Pre GE2025 Paul Makonda: Tumechoka na ahadi za treni za umeme

Pre GE2025 Paul Makonda: Tumechoka na ahadi za treni za umeme

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Kuhusu kuanza kwa treni ya kisasa ya SGR, Makonda amesema kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM kilichoketi Unguja hivi karibuni kiliwaita Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa kutoa maelezo kuhusu maendeleo ya ujenzi wa reli ya kisasa.

"Tuliwahoji mbona kumekuwa mabadiliko ya kuanza kwa treni ya kisasa?

"Mwaka huu kama kuna ahadi nyingine zaidi ya kuiona treni ikitoka Dar es Salaam hadi Dodoma, wakatupa tena ahadi, CCM itakula kichwa, muda wa ahadi umekwisha," alisema.

Makonda ameeeleza hayo leo Ijumaa Januari 19, 2024 akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Shule ya Sekondari Bunju akiwa njiani kuelekea Bagamoyo mkoani Pwani.

Katibu huyo wa uenezi leo ameanza ziara ya mikoa 20 iliyopewa jina la "back 2 back".
Wanabuni tatizo kisha hao kurupu kwenye kulitatua.

CCM ina laana
 
Mokonda watakutoa hapo unataka wenye mabasi wakale wapi
Ni mwendo wa kuuma na kupuliza hakuna hapo ambaye sio part ya huu uharamia huu ni mwendo wa good Cop, Bad Cop wakati wote ni Maharamia...

He is not deceived who knows himself to be deceived
 
Hizo ni mvua za rasha rasha tu .ngoja atue huyu hapa pia muone moto utakavyowashwa nchi hii.Maana kwa sasa siasa zimetekwa na majabali mawili tu Mwamba Mwenyewe Paul Makonda na Dr Emmanuel NchimbiView attachment 2876673
Nmeona hapo kijana wa green guard anasukumwa asogee kwenye second cycle ya security uso unaonyesha ni jinsi gani alivyojiskia vibaya sjui hajui protocal au hakupewa briefing kabla maskin ya mungu
 
Wanajifanya kutupumbaza kwa maneno ya ulaghai. Umeme tu umewashinda, sembuse hiyo SGR!
 
Screenshot_20240131-204144.png
 
Na mwezi July utapita kiasi mnashangaa ya February
Nasema mbaki kwenye treni za makaa ya mawe tu maana hata ya diesel mnaiba
Huu umeme ndio msahau kabisa
Imagine ina speed kali hata umeme unakatika break ni Kigali just kidding
 
Muwe wavumilivu... Msipaniki..

😅😅😅

Kazi iendelee..
 
Back
Top Bottom