bulicheka 3
JF-Expert Member
- Feb 6, 2019
- 599
- 557
Ana iga maneno ya Prof Mbowe aliyo watolea jana Kazi kweli kweli yajayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikitokea zishapatikana hizo mimba,wanasoma?Au ndio mtoto mdogo unamsokomeza aende memkwa kusoma na watu wazima?Mtoto akishazaa inamuongezea umri kwamba anakuwa mtu mzima?
Kama mimba inaambukizwa basi hata Zero inaambukizwa,na yeye azuiwe asisogelee watoto wanaosoma maana atawaambukiza zero!Huyu jamaa si alipata 0.. kwanza kumuacha aongee na watoto wa shule sio vizuri kwa afya ya akili ya hao watoto.. atawaambukiza ujinga..
Kama ni muhimu sana kuongea na watoto basi wangeweka hata barrier 😂 asije kuwaambukiza 0
Maoni ya makonda amesema wanaosema watoto wanaopata mimba warudi shule ni wapumbav,nami nasema yeye ndio juha na mpumbav zaidi!Wewe ndio pumbavu kushindwa kuvumilia maoni ya wenzako,halafu ulivyopunga eti unajiita mwana demokrasia wakati ni mwanadomo kaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeye mwenyewe Makonda ni Gay. Watu wanakamua tu
Kwa kuwa yeye hawezi kumtia mwanamke mimba
Duuuh,jamaa kamzidi demu tako!Mwenye kale kapicha Manula akicheki mzigo atuwekee hapa!Chura![emoji30][emoji30][emoji30] View attachment 1346445
Mpumbavu kweli huyu Makonda..Anaita watoto mizigo huyu makonda
Mkuu wewe ulitaka afanyajwe?HAKUNA WA KUMFANYA KITU!!
Mimba uingia kwa vyanzo vingi ikiwemo kubakwa ,kulagaiwa usafiri wa bodaboda hasa vijijini,tunapiga vita mimba lakini tusiwanyime haki ya elimu waliopata bila kutarajiaKwa taarifa yake na pia nafikri pia anajua na anamifano hai kama si kutokana na uongozi wake basi kwenye mapito ya maisha! Wako wasichana wengi ambao wamepata mimba na wakarudi shule baada ya kujifungua sasa hivi wanawasomesha watoto wao na wanamaisha mazuri. Na wapo kama wanavyotaka wao hawakuweza kurudi shule lakini sasa hivi na single mothers wanahangaika na maisha.
Lengo la kuwakataza hao watoto ni nini? labda wametenda dhambi sasa adhabu ndio hiyo ya kuwanyima elimu? Ok, Mwisho wa siku unajenga taifa la wasomi au la wajinga? taifa la omba omba au la kujitegemea? Kuteleza siyo kuanguka waachani watoto wenye nafasi waendelee na shule mwisho wa siku wakajitegemee badala ya kuwa omba omba
Mbona kipanya amemchora Bashite na kiuno kikubwa hivi? Hapana ujumbe mwengine wa ziada hapa?Chura![emoji30][emoji30][emoji30] View attachment 1346445
Jiwe anasema hakuona hiyo ahadi kwenye ilani na wala hakuandika yeye!Hii ilani ya 2015 ilikuwa ina halalisha mimba shuleni? View attachment 1346455
Sent using Jamii Forums mobile app
Una ushahidi, au kwa vile upo nyuma ya keyboard tu?!Yeye mwenyewe Makonda ni Gay. Watu wanakamua tu
Kweli ni mpumbav aliyeshiba madaraka,anabwabwaja utafikiri pesa ni zake na babake!Mpumbavu kweli huyu Makonda..
Pesa siyo za Magufuli ..ni Kodi za Watanzania..Kodi tulipe sisi Watoto wetu waitwe Mizigo?!!!
Pumbavu sana Huyu Makonda.