Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

Ule msemo wa kizuri huonekana baada ya kutoweka ulifaa sana kwa kipindi hiki cha awamu ya 6. Kipindi cha uongozi wa Magufuli kwakweli nilimchukia sana Makonda. Ila baada ya Magufuli kuondoka nimekuja kugundua Makonda ni bonge la kiongozi

Rekodi yake toka amekuwa mwenezi mpaka mkuu wa mkoa wa Arusha unaonekana tofauti na wakuu wengine. Makonda ana nyota ya kupendwa na kutawala, kila anakokaa anakuwa maarufu haraka.
Makonda kulingana na usimamizi wake ameanza kunyoosha Arusha wazembe na wezi wanaanza kulalamika.

Hana connection na mabeberu hana usakaji kwenye kazi. Hajipendekezi kwa wasiomuhusu.

Natamani sana 2030 achukue form. Viatu vya Magufuli vinamtosha kabisa. Acheni kumsakama
Eti anapendwa?. Si ni huyu Makonda alipigwa Chini kwenye Ubunge wa Kigamboni akapotea kwenye ramani.
 
Makonda mfano avae viatu vya Lisu awe upinzani kitambo angekuwa ameunga mkono juhudi kukimbia Ligi kuu. Na Lisu angekuwa upande wa serikali ccm kitambo hata kabla ya Magu angekuwa presideeerrrr
 
Nilisemaga kichaa pekee ndo atashindwa kumuelewa JPM kipindi kile anatawala wengi wakabisha,Alivyo-itangulia haki wakaanza kumkumbuka.
Sasa nasema tena kichaa pekee ndo atashindwa kumuelewa PCM.
Magufuli amepata kiki kutokana aliyeingia kuwa boya. Ila uboya wa aliyepo haumfanyi Magufuli kuwa Bora. Halafu msipende kulazimisha watu kwenye maamuzi yenu.
 
Ukishakuwa rafiki wa wazungu ww siyo mzalendo tena. Nitajie kiongozi mzalendo ambaye ana urafiki na mabeberu?
Wewe naye?. Mumpige Lissu risasi halafu aende ubelgiji kwa matibabu zaidi , halafu wewe kumbe mwenye roho mbaya unaleta stori za mababeru. Huyo Magufuli mbona alikuwa anakopa kwa mabeberu?.
 
Ukishakuwa rafiki wa wazungu ww siyo mzalendo tena. Nitajie kiongozi mzalendo ambaye ana urafiki na mabeberu?
Huyo Bashite mtoto kampatia marekani kwenye surrogate. Unaijua Hilo?. Tatizo mnaongea bila utafiti.
 
..John Magufuli alikuwa rafiki wa mabeberu.

..kifaa cha moyo alichokuwa akitumia alipewa na mabeberu.

..askari waliokuwa wakimlinda walibeba mitutu iliyotengenezwa na mabeberu.

..mikopo kwa ajili ya miradi ya kimkakati ilitoka ktk mabenki ya mabeberu.

..alitumia matrilioni kununua midege ya atcl toka makampuni ya nchi za mabeberu.

..alikubali kishika uchumba usd 300 mil badala ya fidia ya usd 91 billion toka kampuni ya mabeberu ya Barrick
Safi Sana umempa jibu la maana huyo mjinga.
 
Wewe mleta mada una matatizo umeona ukae huko uje ulete Uzi wa kumlinganisha Makonda na Lissu. Kwanza Makonda Hana time na Lissu maana wote wanawasulubu CCM , Sasa wewe mnafiki kwa kulijua Hilo umekuja kuleta comparison
 
Kwa wanaoumia mioyo yao kuona Makonda anaupiga mwingi, sageni chupa kunyweni.
Makonda ni mtendaji. Siasa za uongo, unafiki kwake hizo hakuna. Siasa za kuabudu aliyemtua hakuna. Anajua JD yake hadi anapitiliza. Kwa kimombo tunasema anaenda extra miles.

Alisema kwa wanaomuombea atenguliwe nafasi hiyo ya mkuu wa mkoa, yeye kajibu hata akiwa mkuu wa mkoa kwa siku moja inatosha.
Hiyo ni kauli ya kishijaa sana. Anaamini hata siku moja itatoa matokea chanya.

Namalizia kwa kusema

Amtumainiye BWANA ni kama Mlima Sayuni usiotikisika milele.

Kitenguliwa siyo jambo la kushangaza.

Piga kazi Makonda chali wa Yesu.
 
Ule msemo wa kizuri huonekana baada ya kutoweka ulifaa sana kwa kipindi hiki cha awamu ya 6. Kipindi cha uongozi wa Magufuli kwakweli nilimchukia sana Makonda. Ila baada ya Magufuli kuondoka nimekuja kugundua Makonda ni bonge la kiongozi

Rekodi yake toka amekuwa mwenezi mpaka mkuu wa mkoa wa Arusha unaonekana tofauti na wakuu wengine. Makonda ana nyota ya kupendwa na kutawala, kila anakokaa anakuwa maarufu haraka.
Makonda kulingana na usimamizi wake ameanza kunyoosha Arusha wazembe na wezi wanaanza kulalamika.

Hana connection na mabeberu hana usakaji kwenye kazi. Hajipendekezi kwa wasiomuhusu.

Natamani sana 2030 achukue form. Viatu vya Magufuli vinamtosha kabisa. Acheni kumsakama
Ccm hawawezi kumchagua paka wasiemweza kumfunga keñgele kama ilivyokuwa kwa magufuli.watamçhagua mtu ambae wanaweza kumzibiti ili wasije letewa madhara kama magu.ña walijuta kumchagua magu
 
Nasemaje nawachukia CCM ila mwamba ni jembe
Hana kujipendekeza pendekeza kama machawa wengine.

Anajikubali kiasi kwamba hata raia wanaona wapo mikono salama mwa makonda.

Mtu ukiwa mzembe mzembe huwezi kulinda raia wako na hutopata attention ya wananchi wako.
 
Simfananishi Lisu na Makonda ila ukweli kila mtu anajua Makonda ni RC wa Arusha, hivi hata RC wa Mkoa wangu namjua kwa sura na sio jina na mienendo yake kama ilivyo kwa Arusha. Unaweza sema Tanzania kuna Mkuu wa Mkoa mmoja tu,
 
kijana anafanya kazi nzuri sana na mambo makubwa ya kufuta machozi ya wanyonge n.k

atafika mbali mchana kweupe kila mtu akimtazama 🐒
Kwa wanaoumia mioyo yao kuona Makonda anaupiga mwingi, sageni chupa kunyweni.
Makonda ni mtendaji. Siasa za uongo, unafiki kwake hizo hakuna. Siasa za kuabudu aliyemtua hakuna. Anajua JD yake hadi anapitiliza. Kwa kimombo tunasema anaenda extra miles.

Alisema kwa wanaomuombea atenguliwe nafasi hiyo ya mkuu wa mkoa, yeye kajibu hata akiwa mkuu wa mkoa kwa siku moja inatosha.
Hiyo ni kauli ya kishijaa sana. Anaamini hata siku moja itatoa matokea chanya.

Namalizia kwa kusema

Amtumainiye BWANA ni kama Mlima Sayuni usiotikisika milele.

Kitenguliwa siyo jambo la kushangaza.

Piga kazi Makonda chali wa Yesu.
 
Aliwanyeyekea ndio maana kila mwezi alikuwa analipa Deni la bilioni mia Saba za kitanzania. Acha mchezo wewe. Eti alikuwa hawanyenyekei wakati wamemfuka kifaa Cha pacemaker moyoni.

..nadhani barrick walimhonga Jpm.

..mkataba aliosaini nao hauendani na mikwara na makelele aliyokuwa akipiga.

..mwisho wa siku aliruhusu makinikia yasafirishwe.

..na zaidi Jpm alimpa ubunge Deo Mwanyika aliyepata kuwa mtendaji wa ngazi za wa barrick / acacia hapa Tanzania.
 
Ule msemo wa kizuri huonekana baada ya kutoweka ulifaa sana kwa kipindi hiki cha awamu ya 6. Kipindi cha uongozi wa Magufuli kwakweli nilimchukia sana Makonda. Ila baada ya Magufuli kuondoka nimekuja kugundua Makonda ni bonge la kiongozi

Rekodi yake toka amekuwa mwenezi mpaka mkuu wa mkoa wa Arusha unaonekana tofauti na wakuu wengine. Makonda ana nyota ya kupendwa na kutawala, kila anakokaa anakuwa maarufu haraka.
Makonda kulingana na usimamizi wake ameanza kunyoosha Arusha wazembe na wezi wanaanza kulalamika.

Hana connection na mabeberu hana usakaji kwenye kazi. Hajipendekezi kwa wasiomuhusu.

Natamani sana 2030 achukue form. Viatu vya Magufuli vinamtosha kabisa. Acheni kumsakama
Agombee Jimbo gani?
 
Makonda na Lisu ni watu wawili tofauti. Makonda ni kiongozi mzuri na mchapakazi mzuri na Lisu ni mwanaharakati mzuri na mjenga hoja mzuri ambaye ana uwezo mkubwa wa kuitetea na ikaaminika hata iwe ya uongo.
 
Back
Top Bottom