Paul Makonda: Wanaotetea watoto wanaopata mimba shuleni wana akili za kuvaa nguo tu

Paul Makonda: Wanaotetea watoto wanaopata mimba shuleni wana akili za kuvaa nguo tu

Ukimtoa kofia, bendera na hiyo trouser chini ni kama mshabiki wa Yanga tu! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]

cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᴰ
cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᴰ
cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᴰ
 
Leo Paul Makonda ameporomosha maneno mazito kwa wanaowatetea wanaopata mimba mashuleni kwa kusema kuwa akili zao zinawatosha kuvaa nguo tu.

Pamoja na hayo pia amesema watu hao ni wajinga na wapumbavu.

View attachment 1346418





























Kuna ' Members ' kama Watatu hivi hapa hapa walianzisha ' threads ' zao wakijiaminisha kabisa na wakitaka Makonda ' atumbuliwe ' upesi na nikawaambia kuwa wanapoteza muda Wao na hilo kamwe halitowezekana. Kwa wenye Akili sawasawa Vichwani mwao watakubaliana na Mimi kuwa hadi Makonda anakuja na Kauli hizi za Nyodo na Dharau ni kwamba kuna Mtu anampa Kiburi, Jeuri, ana Faidika nae, anamlinda na ameshamuhakikishia kuwa hatomtoa hadi atakapomaliza Muhula wake huu wa Kwanza. Kama ni Makonda ' Kutumbuliwa ' hapo alipo hilo lingefanyika Siku nyingi sana ila jiulizeni ni kwanini ' hatumbuliwi ' ila wale wanaofanya ' just minor blunders ' za Kiutendaji hawacheleweshwi ' Kutumbuliwa ' katika nafasi zao? Namalizia kwa Kusisitiza kutokana na sababu zangu za ndani kabisa kuwa RC Makonda ' hatotumbuliwa 'ng'o hapo alipo na atamaliza pamoja na ' Mteuwaji ' wake hadi mwisho wa Muhula wake. Mkiambiwa kuwa kuna Watu wanajua ' Kuroga ' vizuri nchini Tanzania muwe mnaamini na mnatuelewa.
 
Kwa kuwa hakuna wa kumfanya kitu ni bora nikae kimya!!
Sheria za kumfanya chechote zipo, ila haziwezi kufanya hivyo kama hakuna ushahidi

Wengi wa wanaomtuhumu huyo jamaa hawana ushahidi, bahati mbaya hata marekani wameingia kwenye mkumbo huohuo, wamesema wana ushahidi wa kutosha ila hawautoi ili utumike kumfanya chechote.
 
Bora mwenye akili za kuvaa nguo, huyu yeye ana akili za kuvua nguo. Hakuna anayetetea watoto kupata mimba shuleni hata moja. Wapo wanaotetea watoto wote kuendelea na masomo wawe wamepata mimba au hawajapata, ni haki ya kila binadamu kupata elimu awe mtoto awe mtu mzima, awe na mimba asiwe na mimba. Elimu ni basic human right. Hicho ndo wanatetea. Huyu jamaa kweli vyeti aliiba kwa akili hizi.

Mjinga ndo atakaa afikiri kuzuia watu kwenda shule basi wataacha kipata mimba, wasiopenda shule hicho ndo kisingizio cha kuacha kwenda shule, na wale masikini wa vijijini wanaoozesha watoto wakiwa wadogo wataipenda sana hii, excuse ya kutoa watoto wao shuleni legally.
Njia pekee ya kupunguza mimba za shuleni ni kupunguza umasikini na kuongeza elimu watoto waelewe jinsi ya kujilinda, kutumia nguvu haisaidii chochote.
 
Sioni sababu ya kumlaumu Makonda kwasababu mara zote hunena na kupanga mambo kwa kadiri ya uwezo wake, hapo ndipo uwezo wake ulipogotea, hana anachoweza zaidi ya hapo tumsamehe, mtoto akiwa mlemavu hatupwi ni tatizo la jamii inayomzunguka na hasa familia yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo Paul Makonda ameporomosha maneno mazito kwa wanaowatetea wanaopata mimba mashuleni kwa kusema kuwa akili zao zinawatosha kuvaa nguo tu.

Pamoja na hayo pia amesema watu hao ni wajinga na wapumbavu.

View attachment 1346418
Kama ilani ya uchaguzi ya ccm ndio iliweka jambo hili na bila kufutwa Makonda anasema hivi basi ni dhahiri MTU ALIYEFELI MTIHANI WA DARASA LA 4 , akarudia na baadaye akafeli DARASA LA 7 huyu hastahili kuwa hata kiongozi wa familia yake mwenyewe .
 
Kuna ' Members ' kama Watatu hivi hapa hapa walianzisha ' threads ' zao wakijiaminisha kabisa na wakitaka Makonda ' atumbuliwe ' upesi na nikawaambia kuwa wanapoteza muda Wao na hilo kamwe halitowezekana. Kwa wenye Akili sawasawa Vichwani mwao watakubaliana na Mimi kuwa hadi Makonda anakuja na Kauli hizi za Nyodo na Dharau ni kwamba kuna Mtu anampa Kiburi, Jeuri, ana Faidika nae, anamlinda na ameshamuhakikishia kuwa hatomtoa hadi atakapomaliza Muhula wake huu wa Kwanza. Kama ni Makonda ' Kutumbuliwa ' hapo alipo hilo lingefanyika Siku nyingi sana ila jiulizeni ni kwanini ' hatumbuliwi ' ila wale wanaofanya ' just minor blunders ' za Kiutendaji hawacheleweshwi ' Kutumbuliwa ' katika nafasi zao? Namalizia kwa Kusisitiza kutokana na sababu zangu za ndani kabisa kuwa RC Makonda ' hatotumbuliwa 'ng'o hapo alipo na atamaliza pamoja na ' Mteuwaji ' wake hadi mwisho wa Muhula wake. Mkiambiwa kuwa kuna Watu wanajua ' Kuroga ' vizuri nchini Tanzania muwe mnaamini na mnatuelewa.
Niliota kuwa kuna uchawi wa kuweka jina lako na la mume wako kwenye chupa na kisha mtaalamu anaifunga ile chupa inatupwa katika kina kirefu cha bahari. Hapo kukuacha ni mpaka kifo kiwatenganishe.

kuna mawifi wanga wanaweza kuivuta ile chupa kwa mtaalamu mwenye masters. Hapo bahati yako inakuwa mbaya sana.
 
ana stress disorder.... kupigwa ban sio kitu cha mchezo mchezo....mimi tu niliwahi kupigwa ban hapa JF aisee sikupata lepe la usingizi.... je hali iko vipi kwa yule aliyepigwa ban ya kuingia USA yeye na ukoo wake wote😃😃

mbaya zaidi zile deal za powder zina kwenda ku-stuck pande zile
 
yaani
Ndio katumwa aseme hayo?Asitake kuhamisha attention huyo muuaji,ajibu tuhuma zake kwanza zinazomkabili,shwain!
Kwa kauli hiyo,mnadhani diplomasia itafanya serikali ipate pesa za WB?Ndio kaharibu kabisaa huyo mpumbav!
hili jamaa kweli zwazwa... anazidj kutia utambi kwenye petrol
 
Leo Paul Makonda ameporomosha maneno mazito kwa wanaowatetea wanaopata mimba mashuleni kwa kusema kuwa akili zao zinawatosha kuvaa nguo tu.

Pamoja na hayo pia amesema watu hao ni wajinga na wapumbavu.

View attachment 1346418
na walioandika ilani ya ccm na kuinadi na waliochagua ilani ya ccm 2015?
 
Mzee wa Fa Fa Fa Fa Fa Fa Fa....akitema Cheche😂😂mambo ni 🔥🔥

Bongo siyo kwa kuhama...tutabanana humu

Everyday is Saturday..............😎
 
Anawambia watoto wa wanyonge na wenyewe ni mizigo inasomeshwa bure. Huyu kiumbe huyu.
 
Yeye si ni Bashite jina la Makonda angelipata wapi isingekuwa fulsa za Mkapa?

Kuacha watu kutumia majina ya wengine?

Makonda ana ufala mwingi sana wala akumbuki kuwa alikuwa mfunga viatu vya mtoto wa kikwete.

Imagie Bashite angekuwa wapi leo duh. nchi inaangamia kwa kuruhusu watu kama yeye kufoji vyeti vya wengine na kuwanyima watu makini nafasi ya kwenda shule.

Huwezi ukahitaji mkopo halafu wewe ukapanga masharti ya kijinga mkopo utaukosa na wa kulaumiwa ni wewe.
So you mean a beggar has no choice?
 
Back
Top Bottom