika wajue kumbe wanafahamika.

Wakuu wa mikoa wengine igeni mfano wa Makonda maana wananchi wa kawaida wananyanyaswa sana na vombo vya Dola vikishirikiana na wahalifu akama akina Generali Mwamwega au kwa jina halisi Osward Macegeron Rweyeyemamu.
 
Pamoja kwamba Mimi ni mfuasi wa CHADEMA na mwanachama wa CHADEMA, ila Kuna jambo moja linanifanya nimuunge mkono Makonda. Kusikiliza kero za wananchi ambazo serikali imeshindwa kuzishughulikia.

Mimi simkubali CCM na Wala simkubali Makonda kwa sababu nyingi tu, ila nakubali kwa hichi alichokifanya. Hata Mimi ningepata nafasi ningeenda kupeleka malalamiko yangu.

Kuna jambo tumelipigania sana. Kiasi cha kufikia kwa polisi. Lakini inaonekana polisi wanamuogopa muhusika. Tumepeleka malalamiko na ushahidi Hadi ofisi ya Waziri lakini hakuna hatua iliyochukuliwa. Wapelelezi wa serikali wamefika sehemu wanakimbia njiani na kuacha mtuhumiwa akijigamba.

Nimeleta ushahidi hapa JF kuhusu tapeli moja anajiita Generali Mwamwega, kwa jina sahihi Macegeron Rweyemamu. Huyu ni tapeli mkubwa analiza watu kupitia kampuni ya One 2 One Focus Limited. Kupitia hiyo kampuni ameitumia kuwahujumu watanzania wengi kiasi Cha wengine kufilisika.

Niliuleta ushahidi hapa JF ukafutwa, tumepeleka ushahidi polisi wamekimbia nao, tumehusisha ofisi za serikali ila wanadai wanamuogopa huyo tapeli.

Inapofikia serikali inamuogopa raia mmoja na hata kumuacha atumie majina ya Viongozi kuibia wananchi unategemea nini?. Kama polisi wanamuogopa tapeli na kuacha kumkamata au kumchunguza raia waendelee wapi?

Generali Mwamwega hagusiki, anatumia cheo Cha jeshi na hakuna Mtu anayemkamata au kumuonya. Anatumia jina la Rais wa Zanzibar Hussein Mwinyi kuibia watu na hakuna anayemkamata au kumuonya. Na emefikia hatua anatumia jina la Waziri Mkuu ila hakuna anayemkamata au kumuonya.

Hivyo basi inapofikia hatua serikali kupitia vyombo vyake vya ulinzi vinamuogopa Generali Mwamwega ambaye wala sio Mwanajeshi aendelee kuumiza raia, basi anachokifaanya Makonda kuita raia na kuwasililiza kero zao nakiunga mkono maana kinaweka wazi uchaguzi wa serikali na vyombo vya Dola ambavyo vipo kulinda raia lakini vimegekua kulinda wahalifu.

Kwa nilioyaona kwa Generali Mwamwega na jinsi serikali ilivyomkingia kifua nadhani wananchi wapewe platform ya kuongea haya mambo hadharani Tena live kwenye TV ili uchafu wa vyombo vya Dola uwekwe wazi na wahusika wajue kumbe wanafahamika.

Wakuu wamikoa wengine igeni mfano wa Makonda maana wananchi wa kawaida wananyanyaswa sana na vombo vya Dola vikishirikiana na wahalifu akama akina Generali Mwamwega au kwa jina halisi Osward Macegeron Rweyeyemamu.
Unadhani kulalamika 'live'' kwenye vyombo vya habari kutaondoa matatizo? Ile case ya yule mfanyabiashara wa Kariakoo ambaye inasemekena alijiua kwa kujipiga risasi huko Tabora ni funzo kwa mnaodhani kuwa kulalamika tu kunatosha.
 
Unadhani kulalamika 'live'' kwenye vyombo vya habari kutaondoa matatizo? Ile case ya yule mfanyabiashara wa Kariakoo ambaye inasemekena alijiua kwa kujipiga risasi huko Tabora ni funzo kwa mnaodhani kuwa kulalamika tu kunatosha.
Mkuu yule alijiua baada ya maelekezo ya Rais kutokuheshimiwa na kwa bahati mbaya Rais aliyetoa maelekezo alifariki na kuliacha Jambo bado halijatekelezwa. Sasa Kama Mtu alifikisha kesi yake kwa Rais wa Nchi utamlaumu Nini?. Its unfair tu jamaa akaona hawezi kuhimili msingi akaona ajiue.


Kuhusu Jambo langu tumeenda mpaka polisi Tena Hadi ngazi ya RCO wa Mkoa kupeleka ushahidi na baadae kufungua jalada. Nimepeleka ushahidi Hadi kwa mbunge wangu amfikishie Waziri Mkuu aone jinsi wananchi wanavyoteswa ila hola. Kila mtu kimya. Nimepeleka ushahidi kwa ofisi nyeti ya upelelezi wakakimbia kwa kumuogopa huyo tapeli.
Kilichobakia ni nini? Kama umechukua hatua zote na bado vyombo vya Dola havichukui hatua. Ni Bora kuweka mambo wazi ili seriklia ijisahihishe.
 
Back
Top Bottom