Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha chadema wameumbukaKujenga hoteli basi anajiona yeye kamaliza mziki vikwazo yeye haumhusu unawahusu Wananchi
Kwa mtu anayetuhumiwa kugushi vyeti sitarajii at any moment anaweza kuwa na fikra chanya juu ya elimu, kwake elimu ni suala zima la ujanja ujanja tu.Leo Paul Makonda ameporomosha maneno mazito kwa wanaowatetea wanaopata mimba mashuleni kwa kusema kuwa akili zao zinawatosha kuvaa nguo tu.
Pamoja na hayo pia amesema watu hao ni wajinga na wapumbavu.
Nani kahalalisha mimba mashuleni?