Kwa wanaoumia mioyo yao kuona Makonda anaupiga mwingi, sageni chupa kunyweni.
Makonda ni mtendaji. Siasa za uongo, unafiki kwake hizo hakuna. Siasa za kuabudu aliyemtua hakuna. Anajua JD yake hadi anapitiliza. Kwa kimombo tunasema anaenda extra miles.
Alisema kwa wanaomuombea atenguliwe nafasi hiyo ya mkuu wa mkoa, yeye kajibu hata akiwa mkuu wa mkoa kwa siku moja inatosha.
Hiyo ni kauli ya kishijaa sana. Anaamini hata siku moja itatoa matokea chanya.
Namalizia kwa kusema
Amtumainiye BWANA ni kama Mlima Sayuni usiotikisika milele.
Kitenguliwa siyo jambo la kushangaza.
Piga kazi Makonda chali wa Yesu.